Higher price first
Matangazo ya kipekee
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nguo za mtumba za watoto
Nguo za Mtumba za Watoto – Safi na Bei Nafuu! Tunauza nguo bora za watoto kuanzia miezi 0 hadi miaka 12. Mchanganyiko wa magauni, suruali, t-shirt, mashati na seti kamili. ✔ Jumla & rejareja ✔ Quality grade A ✔ Bei kuanzia Tsh 500/= kwa kipande ✔ Delivery Tanzania nzima
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Viatu vya mtumba vya kiume
Belo la Viatu vya Mtumba vya Kiume – Fursa ya Biashara! 🔥👞 Pata belo la viatu vya mtumba vya kiume vyenye ubora mzuri, mitindo ya kisasa na hali safi. Viatu vimechaguliwa kwa uangalifu ili vikidhi mahitaji ya wanaume na wauzaji sokoni. ✅ Viatu vingi kwa belo moja ✅ Ubora mzuri & vinadumu ✅ Mitindo tofauti (rasmi &a...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Jeans kali za mtumba
Tunauza belo kali za mtumba za jeans kwa ubora wa hali ya juu, safi, hazijachakaa na zipo katika mitindo ya kisasa inayopendwa na vijana na watu wazima. Belo zetu zinatoka kwenye brands maarufu, zinadumu muda mrefu na zinakupa muonekano wa kisasa kama wa bidhaa mpya kabisa. Tunazo aina mbalimbali ikiwemo belo za jeans ...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nunua Suruali za Mtumba za Kiume Bei Nafuu
Tunauza mabelo ya suruali za mtumba za kiume kwa bei ya jumla (wholesale) kwa wafanyabiashara na wauzaji wakubwa na wadogo. Suruali ni original, zenye ubora mzuri na zinadumu kwa matumizi ya muda mrefu. ✔ Suruali za jeans, kitambaa na cargo ✔ Bei nafuu sana kwa mabelo ✔ Inafaa kwa biashara ya soko, duka au online ✔ Sai...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mashuka ya mtumba grade 1 ubora wa juu
Unatafuta mashuka ya mtumba grade 1 yenye ubora wa hali ya juu? Napatikana Iringa Mjini na nauza mashuka safi, imara, yenye rangi nzuri na yanayodumu muda mrefu. Kila shuka linaweza kutumika kwa matumizi ya nyumbani, nyumba za kulala wageni, hosteli, au matumizi ya kawaida. Mashuka yangu ya mtumba grade 1 yamechaguliwa...
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Suruali za kike za mtumba
Mimi ni muuzaji wa mabelo ya nguo za mitumba zenye ubora wa hali ya juu. Nauza shuka mbalimbali, suruali za aina zote, nguo za watoto na nguo za wakubwa kwa bei nafuu na zinazomudu kila mfuko. Nguo zipo katika hali nzuri, safi na tayari kuuzwa rejareja au jumla. Nafaa kwa wafanyabiashara wanaoanza au wanaoendelea. Nipo...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mabegi ya mgongoni ya mtumba
Unatafuta mabegi ya mgongoni ya mtumba yenye ubora, mtindo na bei nafuu? Karibu kwenye duka letu la mtumba ambapo tunauza Mabelo ya mabegi safi, imara na yaliyochaguliwa kwa makini ili kukidhi mahitaji yako ya kila siku. Tunayo mabegi ya rangi na ukubwa mbalimbali, zinazofaa kwa wanafunzi, wafanyakazi, na watu wanaopen...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Gauni nzuri ya mtumba
BELO ZA GAUNI NZURI ZA MTUMBA ZIPO! 🌸 Unatafuta gauni la kisasa, maridadi na kwa bei nafuu? Tunazo gauni nzuri za mtumba zenye ubora wa hali ya juu, mitindo ya kisasa na rangi zinazovutia 💃 ✅ Bei nafuu ✅ Ubora mzuri ✅ Mitindo mbalimbali (kazini, sherehe, outing) 📦 Usafirishaji unapatikana 📞 Wasiliana nasi sasa upate ga...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nguo za mtumba grade 1
Unatafuta nguo za mtumba grade 1 zenye ubora wa hali ya juu, safi na zinazovutia macho? Sisi tunakuletea nguo zilizochaguliwa kwa umakini, zikiwa bado kwenye hali nzuri karibu na mpya. Nguo zetu za mtumba grade 1 zina muonekano mzuri, hazijachakaa, na zinafaa kwa matumizi ya kila siku au kwa biashara ya kuuza rejareja....
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Chimbo la Magauni ya Mtumba Bei Nafuu na Ubora Bora
Unatafuta magauni mazuri ya mtumba kwa biashara au matumizi binafsi? Karibu kwenye chimbo la magauni ya mtumba lenye bei nafuu na ubora bora. Tunapatikana na magauni ya kisasa, ya kike na ya heshima, yanayofaa ofisini, sherehe, harusi na matumizi ya kila siku. Magauni yetu hupatikana kwa kupanga au jumla, hivyo mfanyab...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Masweta mazuri ya mtumba
Pata MASWETA mazuri ya mtumba yenye ubora wa hali ya juu, laini, yanayodumu na yanayovutia 👌 Yanatosha kwa baridi kali au matumizi ya kila siku. ✅ Ubora wa kuchagua ✅ Mitindo ya kisasa ✅ Bei nafuu sana ✅ Yanavaliwa na wanaume & wanawake 📦 Tunauza rejareja na jumla 📞 Wasiliana nasi sasa upate chaguo bora!
