Matangazo ya kipekee
Premium
Wasiliana na muuzaji
Wauzaji wa iphones na Samsung iringa
Nauza simu za iPhone na Samsung pamoja na accessories mbalimbali za simu. Zipo kwenye hali nzuri na bei nafuu. Pata simu na vifaa vinavyokidhi mahitaji yako ya kila siku. 📍 Napatikana Iringa mjini 📞 Piga simu au tuma meseji kupata maelezo zaidi piga simu 0782 309 009
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza pikipiki namba C
Nauza Pikipiki Boxer 125 Namba C Iringa | Bei Poa Sh 850,000 Pikipiki hii ni Boxer 125 yenye namba C, ipo tayari kwa matumizi ya kila siku. Bei ni nafuu sana, Sh 850,000 tu. Pikipiki ni nzuri, imetunzwa kwa weledi, haina matatizo, na ni chaguo bora kwa yeyote anayehitaji usafiri wa haraka na wa kuaminika Iringa Mjini, ...
Located: Iringa, TZ
Premium
2.00 TZS
Kiwanja kinauzwa isakalilo
Kiwanja kinauzwa katika eneo la Isakalilo, Manispaa ya Iringa, kikiwa na ukubwa wa 25 kwa 35. Ni eneo zuri sana kwa makazi, uwekezaji au ujenzi wa mradi binafsi kutokana na mandhari tulivu na miundombinu iliyo karibu. Kiwanja kimepimwa rasmi, hivyo mnunuzi anapata uhakika wa umiliki halali na hati safi. Maji na umeme v...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Tunatoa Kozi ya mapishi veta dar es salaam
Kozi ya Mapishi katika Chuo cha Ufundi Arizona @arizona_vtc 📌Fomu za Usajili zinapatikana Chuoni au kwa njia ya mtandao 📌Kozi inaanza tarehe 18/07/2022 (Miezi mitatu) 📌Swipe kuona muongozo na mtiririko wa kozi yote. 📌Wahitimu hupatiwa Vyeti 📌Chuo kimesajiliwa na VETA 📌Mafunzo kwa Vitendo 📌Ada inajumuisha uniform na vif...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunauza simu na vifaa vya simu
#AZIZI #PHONE #STORE 🛵 DELIVERY TIME ✅ 📴 MAKADUPA -IRINGA TUNAUZA SIMU NA VIFAA VYA SIMU AINA ZOTE ______&&& tunapatikana 🚧 🚧 ________ 🚧 IRINGA STAND YA ZAMAN JENGO LA MZALENDO CHUMBA NO 17 Deo Mwenda Abubakar Kimario Neema Mathias 53 Contact: 0717536412
Located: Iringa, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Dukani kwa magda nguo bei poa bei rahisi!
Dukani kwa magda nguo bei poa bei rahisi! Tengeneza faida mara mbili. Simu 0636408609 https://chat.whatsapp.com/H1ucVTOWSxO5QGix6srtDj?mode=gi_t Tunarahisisha biashara kwa watu wa mikoani kwa kuwafikishia mizigo kwa haraka na kwauaminifu mkubwa. Watu wa Dar Es Salaam karibuni dukani Kariakoo jengo la DDC. Jumla Tsh 45,...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Neema beauty spa salon
Quality & Natural Beauty Salon Sed ut perspiciatis unde omnis iste natus error sit voluptatem accusantium doloremque laudantium totam rem aperia eaque ipsa quae abillo inventore veritatis quasi architecto beatae vitae dicta sunt explicabo. Nemo enim quia voluptas sit aspernatur aut odit aut fugit sed consequuntur m...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Tunauza vitu vipya au used vyenye ubora
Unatafuta vitu vipya au used vyenye ubora wa hali ya juu bila kupoteza muda kwenda dukani? MPONZI ELECTRONICS STORE inakuletea bidhaa bora, imara na zenye kudumu moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wanaoaminika. Tunajivunia kutoa electronics za kisasa kama TV, simu, home theaters, friji, laptop, speaker, redio na vifaa vi...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza bidhaa mbalimbali Iringa
Nauza pop corn mashine mpyaaa mnooo 250k,kitanda 5 kwa 6 cha chuma sofa kote kwa 145k,azam ya antena kwa 30k,piano kwa 105k,sofa watu 3 kwa 110k,sofa watu 2 jipy na mito kwa 145k,kimeza cha tv kwa 35k,jiko plate 4 3 znatumia gas 1 umeme kwa 195k,king lion pikpiki no DDD KWA MILION 1.5 TUUU 0620840577 IRINGA MJINI wahii...
