Premium listings
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mashuka ya Mtumba grade 1 Bei Nafuu Dar es Salaam
Unatafuta mashuka safi na zenye ubora wa kipekee? Tuna mashuka ya mtumba Grade 1 ambayo yamehifadhi rangi na unyevunyevu, kamili kwa nyumba, hoteli, au matumizi ya kila siku. ✅ Grade 1 – Ubora wa hali ya juu ✅ Bei Nafuu – Thamani kubwa kwa pesa yako ✅ Mitindo Mbalimbali – Kubwa, ndogo, na rangi mbalimbali ✅ Inapatikana...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nunua Mabegi ya Shule ya Mtumba kwa Bei Nafuu
Tunauza mabelo ya mabegi ya shule ya mtumba kwa bei nafuu sana kwa wauzaji na walimu wa biashara. Mabegi ni imara, yanadumu, na yana miundo mbalimbali kwa ajili ya wanafunzi wa shule ya msingi na sekondari. ✔ Mabegi original ya mtumba ✔ Bei ya jumla (wholesale) ✔ Inafaa kwa wafanyabiashara wanaoanza au waliopo ✔ Usafir...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tracksuit za watoto wa kiume
Unatafuta tracksuit za watoto wa kiume za mtumba zilizo katika hali nzuri, safi na zenye muonekano wa kisasa? Karibu dukani kwetu! Tunauza tracksuit za mtumba daraja la kwanza (Grade 1 & Cream) kwa wavulana wa rika zote—zinafaa shule, michezo na matumizi ya kila siku. Tracksuit zetu zinachaguliwa kwa umakini, zikiw...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza jezi za mtumba
Nauza Belo za jezi za mtumba bora kabisa 🔥 Jezi original za timu kubwa Ulaya na Afrika, zikiwa kwenye hali nzuri sana na bei nafuu. Zinapatikana kwa size zote, zinafaa kwa kuvaa, mazoezi au biashara ya rejareja. 📦 Tunatoa huduma ya usafirishaji 💰 Bei poa kulingana na ubora 📞 Wasiliana nasi sasa upate jezi zako mapema!
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
100000.00 TZS
Nauza nguo
Nauza nguo za mtumba za kiume mtumba jumla na na na na na na na na
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Pochi Nzuri za Mtumba Chaguo Bora kwa Bei Nafuu
Unatafuta pochi nzuri za kisasa za mtumba zenye ubora wa hali ya juu na muonekano wa kuvutia? Tupo kwa ajili yako! Tunakuletea pochi za kisasa zilizochaguliwa kwa umakini, zikiwa katika mitindo tofauti ili kukidhi ladha ya kila mteja. Pochi zetu ni imara, zina nafasi ya kutosha kubeba pesa, kadi na simu, huku zikiendan...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Jeans kali za mtumba
Tunauza belo kali za mtumba za jeans kwa ubora wa hali ya juu, safi, hazijachakaa na zipo katika mitindo ya kisasa inayopendwa na vijana na watu wazima. Belo zetu zinatoka kwenye brands maarufu, zinadumu muda mrefu na zinakupa muonekano wa kisasa kama wa bidhaa mpya kabisa. Tunazo aina mbalimbali ikiwemo belo za jeans ...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Viatu vya watoto vya mtumba
Pata Mabelo viatu vya watoto vya mtumba karibu mapya na kwa bei nafuu Dar es Salaam! Tunatoa chaguo kubwa la viatu vya mitindo mbalimbali, vinavyofaa kwa watoto wa rika zote. Ubora wa viatu vyetu unahakikisha faraja na kudumu, huku ukipata mitindo ya kuvutia inayopendeza kwa watoto. ✅ Mitindo ya kisasa ✅ Ubora wa juu ✅...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mabegi ya mgongoni ya mtumba
