Premium listings
Premium
100000.00 TZS
Nauza nguo
Nauza nguo za mtumba za kiume mtumba jumla na na na na na na na na
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mashuka ya Mtumba grade 1 Bei Nafuu Dar es Salaam
Unatafuta mashuka safi na zenye ubora wa kipekee? Tuna mashuka ya mtumba Grade 1 ambayo yamehifadhi rangi na unyevunyevu, kamili kwa nyumba, hoteli, au matumizi ya kila siku. ✅ Grade 1 – Ubora wa hali ya juu ✅ Bei Nafuu – Thamani kubwa kwa pesa yako ✅ Mitindo Mbalimbali – Kubwa, ndogo, na rangi mbalimbali ✅ Inapatikana...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mabegi ya mgongoni ya mtumba
Unatafuta mabegi ya mgongoni ya mtumba yenye ubora, mtindo na bei nafuu? Karibu kwenye duka letu la mtumba ambapo tunauza Mabelo ya mabegi safi, imara na yaliyochaguliwa kwa makini ili kukidhi mahitaji yako ya kila siku. Tunayo mabegi ya rangi na ukubwa mbalimbali, zinazofaa kwa wanafunzi, wafanyakazi, na watu wanaopen...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
nguo za watoto za mtumba
Niongeze picha ya know I have to
Located: Dar es Salaam, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mabelo ya Nguo za Mtumba Yenye Faida Kubwa na Bei Nafuu
Unatafuta mabelo ya nguo za mtumba yenye faida kubwa? Karibu upate mabelo bora yaliyochaguliwa kwa umakini, yakiwa na nguo safi, zenye ubora wa juu na mitindo inayouzwa haraka sokoni. Tunapatikana na mabelo ya kike, kiume na watoto kwa bei nafuu kulingana na uwezo wako. Mabelo yetu yanafaa kwa wafanyabiashara wanaoanza...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Suruali kali za mtumba
Nauza Belo suruali kali za mtumba zenye mitindo ya kisasa na ubora mzuri. Zinapatikana kwa wanaume, zinafaa kwa vijana na watu wazima. ✔ Cargo, jeans & official ✔ Rangi mbalimbali ✔ Size zote (S – XXL) ✔ Grade A/B – hali nzuri sana 📦 Jumla 💰 Bei nafuu kulingana na idadi 📞 Wasiliana sasa – stock ni ndogo
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nguo za mtumba za watoto
Tunauza belo za nguo za mtumba za watoto zenye ubora wa juu kabisa, safi, zikiwa katika hali nzuri na tayari kwa matumizi. Nguo zinapatikana kwa watoto kuanzia miaka 0 hadi 12, zikiwa na mitindo ya kisasa na rangi zinazovutia, zinazopendwa sana sokoni na wazazi. Belo zetu ni original mtumba, zikiwemo makundi mbalimbali...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Suruali za kike za mtumba
DescriptionBATELEUR SAFARIS presents... RUAHA CHRISTMAS PARTY & SAFARI! 📍 Ruaha National Park | 🗓️ 25th & 26th December, 2025 2 DAYS / 1 NIGHT EXPERIENCE - AN ALL INCLUSIVE SAFARI PACKAGE! - Transport, 3 Meals, Accommodation, Soft Drinks, Entry & Guiding fees with so much fun! 💰 PRICES... > East African ...
Located: Iringa, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nunua Suruali za Mtumba za Kiume Bei Nafuu
Tunauza mabelo ya suruali za mtumba za kiume kwa bei ya jumla (wholesale) kwa wafanyabiashara na wauzaji wakubwa na wadogo. Suruali ni original, zenye ubora mzuri na zinadumu kwa matumizi ya muda mrefu. ✔ Suruali za jeans, kitambaa na cargo ✔ Bei nafuu sana kwa mabelo ✔ Inafaa kwa biashara ya soko, duka au online ✔ Sai...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mashuka ya mtumba grade 1 ubora wa juu
Unatafuta mashuka ya mtumba grade 1 yenye ubora wa hali ya juu? Napatikana Iringa Mjini na nauza mashuka safi, imara, yenye rangi nzuri na yanayodumu muda mrefu. Kila shuka linaweza kutumika kwa matumizi ya nyumbani, nyumba za kulala wageni, hosteli, au matumizi ya kawaida. Mashuka yangu ya mtumba grade 1 yamechaguliwa...
