Premium listings
Premium
Wasiliana na muuzaji
kuku wa kisasa wa nyama
Nauza kuku wa kisasa wenye afya nzuri na waliokuzwa kwa chakula bora. Unapata kuku bora kwa ajili ya biashara, sherehe, au matumizi ya nyumbani. Bei zetu ni nafuu na unaweza kupata kwa rejareja au jumla. 📍 Napatikana kihesa Iringa 📞 Wasiliana nami kwa maelezo zaidi 0718603656 0742610610
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Viwanja vinapatikana iringa maneno yote
🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦 VIWANJA VIWANJA VIWANJA VIWANJA VIWANJA VIWANJA Iringa region VIWANJA vipoo maeneo ya: ⭐Isakalilo ⭐Kigonzile ⭐Itamba ⭐Mawelewele ⭐Zizi ⭐Mkimbizi ⭐Njia panda ya tosa ⭐Kitwiru ⭐Ipogolo ⭐Kitasengwa ⭐Ndiuka ⭐Igumbilo ⭐Viwengi ⭐Ilula Piga *simu,0753745947/0616857220* Iringa mjini Mr *share* *mkuu*
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza mashati ya kiume ya mtumba
Nauza mashati ya kiume ya mtumba grade A, ubora wa hali ya juu na bado mapya kwa kuvaa. ✔️ Yanapatikana kwa rangi na design mbalimbali ✔️ Ubora wa kudumu na muonekano wa kisasa ✔️ Bei nafuu na inakubaliana Mahali: Iringa mjini Mawasiliano: 0657693380 Piga/Sms/WhatsApp kwa maelezo zaidi
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mikopo ya biashara kuanzia milioni moja
Mikopo ya BIASHARA kuanzia Milioni moja(1,000,000) na kuendelea. Ni kwa ajili ya wafanyabiashara walio na biashara Iringa. Tunakuja kukagua biashara,na kiwango cha mkopo kitategemeana na uwezo wa biashara yako. Piga simu ili uje Benki kwetu kwa maelezo zaidi. PIGA SIMU 0612 250266-Afisa Mikopo
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Rent
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza kuku wa nyama
Nauza kuku wa nyama waliokomaa vizuri, wenye afya bora na wanakua haraka. Kuku wanapatikana kwa bei nafuu na mzuri kwa biashara au matumizi ya nyumbani. Maelezo ya Ziada: ✅ Kuku wazima na wenye uzito wa kutosha ✅ Bei nafuu kwa jumla na rejareja ✅ Napatikana Iringa Mawasiliano: Piga/SMS: 0760812258
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunakopesha na kuuza simu aina ya Samsung
TUNAKOPESHA NA KUUZA SIMU AINA YA SAMSUNG NDANI NA NJE YA IRINGA VIGEZO 1. VITAMBULISHO KATI YA NIDA, MPIGA KURA AU LESENI YA UDEREVA 2. NAMBA AKO YA SIMU 3. KIANZIO A05 Gb 64/4 Cash -365K A06 128/4gb Kianzio-120,000Tsh Weekly -11,475 Cash-470,000Tsh A05S 128/4gb Kianzio-120,000Tsh Cash -450,000Tsh A16128/4gb Kianzio-1...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Rent
Premium
Wasiliana na muuzaji
Wauzaji wa accessories za magari
Tunauza spare zote za magari Tunauza accessories zote za magari Tunauza lubricant aina zote Tunafunga android music system Tunapatikana uhindini Iringa mjini
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mashuka mazuri ya mtumba kwa bei poa Tanzania
Nauza mashuka ya mtumba safi na bed cover nzuri kwa bei nafuu. Ubora mzuri na wa kudumu Safi na zenye mvuto Bei nafuu kuanzia Tsh 15,000 na kuendelea Huduma: 📦 Delivery inapatikana kulingana na eneo ulilopo Mawasiliano: 📞 Piga / WhatsApp:0762241408
