Premium listings
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nguo za mtumba grade 1
Unatafuta nguo za mtumba grade 1 zenye ubora wa hali ya juu, safi na zinazovutia macho? Sisi tunakuletea nguo zilizochaguliwa kwa umakini, zikiwa bado kwenye hali nzuri karibu na mpya. Nguo zetu za mtumba grade 1 zina muonekano mzuri, hazijachakaa, na zinafaa kwa matumizi ya kila siku au kwa biashara ya kuuza rejareja....
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Boyfriend jeans za mtumba
Unatafuta mabelo ya mtumba ya boyfriend jeans ambayo ni safi, nzuri na za kudumu? Tuna mabelo ya grade 1, ambayo yanaubora wa kipekee, hayajashonwa, na yamehifadhi rangi asili. Ni kamili kwa mitindo ya kila siku, shuleni au mapumziko. ✅ Grade 1 – Ubora wa juu, kama mpya ✅ Mitindo ya kisasa – Boyfriend jeans zinazokubal...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Jeans kali za mtumba
Tunauza belo kali za mtumba za jeans kwa ubora wa hali ya juu, safi, hazijachakaa na zipo katika mitindo ya kisasa inayopendwa na vijana na watu wazima. Belo zetu zinatoka kwenye brands maarufu, zinadumu muda mrefu na zinakupa muonekano wa kisasa kama wa bidhaa mpya kabisa. Tunazo aina mbalimbali ikiwemo belo za jeans ...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mabegi ya mgongoni ya mtumba
Unatafuta mabegi ya mgongoni ya mtumba yenye ubora, mtindo na bei nafuu? Karibu kwenye duka letu la mtumba ambapo tunauza Mabelo ya mabegi safi, imara na yaliyochaguliwa kwa makini ili kukidhi mahitaji yako ya kila siku. Tunayo mabegi ya rangi na ukubwa mbalimbali, zinazofaa kwa wanafunzi, wafanyakazi, na watu wanaopen...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nguo za mtumba za watoto
Nguo za Mtumba za Watoto – Safi na Bei Nafuu! Tunauza nguo bora za watoto kuanzia miezi 0 hadi miaka 12. Mchanganyiko wa magauni, suruali, t-shirt, mashati na seti kamili. ✔ Jumla & rejareja ✔ Quality grade A ✔ Bei kuanzia Tsh 500/= kwa kipande ✔ Delivery Tanzania nzima
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mabelo ya Nguo za Mtumba Yenye Faida Kubwa na Bei Nafuu
Unatafuta mabelo ya nguo za mtumba yenye faida kubwa? Karibu upate mabelo bora yaliyochaguliwa kwa umakini, yakiwa na nguo safi, zenye ubora wa juu na mitindo inayouzwa haraka sokoni. Tunapatikana na mabelo ya kike, kiume na watoto kwa bei nafuu kulingana na uwezo wako. Mabelo yetu yanafaa kwa wafanyabiashara wanaoanza...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Suruali za kike za mtumba
DescriptionBATELEUR SAFARIS presents... RUAHA CHRISTMAS PARTY & SAFARI! 📍 Ruaha National Park | 🗓️ 25th & 26th December, 2025 2 DAYS / 1 NIGHT EXPERIENCE - AN ALL INCLUSIVE SAFARI PACKAGE! - Transport, 3 Meals, Accommodation, Soft Drinks, Entry & Guiding fees with so much fun! 💰 PRICES... > East African ...
Located: Iringa, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
nguo za watoto za mtumba
Niongeze picha ya know I have to
Located: Dar es Salaam, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Suruali za cargo za kiume
Tunauza Belo suruali za cargo za kiume mtumba zenye ubora mzuri na muonekano wa kisasa. Zipo kwenye hali nzuri, hazijachakaa, zina kitambaa imara na mifuko mingi kwa matumizi ya kila siku, kazi, matembezi au safari. Zinakaa vizuri na kumpa mwanaume staili ya kuvutia bila gharama kubwa. Zinapatikana kwa size na rangi mb...
