SERA YA FARAGHA – GULIO IRINGA
Gulio Iringa inaheshimu na kulinda faragha ya watumiaji wake. Sera hii inaeleza jinsi tunavyokusanya, kutumia na kulinda taarifa zako unapokuwa unatumia tovuti au app ya Gulio Iringa.
1. Taarifa Tunazokusanya
Tunaweza kukusanya taarifa zifuatazo:
Jina na barua pepe (kupitia Google Login / Firebase)
Namba ya simu (kama utaweka)
Taarifa za kifaa (aina ya simu, mfumo wa uendeshaji)
Taarifa za matumizi ya app/tovuti (kurasa ulizotembelea)
2. Matumizi ya Taarifa Zako
Taarifa zako hutumika kwa:
Kukuwezesha kujiandikisha na kuingia kwenye akaunti
Kuboresha huduma zetu
Kukutumia taarifa muhimu (notifications)
Kuzuia udanganyifu na matumizi mabaya
3. Kushirikisha Taarifa na Wengine
Gulio Iringa:
Hatuuzi wala kushare taarifa zako binafsi kwa wahusika wengine
Tunaweza kutumia huduma za wahusika wengine kama:
Google Firebase
Google Analytics
Google Play Services
kwa ajili ya kuboresha mfumo wetu
4. Usalama wa Taarifa
Tunachukua hatua za kiusalama kulinda taarifa zako dhidi ya:
Upatikanaji usioruhusiwa
Uharibifu au upotevu wa data
5. Cookies na Teknolojia Nyingine
Tovuti yetu inaweza kutumia cookies kwa:
Kukumbuka akaunti yako
Kuboresha uzoefu wako wa matumizi
6. Watoto
Huduma za Gulio Iringa hazilengi watoto chini ya miaka 13. Hatukusanyi kwa makusudi taarifa za watoto.
7. Haki za Mtumiaji
Una haki ya:
Kuomba kufuta akaunti yako
Kuomba kufuta taarifa zako
Kurekebisha taarifa zako
8. Mabadiliko ya Sera
Sera hii inaweza kubadilishwa wakati wowote. Mabadiliko yatawekwa kwenye ukurasa huu.
9. Mawasiliano
Kwa maswali au maombi kuhusu faragha: 📧 Email: Mikamuhule@gmail.com