Premium listings
Premium
45.00 TZS
JIPATIE SIMU YA MKOPO SAMSUNG A05 STORAGE 64 GB KWA KIANZIO 45,000 TU PIGA SIMU 0611218325
JIPATIE SIMU YA MKOPO SAMSUNG A05 STORAGE 64 GB KWA KIANZIO 45,000 TU PIGA SIMU 0611218325 Malipo awamu mbili miez 6&12 Miezi 6 malipo kwa week 15821 Miezi 12 malipo kwa week 10640 Karibuni sana iringa free delivery Piga 0611218325
Located: Iringa, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunatoka mikopo kwa watumishi
𝗙𝗔𝗡𝗜𝗞𝗜𝗪𝗔 𝗠𝗜𝗖𝗥𝗢𝗙𝗜𝗡𝗔𝗡𝗖𝗘. 𝖳𝖺𝖺𝗌𝗂𝗌𝗂 𝗂𝗇𝖺𝗒𝗈𝗍𝗈𝖺 𝗆𝗂𝗄𝗈𝗉𝗈 𝗄𝗐𝖺 𝗐𝖺𝗍𝗎𝗆𝗂𝗌𝗁𝗂 𝗐𝖺 𝖴𝖬𝖬𝖠 𝗒𝖾𝗇𝗒𝖾 𝗋𝗂𝖻𝖺 𝗇𝖺𝖿𝗎𝗎 𝗓𝖺𝗂𝖽𝗂. 𝖪𝗎𝖻𝗐𝖺 𝗄𝗎𝗅𝗂𝗄𝗈 𝗎𝗇𝖺𝗁𝗎𝖽𝗎𝗆𝗂𝗐𝖺 𝗉𝗈𝗉𝗈𝗍𝖾 𝗄𝗐𝖺 𝗇𝗃𝗂𝖺 𝗒𝖺 𝗌𝗂𝗆𝗎 𝗍𝗎. 𝖶𝖺𝗌𝗂𝗅𝗂𝖺𝗇𝖺 𝗇𝖺𝗌𝗂.𝗄𝗐𝖺 𝗇𝖺𝗆𝖻𝖺 0620673040/0768417146. 𝖠𝗎 𝗍𝗎𝗆𝖺 𝗍𝗎 𝗎𝗃𝗎𝗆𝖻𝖾
Located: Iringa, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza mashati ya kiume ya mtumba
Nauza mashati ya kiume ya mtumba grade A, ubora wa hali ya juu na bado mapya kwa kuvaa. ✔️ Yanapatikana kwa rangi na design mbalimbali ✔️ Ubora wa kudumu na muonekano wa kisasa ✔️ Bei nafuu na inakubaliana Mahali: Iringa mjini Mawasiliano: 0657693380 Piga/Sms/WhatsApp kwa maelezo zaidi
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza Showcase Nzuri ya Kisasa
Nauza showcase nzuri ya kisasa kwa ajili ya chumba cha wageni au ofisi. Imetengenezwa kwa mbao imara na vioo vya ubora, inafaa kwa kuhifadhia vyombo, vitabu au mapambo. Hali yake ni nzuri sana na inauzwa kwa bei nafuu. 📍 Napatikana Iringa mjini 📞 Piga au tuma meseji kwa maelezo zaidi 0627477686 0710574686
Located: Iringa, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Viwanja vipi iringa maneno ya kitwiru
Viwanja vipo Iringa manispaa maeneo ya kitwiru Vipo top top bei ni tofaut tofauti kulingana na eneo lilipo wewe piga cm tuu unapata kulingana na bei Yako na huduma zote zipo havina shida yoyote ile Na pia ya maji ni muhimu sana Col 0794496510
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza viatu vya Travolta
Viatu vya Mtumba Grade A Travolta Vinauzwa 🥿 Nauza viatu vya mtumba grade A vilivyo kwenye hali nzuri sana. 📍 Napatikana Iringa mjini ✅ Ubora wa hali ya juu ✅ Bei nafuu kabisa ✅ Vyote viko tayari kwa matumizi Karibu ununue kwa ajili yako au biashara. Piga/WhatsApp: 0621006724
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mchele grade 1 kutoka mbeya
Karibu mchele grade 1 kutoka Mbeya kwa bei punguzo kilo ni 2000 Tunasafirisha popote ulipo Contact 0627109582 Kilo ni 2000
Located: Mbeya, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Magauni Mazuri ya Mtumba Grade A Bei Nafuu Iringa
Nauza magauni mazuri ya mtumba Grade A yenye ubora wa hali ya juu, safi, na ya mitindo ya kisasa. Magauni yetu yanatoka kwa wachuuzi wa kuaminika na yamechaguliwa kwa uangalifu kuhakikisha kila kipande kina muonekano mzuri, kinaendana na mitindo ya sasa, na kinastahili kwa sherehe, shuleni, au matumizi ya kila siku. Tu...