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Jiunge na Kozi ya Video Production dar es salaam
Karibu CCT kwenye kozi ya Graphics & Video! Jifunze kutengeneza content ya kitaalamu inayovutia, ya ubora wa juu kwa ajili ya mitandao ya kijamii, biashara, matangazo, na maudhui ya digital marketing. Kozi hii inafaa kwa wajasiriamali, wauzaji wa bidhaa, waundaji wa video na picha, pamoja na wote wanaotaka kuongeza...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Premium
Wasiliana na muuzaji
TANGAZO LA KAZI
#NAFASI_ZA_KAZI YA_KUSAMBAZA_TAARIFA Wanahitajika watu watakao fanya kazi ya kusambaza taarifa za kampuni ya Gcat International Company Limited Taarifa za huduma inayotolewa na kampuni kwa kutumia simu yako ya mkononi/ Smart phone. NOTE: * Nilazima uwe na simu kubwa/ Smart phone * Uwe Iringa tu * Uwe na bidii ya kazi *...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Premium
2.00 TZS
Manhattan_gym_fitness
Welcome to Manhattan Fitness Gym in Mtoni Kijichi, Dar es Salaam, the perfect place to achieve your health and fitness goals. We offer modern workout programs including strength training, aerobics, yoga, and personal training under the guidance of a certified Fitness Trainer and Healthy Eating Consultant. Join us to ge...
Located: Mtoni, TZ
Condition: New
Premium
2.00 TZS
Karibu kwa huduma za matrekta na kilimo
HGT Iringa Offices ipo Iringa Mjini na inatoa huduma bora za kilimo, ikiwemo mauzo na usambazaji wa matrekta, mashine za kilimo, na vifaa vya mashamba kwa wateja wa jumla na wa rejareja. Kampuni yetu ina uzoefu mkubwa katika sekta ya kilimo mseto, ikihakikisha wateja wanapata matrekta na vifaa vya hali ya juu vinavyosa...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Premium
2.00 TZS
Kidumo Garage mafundi toka moshi
Dodoma , iringa ,mbeya Kidumo Garage mafundi toka moshi Kwa matengenezo ya gari yako Tunaunda body zote za magari ya mizigo 1:single 2:tandam 3;box body 4:tiper 5:canter 6:Tunakata longbase kuwa tipper Tunapatikana dodoma mjini nyuma ya ofis za machame Tembelea page yetu instagram kidumo garage kuon kazi zetu Tupigie 0...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Premium
6.00 TZS
Nauza tipa ya mchanga
Nauza gari aina ya tipa ya mchanga ambalo liko katika hali nzuri na linafaa kwa kazi zote za ujenzi, usafirishaji wa mchanga, mawe, kifusi na mizigo mingine ya site. Gari lina nguvu, lina injini imara, halina matatizo ya matumizi na limekuwa likitunzwa vizuri. Tipa hii inafaa kwa kampuni za ujenzi, wachimbaji, mafundi ...