Unatafuta mabegi ya mgongoni ya mtumba yenye ubora, mtindo na bei nafuu? Karibu kwenye duka letu la mtumba ambapo tunauza Mabelo ya mabegi safi, imara na yaliyochaguliwa kwa makini ili kukidhi mahitaji yako ya kila siku. Tunayo mabegi ya rangi na ukubwa mbalimbali, zinazofaa kwa wanafunzi, wafanyakazi, na watu wanaopen...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tshirt Kali za mtumba
Tunauza Belo zaT-shirt kali za mtumba zenye ubora mzuri na mitindo ya kuvutia. Zipo kwenye hali nzuri, hazijachakaa, rangi bado ziko fresh na kitambaa kizito kinachodumu. Zinapatikana kwa size na design mbalimbali, zinafaa kuvaa kila siku, matembezi, kazi au mitoko. Bei ni nafuu sana ukilinganisha na ubora wake. Wasili...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Masweta mazuri ya mtumba
Mashati ya Kiume ya Mtumba – Daraja la Kwanza! 👔 Tunauza mashati ya kiume ya mtumba yaliyochaguliwa kwa umakini, yakiwa katika hali bora, safi na yenye mitindo ya kisasa. Yanapatikana kwa bei nafuu sana, yanafaa kwa kazi, ofisi, sherehe au matumizi ya kila siku. 👉 Ubora wa juu 👉 Bei rafiki 👉 Mitindo mbalimbali 👉 Huduma...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Suruali za kike za mtumba
DescriptionBATELEUR SAFARIS presents... RUAHA CHRISTMAS PARTY & SAFARI! 📍 Ruaha National Park | 🗓️ 25th & 26th December, 2025 2 DAYS / 1 NIGHT EXPERIENCE - AN ALL INCLUSIVE SAFARI PACKAGE! - Transport, 3 Meals, Accommodation, Soft Drinks, Entry & Guiding fees with so much fun! 💰 PRICES... > East African ...
Located: Iringa, TZ
6000000.00 TZS
Tunanunua na kuuza bajaji
TUNAUZA NA KINUNUA BAJAJI USED ..Full document* ..Price/bei-6,000,000/= ..Location~Dar es salaam~Mbagala ☎️Call & WhatsApp:0694048469📞 Mikoani Tunatuma Kwa Uwaminifu Mkubwa 🙏🏽🙏🏽
Located: Mbagalla, Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Check with seller
nauza pikipiki boxer used
Nauza pikipiki aina ya Boxer iliyopo katika hali nzuri, imetunzwa vyema na ipo tayari kwa matumizi ya kila siku mjini au kwa safari za mbali. Pikipiki hii ni ya kipekee kwa sababu ina injini yenye nguvu, inatoa mileage nzuri ya mafuta, na ni rahisi kudhibitiwa hata kwenye mitaa yenye foleni au barabara ngumu. Ni chaguo...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Check with seller
Nauza pikipiki namba C
Nauza Pikipiki Boxer 125 Namba C Iringa | Bei Poa Sh 850,000 Pikipiki hii ni Boxer 125 yenye namba C, ipo tayari kwa matumizi ya kila siku. Bei ni nafuu sana, Sh 850,000 tu. Pikipiki ni nzuri, imetunzwa kwa weledi, haina matatizo, na ni chaguo bora kwa yeyote anayehitaji usafiri wa haraka na wa kuaminika Iringa Mjini, ...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Check with seller
Nyumba inapangishwa wilolesi
House for rent$ --------------------------------------------------------------------------------+ Vyumba viwili na vyote ni master Sebule,jiko, store na public toilet Bei 400,000 Location Wilolesi Contact 0712908002
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Viwanja vinauzwa
VIWANJA VINAUZWA. ✅VIWANJA VIPO KINYANAMBO A (MIFUGO) MAFINGA IRINGA 🇹🇿. ✅VIWANJA VIMEPIMWA UKUBWA WA MITA 20 KWA 25 NA 20 KWA 20 . ✅BEI NI MILIONI TATU NA LAKI TANO PUNGUZO LIPO KIDOGO. ✅VIMEBAKI VIWANJA VITATU TU. ✅O768651525.