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Brauzi za Mtumba Grade 1 Zinauzwa
Brauzi za Mtumba Grade 1 Zinauzwa 📌 Maelezo: Nauza brauzi safi za mtumba Grade 1 – ubora mzuri, bado zipo kwenye hali nzuri kwa matumizi ya muda mrefu. 📍 Mahali: Iringa mjini, Frelimo ✅ Faida: Ubora wa juu (Grade 1) Bei nafuu na punguzo kwa wanaochukua nyingi Zinafaa kwa biashara au matumizi binafsi 📞 Mawasiliano:06248...
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunatengeneza na kurepeare sofa zilizo choka
Tunatengeneza na kurepeare sofa zilizo choka pia Tunabadirisha muundo wa zamani kuwa wa kisasa kwa Bei nafuu tunapatikana iringa mjini mtaa wa zizi 0616181457
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza furniture za bei nafuu
Furniture mpyaa za bei ndogo Makabati Vitanda Showcase #kulipia kwa hawamu uhakikaa njoo WhatsApp 0627866680 Iringa town
Located: Iringa, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunatengeneza furniture aina zote with high quality standard
NB.Tunatengeneza furniture aina zote ✔️ with high quality standard 🔥 WE DO 📍 Interior and Exterior 📍Site visiting 📍 Office ; Chang’ombe Maduka Please call/Whatsapp us 0788847257
Located: Iringa, TZ
Premium
Check with seller
kuku wa kisasa wa nyama
Nauza kuku wa kisasa wenye afya nzuri na waliokuzwa kwa chakula bora. Unapata kuku bora kwa ajili ya biashara, sherehe, au matumizi ya nyumbani. Bei zetu ni nafuu na unaweza kupata kwa rejareja au jumla. 📍 Napatikana kihesa Iringa 📞 Wasiliana nami kwa maelezo zaidi 0718603656 0742610610
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Nguo za mtumba grade one
Tunauza nguo za mtumba Grade One zenye ubora wa hali ya juu, karibu mpya, hazijachanika wala kuchuja rangi. Zipo kwa wanaume, wanawake na watoto. ✅ Mitindo ya kisasa ✅ Chaguo nyingi (mashati, suruali, magauni, track suit n.k.) ✅ Bei nafuu sana ✅ Unakaribishwa kuchagua mwenyewe 📍 Mahali: dar es salaam 📞 Wasiliana nasi k...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Check with seller
Vifaa vya Shule Stationery Orodha Kamili ya Bidhaa
Vifaa vya Shule Stationery - Orodha Kamili ya Bidhaa 🎒 Unatafuta vifaa vya shule vya ubora wa juu kwa bei nafuu? Tunayo vifaa vya shule stationery vya kila aina: kalamu, daftari, rula, lifti, kikokotoo, penseli, na zaidi! 😍 ✅ Bei za jumla na rejareja ✅ Bidhaa mpya na za kuaminika ✅ Huduma haraka na rafiki 📍 Tembelea du...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Sofa za kisasa dar es salaam
Unatafuta sofa za kisasa Dar es Salaam zitakazopamba nyumba yako kwa muonekano wa kuvutia na wa kisasa? Karibu kwenye mkusanyiko wetu wa sofa bora zenye muundo wa kisasa, zilizotengenezwa kwa vifaa imara na vinavyodumu kwa muda mrefu. Tunauza sofa za kisasa za watu wawili, watatu hadi seti kamili, zikiwa na mitindo ya ...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Mabelo ya Nguo za Mtumba Yenye Faida Kubwa na Bei Nafuu