Located: Mafinga, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Toyota passo Kali sana
TOYOTA PASSO kali sana, imetunzwa vizuri na ipo katika hali bora kwa matumizi ya kila siku. Inakuja na full AC baridi kali, cc 990 yenye ufanisi mkubwa wa mafuta na nguvu za kutosha kwa safari za mjini na za mbali. Ina mfumo mzuri wa music sound unaotoa sauti safi na ya kuvutia wakati wa kuendesha. Gari halina kipengel...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Tunauza vitu vipya au used vyenye ubora
Unatafuta vitu vipya au used vyenye ubora wa hali ya juu bila kupoteza muda kwenda dukani? MPONZI ELECTRONICS STORE inakuletea bidhaa bora, imara na zenye kudumu moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wanaoaminika. Tunajivunia kutoa electronics za kisasa kama TV, simu, home theaters, friji, laptop, speaker, redio na vifaa vi...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Tunauza nguo za watoto zenye ubora
Tunauza nguo za watoto zenye ubora wa hali ya juu, zinazofaa kwa umri tofauti kuanzia watoto wachanga hadi wenye umri wa shule. Tunahakikisha kila bidhaa ina material laini, imara na salama kwa ngozi ya mtoto, hivyo kuwapa watoto faraja na muonekano mzuri kila siku. Tunatoa seti mbalimbali kama nguo za michezo, casual ...
Located: Mafinga, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Tunauza viatu vya kiume sandals
TUNATENGENEZA WENYEWE! Tunauza kwa bei ya jumla kuanzia SH 4,000 kwa agizo la pea 10 na kuendelea, na kwa rejareja ni SH 7,000 tu. Ubora wetu ni wa kiwango cha juu kwa sababu bidhaa zetu tunazitengeneza sisi wenyewe, ndiyo maana wateja wetu wengi wanarudi tena na tena. Zaidi ya mauzo, tunatoa ushauri bure kabisa kwa wa...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Nauza Kuku wa Nyama Mkimbizi Iringa
Unatafuta kuku wa nyama wenye ubora mzuri, waliofugwa katika mazingira safi, salama na yenye chakula cha kutosha? Tunakuletea ofa maalum ya kuku wa nyama kwa bei nafuu na inayomfaa kila mteja katika maeneo ya Iringa, hususan eneo la Mkimbizi, ambako huduma zetu zimekuwa zikiaminika na kupendwa na wateja wengi. Kila kuk...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Wauzaji wa laptop iringa
Karibu kwenye Duka Kuu la Laptop, mahali ambapo unapata bidhaa mbalimbali za teknolojia za kisasa kwa bei za OFA zinazokuvutia. Tunajivunia kutoa aina mbalimbali za laptop za chapa maarufu, kompyuta ndogo za kubebeka (notebooks), vifaa vya kielektroniki, pamoja na accessoires za laptop kama vile madereva, charger, mous...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Premium
Check with seller
Tunauza simu na vifaa vya simu
#AZIZI #PHONE #STORE 🛵 DELIVERY TIME ✅ 📴 MAKADUPA -IRINGA TUNAUZA SIMU NA VIFAA VYA SIMU AINA ZOTE ______&&& tunapatikana 🚧 🚧 ________ 🚧 IRINGA STAND YA ZAMAN JENGO LA MZALENDO CHUMBA NO 17 Deo Mwenda Abubakar Kimario Neema Mathias 53 Contact: 0717536412
Located: Iringa, Iringa, TZ
Premium
Check with seller
Wauzaji wa iphones na Samsung iringa
Nauza simu za iPhone na Samsung pamoja na accessories mbalimbali za simu. Zipo kwenye hali nzuri na bei nafuu. Pata simu na vifaa vinavyokidhi mahitaji yako ya kila siku. 📍 Napatikana Iringa mjini 📞 Piga simu au tuma meseji kupata maelezo zaidi piga simu 0782 309 009
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Tunauza bajaji used
TUNAUZA NA KUNUNUA BAJAJI USED **Full document✅ **Price/bei-7,500,000/=💰 **Location-Dar es salaam(mbagara)✅ ☎️Call & WhatsApp:0694048469📞 Mikoani Tunatuma Kwa Uwaminifu Mkubwa 🙏🏽🙏🏽
Located: Mbagalla, Dar es Salaam, TZ
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