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Machimbo ya nguo za mtumba
"Tunazo balo zote za nguo za mtumba! Balo zetu zinapatikana kwa ukubwa na rangi mbalimbali, zikihakikisha nguo zako zinahifadhiwa kwa usafi na urahisi. Pata balo zenye ubora wa juu kwa bei nafuu zinazokidhi bajeti yako. Huduma yetu ya kirafiki na ushauri wa kitaalamu itakuwezesha kuchagua balo inayokufaa zaidi. Tembele...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nguo za mtumba za watoto
Nguo za Mtumba za Watoto – Safi na Bei Nafuu! Tunauza nguo bora za watoto kuanzia miezi 0 hadi miaka 12. Mchanganyiko wa magauni, suruali, t-shirt, mashati na seti kamili. ✔ Jumla & rejareja ✔ Quality grade A ✔ Bei kuanzia Tsh 500/= kwa kipande ✔ Delivery Tanzania nzima
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Check with seller
Infinity photo studio
WEDDING || ALL EVENTS || STUDIO PORTRAITS Creating Timeless Memories Tunatoa huduma za upigaji picha na video kwa viwango vya juu, tukilenga kukuwezesha kuhifadhi kumbukumbu za muhimu kwa njia ya kipekee na ya kisasa. Iwe ni harusi, send-off, birthday, graduation, corporate events au photoshoot za studio, tunahakikisha...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Check with seller
Iringa Cleaning and Fumigation
Iringa Cleaning and Fumigation ni kampuni ya kitaalamu inayotoa huduma bora za usafi na udhibiti wa wadudu kwa viwango vya juu kabisa. Inayoongozwa na Owner @iam_dainesfelista ambaye pia ni CEO wa @iringacleaning_fumigation, tunahakikisha nyumba yako, ofisi, apartment, airbnb au biashara yako inakuwa safi, salama na ye...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Check with seller
Hotel Iringa Nzuri Huduma Bora
FJN Countryside Hotel ni sehemu sahihi na bora kwa ajili ya kufanyia vikao mbalimbali ndani ya Iringa Mjini. Tunatoa mazingira tulivu, safi na yenye utulivu yanayokufaa kwa vikao vya harusi, vikao vya kiofisi, mikutano ya kibiashara, warsha, mafunzo, kongamano, sherehe ndogo, pamoja na mikusanyiko mingine ya kijamii. U...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Kiwanja kipo mafinga nauza
BEI IMEVUNJWA UKUBWA WA KIWANJA MITA 25KWA 22. KIWANJA KIPO LUMWAGO MAFINGA IRINGA TANZANIA 🇹🇿. BEI NI MILIONI MBILI. BARABARA, UMEME, MAJI, VYOTE VIPO JILANI. 📲O768651525.
Located: Mafinga, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Tunauza viatu vya kiume sandals
TUNATENGENEZA WENYEWE! Tunauza kwa bei ya jumla kuanzia SH 4,000 kwa agizo la pea 10 na kuendelea, na kwa rejareja ni SH 7,000 tu. Ubora wetu ni wa kiwango cha juu kwa sababu bidhaa zetu tunazitengeneza sisi wenyewe, ndiyo maana wateja wetu wengi wanarudi tena na tena. Zaidi ya mauzo, tunatoa ushauri bure kabisa kwa wa...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Tunauza simu na vifaa vya simu
#AZIZI #PHONE #STORE 🛵 DELIVERY TIME ✅ 📴 MAKADUPA -IRINGA TUNAUZA SIMU NA VIFAA VYA SIMU AINA ZOTE ______&&& tunapatikana 🚧 🚧 ________ 🚧 IRINGA STAND YA ZAMAN JENGO LA MZALENDO CHUMBA NO 17 Deo Mwenda Abubakar Kimario Neema Mathias 53 Contact: 0717536412
Located: Iringa, Iringa, TZ
Check with seller
Wauzaji wa iphones na Samsung iringa
Nauza simu za iPhone na Samsung pamoja na accessories mbalimbali za simu. Zipo kwenye hali nzuri na bei nafuu. Pata simu na vifaa vinavyokidhi mahitaji yako ya kila siku. 📍 Napatikana Iringa mjini 📞 Piga simu au tuma meseji kupata maelezo zaidi piga simu 0782 309 009
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Tunauza bajaji used
TUNAUZA NA KUNUNUA BAJAJI USED **Full document✅ **Price/bei-7,500,000/=💰 **Location-Dar es salaam(mbagara)✅ ☎️Call & WhatsApp:0694048469📞 Mikoani Tunatuma Kwa Uwaminifu Mkubwa 🙏🏽🙏🏽
Located: Mbagalla, Dar es Salaam, TZ
Check with seller
TANGAZO LA KAZI
#NAFASI_ZA_KAZI YA_KUSAMBAZA_TAARIFA Wanahitajika watu watakao fanya kazi ya kusambaza taarifa za kampuni ya Gcat International Company Limited Taarifa za huduma inayotolewa na kampuni kwa kutumia simu yako ya mkononi/ Smart phone. NOTE: * Nilazima uwe na simu kubwa/ Smart phone * Uwe Iringa tu * Uwe na bidii ya kazi *...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Check with seller
nauza pikipiki boxer used
Nauza pikipiki aina ya Boxer iliyopo katika hali nzuri, imetunzwa vyema na ipo tayari kwa matumizi ya kila siku mjini au kwa safari za mbali. Pikipiki hii ni ya kipekee kwa sababu ina injini yenye nguvu, inatoa mileage nzuri ya mafuta, na ni rahisi kudhibitiwa hata kwenye mitaa yenye foleni au barabara ngumu. Ni chaguo...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Check with seller
Nauza pikipiki namba C
Nauza Pikipiki Boxer 125 Namba C Iringa | Bei Poa Sh 850,000 Pikipiki hii ni Boxer 125 yenye namba C, ipo tayari kwa matumizi ya kila siku. Bei ni nafuu sana, Sh 850,000 tu. Pikipiki ni nzuri, imetunzwa kwa weledi, haina matatizo, na ni chaguo bora kwa yeyote anayehitaji usafiri wa haraka na wa kuaminika Iringa Mjini, ...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Check with seller
Nyumba inapangishwa wilolesi
House for rent$ --------------------------------------------------------------------------------+ Vyumba viwili na vyote ni master Sebule,jiko, store na public toilet Bei 400,000 Location Wilolesi Contact 0712908002
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