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tshirt Kali za mtumba
Tunauza Belo zaT-shirt kali za mtumba zenye ubora mzuri na mitindo ya kuvutia. Zipo kwenye hali nzuri, hazijachakaa, rangi bado ziko fresh na kitambaa kizito kinachodumu. Zinapatikana kwa size na design mbalimbali, zinafaa kuvaa kila siku, matembezi, kazi au mitoko. Bei ni nafuu sana ukilinganisha na ubora wake. Wasili...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Check with seller
Scientific calculator casio
Casio Scientific Calculator Original Tunauza Casio scientific calculator kwa bei nafuu Tanzania. Inafaa kwa shule, vyuo na matumizi ya kitaalamu. 👉 Wasiliana nasi leo upate calculator bora cha hesabu.
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
TANGAZO LA KAZI
#NAFASI_ZA_KAZI YA_KUSAMBAZA_TAARIFA Wanahitajika watu watakao fanya kazi ya kusambaza taarifa za kampuni ya Gcat International Company Limited Taarifa za huduma inayotolewa na kampuni kwa kutumia simu yako ya mkononi/ Smart phone. NOTE: * Nilazima uwe na simu kubwa/ Smart phone * Uwe Iringa tu * Uwe na bidii ya kazi *...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Premium
Check with seller
Nauza mayai ya kisasa
Unataka kuwa MILIONEA? Uza MAYAI ! Anza hata na trey chache. Soko ni Kubwa. Uzia Nyumbani, Dukani, Kibandani, Gengeni... Agiza sasa kutoka KILOMBERO KUKU FARM Tsh.6,000/= @ Trey Piga 0769217810. Whatsapp 0677988499. * Makubwa ya kisasa yenye kiini cha njano. * Tupo Kilombero, Morogoro - Tanzania. * Tunasafirisha mikoa ...
Located: Morogoro, Morogoro, TZ
Check with seller
Michezo ya watoto shuleni
Michezo ya Watoto Shuleni – Furaha, Afya na Elimu Bora Tunatoa michezo bora ya watoto shuleni inayochangia afya, akili na maendeleo ya mtoto 🧸⚽🎨. Michezo ya kujifunzia, michezo ya nje na ya darasani inayofaa kwa shule za awali, msingi na chekechea. Inasaidia kukuza ubunifu, nidhamu, ushirikiano na uwezo wa kufikiri kwa...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Dining table za kisasa
Tafuta dining table za kisasa zinazoongeza mtindo na ubora jikoni yako au chumba cha kula! Zenye muundo imara, rangi za kuvutia, na nafasi ya kutosha kwa familia yako. Zimeundwa kwa ustadi wa kisasa ili kudumu na kufanya chakula chako kuwa cha kipekee. Nunua leo na fanya chumba chako cha kula kiwe cha kipekee
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Natafuta soko la kuku wa kienyeji
NA KUKU WA KIENYEJI – NATAFUTA SOKO (DODOMA) 🐔 Ninatafuta soko la kuku wa kienyeji waliokomaa, wenye afya nzuri na wanaofaa kwa matumizi ya nyumbani, sherehe, migahawa na hoteli. Nipo Dodoma na niko tayari kununua kuku wa kienyeji kwa wingi au mmoja mmoja kulingana na makubaliano. Iwapo una kuku wa kienyeji au unamjua ...
Located: Dodoma, Dodoma, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Sofa za kisasa Tanzania
Unatafuta sofa za kisasa Tanzania zenye muonekano wa kuvutia, faraja ya hali ya juu na ubora wa kudumu? Karibu kwetu! Tunakuletea sofa za kisasa zilizotengenezwa kwa design za kisasa, povu nene laini, na vitambaa vya ubora wa juu vinavyofaa kwa nyumba za leo. Sofa zetu zinafaa kwa sebule, ofisi na apartment, zikiwa na ...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Premium
Check with seller
Nauza unga wa mchele
Tunauza unga halisi wa mchele usioongezwa kitu chochote kwa matumizi wa uji, mkate na vitumbua kilo moja sh 3500/= Tupo Iringa mjini mawasiliano zaidi tupigie 0658931392 mikoa ya jirani tunatuma kwa uaminifu
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Magauni ya Mtumba Grade 1 – Bei Nafuu
Nauza magauni ya mtumba grade A yenye ubora mzuri na muonekano wa kuvutia. Magauni yapo katika hali safi na yamechaguliwa vizuri, yanafaa kwa matumizi ya kila siku na sherehe. 📍 Nipo Iringa mjini, Mashine Tatu ✅ Ubora wa juu (Grade A) ✅ Bei nafuu na maongezi yapo ✅ Ukifika unachagua mwenyewe Mawasiliano: Piga/WhatsApp:...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Check with seller
Fundi kinyozi mwangata
Fundi mwangata nanyoa style zote
Located: Buhalahala, Geita, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Meza za chakula za mbao
Panga jikoni au sebule yako kwa mtindo na urahisi kwa meza za chakula za mbao zinazokamilisha mapambo ya nyumba yako. Meza hizi zimeundwa kwa mbao imara na zenye rangi za kuvutia, zikihakikisha starehe na muonekano wa kisasa wakati wa kula. Iwe ni kwa familia au wageni, meza za chakula za mbao zinatoa nafasi ya kutosha...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Huduma ya usafirishaji iringa
BATELEUR SAFARIS presents... RUAHA CHRISTMAS PARTY & SAFARI! 📍 Ruaha National Park | 🗓️ 25th & 26th December, 2025 2 DAYS / 1 NIGHT EXPERIENCE - AN ALL INCLUSIVE SAFARI PACKAGE! - Transport, 3 Meals, Accommodation, Soft Drinks, Entry & Guiding fees with so much fun! 💰 PRICES... > East African citizens - ...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Transaction: Sell
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