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza kuku wa Sasso wa ubora wa juu
Wauzaji wa kuku na vifaranga Bora vya sasso Washauri wa kitaalamu na wafugaji wa mabanda ya kuku Tunatumia mpaka mikoani
Located: Ismani, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
45.00 TZS
JIPATIE SIMU YA MKOPO SAMSUNG A05 STORAGE 64 GB KWA KIANZIO 45,000 TU PIGA SIMU 0611218325
JIPATIE SIMU YA MKOPO SAMSUNG A05 STORAGE 64 GB KWA KIANZIO 45,000 TU PIGA SIMU 0611218325 Malipo awamu mbili miez 6&12 Miezi 6 malipo kwa week 15821 Miezi 12 malipo kwa week 10640 Karibuni sana iringa free delivery Piga 0611218325
Located: Iringa, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunatoka mikopo kwa watumishi
𝗙𝗔𝗡𝗜𝗞𝗜𝗪𝗔 𝗠𝗜𝗖𝗥𝗢𝗙𝗜𝗡𝗔𝗡𝗖𝗘. 𝖳𝖺𝖺𝗌𝗂𝗌𝗂 𝗂𝗇𝖺𝗒𝗈𝗍𝗈𝖺 𝗆𝗂𝗄𝗈𝗉𝗈 𝗄𝗐𝖺 𝗐𝖺𝗍𝗎𝗆𝗂𝗌𝗁𝗂 𝗐𝖺 𝖴𝖬𝖬𝖠 𝗒𝖾𝗇𝗒𝖾 𝗋𝗂𝖻𝖺 𝗇𝖺𝖿𝗎𝗎 𝗓𝖺𝗂𝖽𝗂. 𝖪𝗎𝖻𝗐𝖺 𝗄𝗎𝗅𝗂𝗄𝗈 𝗎𝗇𝖺𝗁𝗎𝖽𝗎𝗆𝗂𝗐𝖺 𝗉𝗈𝗉𝗈𝗍𝖾 𝗄𝗐𝖺 𝗇𝗃𝗂𝖺 𝗒𝖺 𝗌𝗂𝗆𝗎 𝗍𝗎. 𝖶𝖺𝗌𝗂𝗅𝗂𝖺𝗇𝖺 𝗇𝖺𝗌𝗂.𝗄𝗐𝖺 𝗇𝖺𝗆𝖻𝖺 0620673040/0768417146. 𝖠𝗎 𝗍𝗎𝗆𝖺 𝗍𝗎 𝗎𝗃𝗎𝗆𝖻𝖾
Located: Iringa, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mabelo ya Nguo za Mitumba Bei Nafuu
Nauza mabelo ya nguo bora za mitumba aina mbalimbali kwa bei nafuu. 👉 Ubora wa hali ya juu 👉 Bei rafiki na inayokubaliana 👉 Chaguo la mteja – mitindo na makundi tofauti Napatikana Iringa. Kwa mawasiliano na maelezo zaidi nipigie simu au tuma meseji. Simu/WhatsApp: 0716454646
Located: Iringa, TZ
Check with seller
Best Scientific Calculator Tanzania
Best Scientific Calculator Tanzania – Nunua Original kwa Bei Nafuu 🇹🇿 Unatafuta best scientific calculator Tanzania kwa masomo, mitihani au matumizi ya kitaalamu? Tunauza scientific calculators bora na original zinazofaa wanafunzi wa sekondari, vyuo na walimu. ✔️ Zinakubalika kwenye mitihani ✔️ Zinahesabu kwa haraka na...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Tunauza Notebook na Diaries Bei ya Jumla
Tunauza Notebook na Diaries Bei ya Jumla 📒✍️ Pata notebook na diaries za ubora wa juu kwa bei ya jumla – zinafaa kwa shule, ofisi, taasisi na wauzaji wa rejareja. Zinapatikana kwa miundo mbalimbali, jalada imara na bei nafuu kulingana na idadi. 📦 Ununuzi wa jumla = faida zaidi 🚚 Usafirishaji ndani ya Tanzania 👉 Wasilia...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Kamba za Vitambulisho Bei ya Jumla
Kamba za Vitambulisho Bei ya Jumla 🎫 Tunauza kamba za vitambulisho za ubora wa juu kwa bei ya jumla – kamili kwa ofisi, shule, na hafla za makampuni. Zenye nguvu, zenye rangi mbalimbali na zinazodumu. 📦 Ununuzi wa jumla = faida zaidi 🚚 Usafirishaji haraka ndani ya Tanzania 👉 Wasiliana nasi leo upate kamba bora kwa bei ...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Tunauza gift bags bei ya jumla
Tunauza Gift Bags kwa Bei ya Jumla! 🎁✨ Pata gift bags zenye ubora wa juu kwa bei nafuu kwa mauzo ya jumla. Kamili kwa maduka, biashara, au matukio maalum. Wasiliana nasi sasa: ABE MWANGAZA STATIONERY 📌 Instagram: @mwangaza_stationery_supply Ubora, bei nafuu, na huduma ya haraka – chagua Mwangaza Stationery!
