Matangazo ya kipekee
Premium
Wasiliana na muuzaji
Jeans kali za mtumba
Tunauza belo kali za mtumba za jeans kwa ubora wa hali ya juu, safi, hazijachakaa na zipo katika mitindo ya kisasa inayopendwa na vijana na watu wazima. Belo zetu zinatoka kwenye brands maarufu, zinadumu muda mrefu na zinakupa muonekano wa kisasa kama wa bidhaa mpya kabisa. Tunazo aina mbalimbali ikiwemo belo za jeans ...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Masweta mazuri ya mtumba
Mashati ya Kiume ya Mtumba – Daraja la Kwanza! 👔 Tunauza mashati ya kiume ya mtumba yaliyochaguliwa kwa umakini, yakiwa katika hali bora, safi na yenye mitindo ya kisasa. Yanapatikana kwa bei nafuu sana, yanafaa kwa kazi, ofisi, sherehe au matumizi ya kila siku. 👉 Ubora wa juu 👉 Bei rafiki 👉 Mitindo mbalimbali 👉 Huduma...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Jeans za kiume mtumba
Unatafuta belo za jeans za kiume mtumba jumla zenye ubora wa hali ya juu na zinazouzwa kwa bei nafuu? Karibu kwenye duka letu tunalouza belo za jeans za kiume mtumba grade 1, zikiwa na mitindo ya kisasa, ubora wa kudumu na ukubwa mchanganyiko unaokubalika sokoni. ✔ Jeans original kutoka Ulaya na Amerika ✔ Zinafaa kwa w...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Belo la viatu vya mtumba
NAFUU & BORA – BELO LA VIATU VYA MTUMBA Nauza belo la viatu vya mtumba kwa bei nafuu sana. Viatu vipo katika hali nzuri, vinafaa kuuzwa upya (resale) kwa faida. ✔ Viatu vya kiume & kike ✔ Mchanganyiko wa sports, rasmi na casual ✔ Ubora mzuri (Grade A/B) ✔ Bei poa kwa wafanyabiashara 📍 Mahali: dar es salaam 📦 Tu...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mashuka ya mtumba grade 1 ubora wa juu
Unatafuta mashuka ya mtumba grade 1 yenye ubora wa hali ya juu? Napatikana Iringa Mjini na nauza mashuka safi, imara, yenye rangi nzuri na yanayodumu muda mrefu. Kila shuka linaweza kutumika kwa matumizi ya nyumbani, nyumba za kulala wageni, hosteli, au matumizi ya kawaida. Mashuka yangu ya mtumba grade 1 yamechaguliwa...
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mashuka ya Mtumba grade 1 Bei Nafuu Dar es Salaam
Unatafuta mashuka safi na zenye ubora wa kipekee? Tuna mashuka ya mtumba Grade 1 ambayo yamehifadhi rangi na unyevunyevu, kamili kwa nyumba, hoteli, au matumizi ya kila siku. ✅ Grade 1 – Ubora wa hali ya juu ✅ Bei Nafuu – Thamani kubwa kwa pesa yako ✅ Mitindo Mbalimbali – Kubwa, ndogo, na rangi mbalimbali ✅ Inapatikana...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nguo za mtumba grade 1
Unatafuta nguo za mtumba grade 1 zenye ubora wa hali ya juu, safi na zinazovutia macho? Sisi tunakuletea nguo zilizochaguliwa kwa umakini, zikiwa bado kwenye hali nzuri karibu na mpya. Nguo zetu za mtumba grade 1 zina muonekano mzuri, hazijachakaa, na zinafaa kwa matumizi ya kila siku au kwa biashara ya kuuza rejareja....
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Suruali za kiume za mtumba
Belo za Suruali za Kiume – Fursa Bora ya Biashara! 🔥👖 Pata belo za suruali za kiume zenye ubora mzuri, mitindo mbalimbali na hali safi. Suruali zimechaguliwa kwa uangalifu ili ziuzike haraka sokoni na kukupa faida nzuri. ✅ Suruali nyingi kwa belo moja ✅ Ubora mzuri & zinadumu ✅ Mitindo ya ofisini na kawaida ✅ Bei n...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Boyfriend jeans za mtumba
Unatafuta mabelo ya mtumba ya boyfriend jeans ambayo ni safi, nzuri na za kudumu? Tuna mabelo ya grade 1, ambayo yanaubora wa kipekee, hayajashonwa, na yamehifadhi rangi asili. Ni kamili kwa mitindo ya kila siku, shuleni au mapumziko. ✅ Grade 1 – Ubora wa juu, kama mpya ✅ Mitindo ya kisasa – Boyfriend jeans zinazokubal...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nunua Mabegi ya Shule ya Mtumba kwa Bei Nafuu
Tunauza mabelo ya mabegi ya shule ya mtumba kwa bei nafuu sana kwa wauzaji na walimu wa biashara. Mabegi ni imara, yanadumu, na yana miundo mbalimbali kwa ajili ya wanafunzi wa shule ya msingi na sekondari. ✔ Mabegi original ya mtumba ✔ Bei ya jumla (wholesale) ✔ Inafaa kwa wafanyabiashara wanaoanza au waliopo ✔ Usafir...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Pochi Nzuri za Mtumba Chaguo Bora kwa Bei Nafuu
Unatafuta pochi nzuri za kisasa za mtumba zenye ubora wa hali ya juu na muonekano wa kuvutia? Tupo kwa ajili yako! Tunakuletea pochi za kisasa zilizochaguliwa kwa umakini, zikiwa katika mitindo tofauti ili kukidhi ladha ya kila mteja. Pochi zetu ni imara, zina nafasi ya kutosha kubeba pesa, kadi na simu, huku zikiendan...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mashati ya kiume ya mtumba