Unatafuta mabelo ya nguo za mtumba yenye faida kubwa? Karibu upate mabelo bora yaliyochaguliwa kwa umakini, yakiwa na nguo safi, zenye ubora wa juu na mitindo inayouzwa haraka sokoni. Tunapatikana na mabelo ya kike, kiume na watoto kwa bei nafuu kulingana na uwezo wako. Mabelo yetu yanafaa kwa wafanyabiashara wanaoanza...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Check with seller
Tunauza simu na vifaa vya simu
#AZIZI #PHONE #STORE 🛵 DELIVERY TIME ✅ 📴 MAKADUPA -IRINGA TUNAUZA SIMU NA VIFAA VYA SIMU AINA ZOTE ______&&& tunapatikana 🚧 🚧 ________ 🚧 IRINGA STAND YA ZAMAN JENGO LA MZALENDO CHUMBA NO 17 Deo Mwenda Abubakar Kimario Neema Mathias 53 Contact: 0717536412
Located: Iringa, Iringa, TZ
Premium
Check with seller
Nauza Showcase Nzuri ya Kisasa
Nauza showcase nzuri ya kisasa kwa ajili ya chumba cha wageni au ofisi. Imetengenezwa kwa mbao imara na vioo vya ubora, inafaa kwa kuhifadhia vyombo, vitabu au mapambo. Hali yake ni nzuri sana na inauzwa kwa bei nafuu. 📍 Napatikana Iringa mjini 📞 Piga au tuma meseji kwa maelezo zaidi 0627477686 0710574686
Located: Iringa, Iringa, TZ
Premium
Check with seller
Mchele grade 1 kutoka mbeya
Karibu mchele grade 1 kutoka Mbeya kwa bei punguzo kilo ni 2000 Tunasafirisha popote ulipo Contact 0627109582 Kilo ni 2000
Located: Mbeya, Mbeya, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Jeans kali za mtumba
Tunauza belo kali za mtumba za jeans kwa ubora wa hali ya juu, safi, hazijachakaa na zipo katika mitindo ya kisasa inayopendwa na vijana na watu wazima. Belo zetu zinatoka kwenye brands maarufu, zinadumu muda mrefu na zinakupa muonekano wa kisasa kama wa bidhaa mpya kabisa. Tunazo aina mbalimbali ikiwemo belo za jeans ...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Check with seller
Meza za kisasa za sebuleni
Badilisha sebuleni mwako na mtindo wa kisasa kwa meza za kisasa za sebuleni zenye muundo wa kuvutia na ubora wa hali ya juu. Meza hizi zinafaa kwa kukaa na wageni, chai, au mapumziko ya familia, zikileta urahisi na mvuto wa kisasa nyumbani. Chagua kati ya rangi na mitindo mbalimbali inayokidhi ladha yako, na upate ofa ...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Check with seller
Mabegi ya mgongoni ya mtumba
Unatafuta mabegi ya mgongoni ya mtumba yenye ubora, mtindo na bei nafuu? Karibu kwenye duka letu la mtumba ambapo tunauza Mabelo ya mabegi safi, imara na yaliyochaguliwa kwa makini ili kukidhi mahitaji yako ya kila siku. Tunayo mabegi ya rangi na ukubwa mbalimbali, zinazofaa kwa wanafunzi, wafanyakazi, na watu wanaopen...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza unga wa mchele
Tunauza unga halisi wa mchele usioongezwa kitu chochote kwa matumizi wa uji, mkate na vitumbua kilo moja sh 3500/= Tupo Iringa mjini mawasiliano zaidi tupigie 0658931392 mikoa ya jirani tunatuma kwa uaminifu
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