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Tunauza Vifaa vya stationery bei ya jumla
Karibu mwangaza Stationery and supplies. TUNAUZA JUMLA ,REJAREJA NA TUNASUPPLY ✅All Stationery & Office Supplies ✅All School &Ict Equipments ✅Branding & Promotion Materials Na Vingine Vingi ————————————— TUNAO UZOEFU NA UWEZO WA KUTOSHA KUHUDUMIA Wafanyabiashara Wakubwa na Wadogo,Taasisi za Uma na Binafsi h...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Orodha ya Vifaa vya stationary
Tunauza kila kitu unachohitaji kwa shule, ofisi au biashara yako. Angalia baadhi ya bidhaa zetu: Penseli na kalamu ✏️🖊️ Notebooks na diaries 📓📔 Kamba za vitambulisho 🏷️ Vifaa vya kuchora na rangi 🎨 Staplers, files, na vifaa vingine vya ofisi 📎 Wasiliana nasi sasa: ABE MWANGAZA STATIONERY 📌 Instagram: @mwangaza_statione...
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Vifaa vya shule stationery
TUNAUZA JUMLA ,REJAREJA NA TUNASUPPLY ✅All Stationery & Office Supplies ✅All School &Ict Equipments ✅Branding & Promotion Materials Na Vingine Vingi ————————————— TUNAO UZOEFU NA UWEZO WA KUTOSHA KUHUDUMIA Wafanyabiashara Wakubwa na Wadogo,Taasisi za Uma na Binafsi hata Mashirika ya Kimataifa KWA MFUMO WA C...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Vifaa vya Shule Stationery Jumla Tanzania
Nunua vifaa vya shule stationery kwa jumla kwa wanafunzi Tanzania. Penseli, kalamu, daftari, rula na vifaa vingine vya elimu kwa bei nafuu."
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Vifaa vya Shule Stationery Orodha Kamili ya Bidhaa
Vifaa vya Shule Stationery - Orodha Kamili ya Bidhaa 🎒 Unatafuta vifaa vya shule vya ubora wa juu kwa bei nafuu? Tunayo vifaa vya shule stationery vya kila aina: kalamu, daftari, rula, lifti, kikokotoo, penseli, na zaidi! 😍 ✅ Bei za jumla na rejareja ✅ Bidhaa mpya na za kuaminika ✅ Huduma haraka na rafiki 📍 Tembelea du...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Duka la Vifaa vya stationary
Duka la Vifaa vya Stationary – Bidhaa Bora na Bei Nafuu! ✏️ Unatafuta vifaa vya shule, ofisi au biashara? Tembelea duka letu la vifaa vya stationary kwa: Kalamu, penseli, daftari, rula, kikokotoo 📒 Gift bags, staples na vifaa vingine vyote vya ofisi 🎁 Bei za jumla na rejareja 💰 Huduma ya haraka na rafiki 🤝 📍 Tembelea s...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Michezo ya watoto shuleni
Michezo ya Watoto Shuleni – Furaha, Afya na Elimu Bora Tunatoa michezo bora ya watoto shuleni inayochangia afya, akili na maendeleo ya mtoto 🧸⚽🎨. Michezo ya kujifunzia, michezo ya nje na ya darasani inayofaa kwa shule za awali, msingi na chekechea. Inasaidia kukuza ubunifu, nidhamu, ushirikiano na uwezo wa kufikiri kwa...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Vifaa vya stationary na bei zake wholesale
VIFAA VYA STATIONARY NA BEI ZAKE WHOLESALE – KIKAMILIFU NA CHA KIASILI! 🔹 Unatafuta vifaa vya stationary na bei zake wholesale kwa biashara yako, shule au ofisi? 🔹 Tunakuletea bidhaa bora zaidi kwa bei za jumla (wholesale) – thamani kwa pesa yako! ✨ Tunauza: ✔ Penseli za ubora wa juu ✔ Kalamu za kugusa na zisizokausha ...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
- 1