Unatafuta balo zuri la mashati ya kiume kwa biashara yenye faida? Tunakuletea mabalo yenye mashati safi, imara na ya mitindo inayopendwa sokoni. Mashati haya yanafaa kwa mauzo ya haraka dukani au mtandaoni, yakikupa faida kubwa kwa mtaji wa uhakika. Tunapatikana kwa bei nafuu kulingana na aina na ubora wa balo. Chagua ...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
2.00 TZS
Wauzaji wa laptop iringa
Karibu kwenye Duka Kuu la Laptop, mahali ambapo unapata bidhaa mbalimbali za teknolojia za kisasa kwa bei za OFA zinazokuvutia. Tunajivunia kutoa aina mbalimbali za laptop za chapa maarufu, kompyuta ndogo za kubebeka (notebooks), vifaa vya kielektroniki, pamoja na accessoires za laptop kama vile madereva, charger, mous...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Check with seller
Tunauza simu na vifaa vya simu
#AZIZI #PHONE #STORE 🛵 DELIVERY TIME ✅ 📴 MAKADUPA -IRINGA TUNAUZA SIMU NA VIFAA VYA SIMU AINA ZOTE ______&&& tunapatikana 🚧 🚧 ________ 🚧 IRINGA STAND YA ZAMAN JENGO LA MZALENDO CHUMBA NO 17 Deo Mwenda Abubakar Kimario Neema Mathias 53 Contact: 0717536412
Located: Iringa, Iringa, TZ
Check with seller
Wauzaji wa iphones na Samsung iringa
Nauza simu za iPhone na Samsung pamoja na accessories mbalimbali za simu. Zipo kwenye hali nzuri na bei nafuu. Pata simu na vifaa vinavyokidhi mahitaji yako ya kila siku. 📍 Napatikana Iringa mjini 📞 Piga simu au tuma meseji kupata maelezo zaidi piga simu 0782 309 009
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Tunauza bajaji used
TUNAUZA NA KUNUNUA BAJAJI USED **Full document✅ **Price/bei-7,500,000/=💰 **Location-Dar es salaam(mbagara)✅ ☎️Call & WhatsApp:0694048469📞 Mikoani Tunatuma Kwa Uwaminifu Mkubwa 🙏🏽🙏🏽
Located: Mbagalla, Dar es Salaam, TZ
Check with seller
TANGAZO LA KAZI
#NAFASI_ZA_KAZI YA_KUSAMBAZA_TAARIFA Wanahitajika watu watakao fanya kazi ya kusambaza taarifa za kampuni ya Gcat International Company Limited Taarifa za huduma inayotolewa na kampuni kwa kutumia simu yako ya mkononi/ Smart phone. NOTE: * Nilazima uwe na simu kubwa/ Smart phone * Uwe Iringa tu * Uwe na bidii ya kazi *...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
6000000.00 TZS
Tunanunua na kuuza bajaji
TUNAUZA NA KINUNUA BAJAJI USED ..Full document* ..Price/bei-6,000,000/= ..Location~Dar es salaam~Mbagala ☎️Call & WhatsApp:0694048469📞 Mikoani Tunatuma Kwa Uwaminifu Mkubwa 🙏🏽🙏🏽
Located: Mbagalla, Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Check with seller
nauza pikipiki boxer used
Nauza pikipiki aina ya Boxer iliyopo katika hali nzuri, imetunzwa vyema na ipo tayari kwa matumizi ya kila siku mjini au kwa safari za mbali. Pikipiki hii ni ya kipekee kwa sababu ina injini yenye nguvu, inatoa mileage nzuri ya mafuta, na ni rahisi kudhibitiwa hata kwenye mitaa yenye foleni au barabara ngumu. Ni chaguo...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Check with seller
Nauza pikipiki namba C
Nauza Pikipiki Boxer 125 Namba C Iringa | Bei Poa Sh 850,000 Pikipiki hii ni Boxer 125 yenye namba C, ipo tayari kwa matumizi ya kila siku. Bei ni nafuu sana, Sh 850,000 tu. Pikipiki ni nzuri, imetunzwa kwa weledi, haina matatizo, na ni chaguo bora kwa yeyote anayehitaji usafiri wa haraka na wa kuaminika Iringa Mjini, ...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Check with seller
Nyumba inapangishwa wilolesi
House for rent$ --------------------------------------------------------------------------------+ Vyumba viwili na vyote ni master Sebule,jiko, store na public toilet Bei 400,000 Location Wilolesi Contact 0712908002
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Viwanja vinauzwa
VIWANJA VINAUZWA. ✅VIWANJA VIPO KINYANAMBO A (MIFUGO) MAFINGA IRINGA 🇹🇿. ✅VIWANJA VIMEPIMWA UKUBWA WA MITA 20 KWA 25 NA 20 KWA 20 . ✅BEI NI MILIONI TATU NA LAKI TANO PUNGUZO LIPO KIDOGO. ✅VIMEBAKI VIWANJA VITATU TU. ✅O768651525.
Located: Mafinga, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Viwanja vipi iringa maneno ya kitwiru
Viwanja vipo Iringa manispaa maeneo ya kitwiru Vipo top top bei ni tofaut tofauti kulingana na eneo lilipo wewe piga cm tuu unapata kulingana na bei Yako na huduma zote zipo havina shida yoyote ile Na pia ya maji ni muhimu sana Col 0794496510
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Viwanja vinauzwa kigonzile
Njooo ujichukulie viwanja ivyoo apoo mia 700sq kwa milioni tatu na nusu Kila kimoja pga 0714974268 location kigonzile karibu na Shule ya st Dominic
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
