Kiwanja kinauzwa katika eneo la Isakalilo, Manispaa ya Iringa, kikiwa na ukubwa wa 25 kwa 35. Ni eneo zuri sana kwa makazi, uwekezaji au ujenzi wa mradi binafsi kutokana na mandhari tulivu na miundombinu iliyo karibu. Kiwanja kimepimwa rasmi, hivyo mnunuzi anapata uhakika wa umiliki halali na hati safi. Maji na umeme vipo jirani, jambo linalorahisisha kuanza ujenzi mara moja bila gharama kubwa za miundombinu. Eneo la Isakalilo linajulikana kwa usalama, upatikanaji wa huduma muhimu kama shule, barabara nzuri na usafiri wa uhakika. Kiwanja hiki kinauzwa kwa bei nafuu ya Tsh 4.5M, na ni fursa nzuri kwa mtu anayetafuta ardhi yenye thamani inayoongezeka kila mwaka. Kwa maelezo zaidi, kutembelea eneo au kufanya makubaliano, piga simu 0755 525 413 sasa. Usikose nafasi hii ya kupata kiwanja bora Iringa.
Dukani kwa magda nguo bei poa bei rahisi! Tengeneza faida mara mbili. Simu 0636408609 https://chat.whatsapp.com/H1ucVTOWSxO5QGix6srtDj?mode=gi_t Tunarahisisha biashara kwa watu wa mikoani kwa kuwafikishia mizigo kwa haraka na kwauaminifu mkubwa. Watu wa Dar Es Salaam karibuni dukani Kariakoo jengo la DDC. Jumla Tsh 45,...
Located:Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZCondition:NewTransaction:Sell
TULIPAMWINGA MBETULI VAYAWE mashamba bado yapo yakutosha ndani ya mkoa wa iringa karibuni sana, Ninazo eka za kutosha kata ya lyamgungwe wilaya ya iringa vijijini Pia kwa wanaopenda kilimo cha umwagiliaji ninazo eka 7. Mawasiliano 0650152828 0795320922
Nauza pop corn mashine mpyaaa mnooo 250k,kitanda 5 kwa 6 cha chuma sofa kote kwa 145k,azam ya antena kwa 30k,piano kwa 105k,sofa watu 3 kwa 110k,sofa watu 2 jipy na mito kwa 145k,kimeza cha tv kwa 35k,jiko plate 4 3 znatumia gas 1 umeme kwa 195k,king lion pikpiki no DDD KWA MILION 1.5 TUUU 0620840577 IRINGA MJINI wahii...
Never pay down a deposit in a bank account until you have met the seller, seen signed a purchase agreement. No serious private advertisers ask for a down payment before you meet. Receiving an email with an in-scanned ID does not mean that you have identified the sender. You do this on the spot, when you sign a purchase agreement.