Located: Mafinga, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Viwanja vipi iringa maneno ya kitwiru
Viwanja vipo Iringa manispaa maeneo ya kitwiru Vipo top top bei ni tofaut tofauti kulingana na eneo lilipo wewe piga cm tuu unapata kulingana na bei Yako na huduma zote zipo havina shida yoyote ile Na pia ya maji ni muhimu sana Col 0794496510
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Viwanja vinauzwa kigonzile
Njooo ujichukulie viwanja ivyoo apoo mia 700sq kwa milioni tatu na nusu Kila kimoja pga 0714974268 location kigonzile karibu na Shule ya st Dominic
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Viwanja vinapatikana iringa maneno yote
🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦 VIWANJA VIWANJA VIWANJA VIWANJA VIWANJA VIWANJA Iringa region VIWANJA vipoo maeneo ya: ⭐Isakalilo ⭐Kigonzile ⭐Itamba ⭐Mawelewele ⭐Zizi ⭐Mkimbizi ⭐Njia panda ya tosa ⭐Kitwiru ⭐Ipogolo ⭐Kitasengwa ⭐Ndiuka ⭐Igumbilo ⭐Viwengi ⭐Ilula Piga *simu,0753745947/0616857220* Iringa mjini Mr *share* *mkuu*
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Tunatoka mikopo kwa watumishi
𝗙𝗔𝗡𝗜𝗞𝗜𝗪𝗔 𝗠𝗜𝗖𝗥𝗢𝗙𝗜𝗡𝗔𝗡𝗖𝗘. 𝖳𝖺𝖺𝗌𝗂𝗌𝗂 𝗂𝗇𝖺𝗒𝗈𝗍𝗈𝖺 𝗆𝗂𝗄𝗈𝗉𝗈 𝗄𝗐𝖺 𝗐𝖺𝗍𝗎𝗆𝗂𝗌𝗁𝗂 𝗐𝖺 𝖴𝖬𝖬𝖠 𝗒𝖾𝗇𝗒𝖾 𝗋𝗂𝖻𝖺 𝗇𝖺𝖿𝗎𝗎 𝗓𝖺𝗂𝖽𝗂. 𝖪𝗎𝖻𝗐𝖺 𝗄𝗎𝗅𝗂𝗄𝗈 𝗎𝗇𝖺𝗁𝗎𝖽𝗎𝗆𝗂𝗐𝖺 𝗉𝗈𝗉𝗈𝗍𝖾 𝗄𝗐𝖺 𝗇𝗃𝗂𝖺 𝗒𝖺 𝗌𝗂𝗆𝗎 𝗍𝗎. 𝖶𝖺𝗌𝗂𝗅𝗂𝖺𝗇𝖺 𝗇𝖺𝗌𝗂.𝗄𝗐𝖺 𝗇𝖺𝗆𝖻𝖺 0620673040/0768417146. 𝖠𝗎 𝗍𝗎𝗆𝖺 𝗍𝗎 𝗎𝗃𝗎𝗆𝖻𝖾
Located: Iringa, Iringa, TZ
Premium
Check with seller
Tunakopesha na kuuza simu aina ya Samsung
TUNAKOPESHA NA KUUZA SIMU AINA YA SAMSUNG NDANI NA NJE YA IRINGA VIGEZO 1. VITAMBULISHO KATI YA NIDA, MPIGA KURA AU LESENI YA UDEREVA 2. NAMBA AKO YA SIMU 3. KIANZIO A05 Gb 64/4 Cash -365K A06 128/4gb Kianzio-120,000Tsh Weekly -11,475 Cash-470,000Tsh A05S 128/4gb Kianzio-120,000Tsh Cash -450,000Tsh A16128/4gb Kianzio-1...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Rent
Premium
Check with seller
Mikopo ya biashara kuanzia milioni moja
Mikopo ya BIASHARA kuanzia Milioni moja(1,000,000) na kuendelea. Ni kwa ajili ya wafanyabiashara walio na biashara Iringa. Tunakuja kukagua biashara,na kiwango cha mkopo kitategemeana na uwezo wa biashara yako. Piga simu ili uje Benki kwetu kwa maelezo zaidi. PIGA SIMU 0612 250266-Afisa Mikopo
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Rent
Premium
Check with seller
TANGAZO LA KAZI
We are Hiring! HR Coordinator --- Why Join Us? At Ramada Hotel, we believe our people are our greatest asset. This role offers the chance to develop your HR career in a supportive, international hospitality environment, while making a meaningful impact on employee engagement and organisational success. --- About the Ro...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