Located: Dar es Salaam, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Suruali kali za mtumba
Nauza Belo suruali kali za mtumba zenye mitindo ya kisasa na ubora mzuri. Zinapatikana kwa wanaume, zinafaa kwa vijana na watu wazima. ✔ Cargo, jeans & official ✔ Rangi mbalimbali ✔ Size zote (S – XXL) ✔ Grade A/B – hali nzuri sana 📦 Jumla 💰 Bei nafuu kulingana na idadi 📞 Wasiliana sasa – stock ni ndogo
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
nguo za watoto za mtumba
Tafuta nguo za watoto za mitumba zenye ubora wa juu na mitindo ya kisasa! Tunauza: Shuka na suruali za watoto T-shirts, jackets, na nguo za michezo Nguo za shule na mitindo ya kila siku Bei nafuu, chaguo nyingi, na nguo zimehifadhiwa vizuri. Nzuri kwa watoto wadogo na wa shule. 📍 Pata kwenye soko zetu za Kariakoo, Bugu...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Pata magauni mazuri ya mtumba karibu mapya bei nafuu
Pata Belo magauni mazuri ya mtumba karibu mapya na kwa bei nafuu Dar es Salaam. ✅ Ubora wa juu, nguo zenye thamani ya pesa zako ✅ Mitindo ya kisasa inayofaa kwa wadada wa rika zote ✅ Chaguo nyingi za magauni, mashati, suruali na track suits ✅ Zilizochaguliwa kwa uangalifu ili kuhakikisha zinakaa vizuri na zinadumu 📍 Da...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
2.00 TZS
Napangisha apartment mtwivila
Apartment ya vyumba viwili vya kulala, ambapo chumba kimoja ni master, inapangishwa katika eneo la Mtwaivira karibu kabisa na shule ya msingi na jirani na barabara ya lami. Ni apartment nzuri, safi na yenye mpangilio mzuri: ina sebule ya kutosha kwa familia, jiko lililo tayari kwa matumizi, na vyumba vyenye nafasi nzur...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
2.00 TZS
Kiwanja kinauzwa isakalilo
Kiwanja kinauzwa katika eneo la Isakalilo, Manispaa ya Iringa, kikiwa na ukubwa wa 25 kwa 35. Ni eneo zuri sana kwa makazi, uwekezaji au ujenzi wa mradi binafsi kutokana na mandhari tulivu na miundombinu iliyo karibu. Kiwanja kimepimwa rasmi, hivyo mnunuzi anapata uhakika wa umiliki halali na hati safi. Maji na umeme v...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
2.00 TZS
E4M SOCIAL CENTRE IRINGA
E4M SOCIAL CENTRE IRINGA NJIAPANDA YA TOSA. UKUMBI WA KISASA KABISAA WENYE UWEZO WA KUBEBA WATU 600 KWA GHARAMA YA SHILINGI LAKI SITA TU. KWA BOOKING TUPIGIE KUPITIA NAMBA 0742260293 AU 0768450235. WAHI MAPEMA UJIPATIE KILICHO BORA KABISAAAA MSIMU HUU WA SHEREHE NA MIKUTANO MBALIMBALI NYOTE MNAKARIBISHWA.
Located: Iringa, Iringa, TZ
2.00 TZS
Mashamba ya miti yanauzwa
Wakuu kuna haya Mashamba yanauzwa, Kama una mzigo we ruka na mojawapo: Iringa, Wilaya ya Mafinga, Kata ya Mdabulo, Isipii. 1. Ekari 10: Shamba na Miti Pine (miaka 8) -> 15.5M 2. Ekari 20: Shamba na Miti Pine (miaka 7) -> 24M 3. Ekari 20: Shamba na Miti Pine (miaka 5) -> 18M 4. Ekari 5 - Shamba -> 2.1M 🎯Mao...
Located: Mafinga, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
2.00 TZS
Miti inauzwa eneo la itimbo
Miti inauzwa eneo la Itimbo, ikiwa ni hekari moja yenye miti mikubwa, imara na iliyokomaa kwa zaidi ya miaka 10. Ni nafasi bora sana kwa wanaohitaji miti ya kutengeneza mbao nyingi kwa matumizi ya ujenzi, biashara ya mbao, au miradi ya viwandani. Miti hii imepandwa kwa mpangilio mzuri, imetunzwa vizuri, na ipo kwenye a...
Located: Mafinga, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Hotel Iringa Nzuri Huduma Bora
FJN Countryside Hotel ni sehemu sahihi na bora kwa ajili ya kufanyia vikao mbalimbali ndani ya Iringa Mjini. Tunatoa mazingira tulivu, safi na yenye utulivu yanayokufaa kwa vikao vya harusi, vikao vya kiofisi, mikutano ya kibiashara, warsha, mafunzo, kongamano, sherehe ndogo, pamoja na mikusanyiko mingine ya kijamii. U...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Kiwanja kipo mafinga nauza
BEI IMEVUNJWA UKUBWA WA KIWANJA MITA 25KWA 22. KIWANJA KIPO LUMWAGO MAFINGA IRINGA TANZANIA 🇹🇿. BEI NI MILIONI MBILI. BARABARA, UMEME, MAJI, VYOTE VIPO JILANI. 📲O768651525.
Located: Mafinga, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
2.00 TZS
Kiwanja kinauzwa ipogolo
🌲 *Haya! Haya! Hayaaaa!!!...*🌲👉👉 Kile *(KIWANJA KIZURI) SAANA* Cha *(PALE IPOGOLO)* Mkoani *(IRINGA)* Bado Kipo -KIWANJA *(KIPO KLM 3)* From 👉 *(CITY CENTER)* -KIWANJA kinafikika GARI inafika *(MPAKA👉SAITI)* -KIWANJA KIPO Kwa JUU Sio *(BONDENI)* -KIWANJA KINAFAA Kwa *(UWEKEZAJI)* kama Vile *(SHAMBA)* 👉 *(YADI)* au *(GO...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
2.00 TZS
Nyumba za Kupanga Iringa Bei Nafuu na Makazi Bora
*📢 UNAHITAJI CHUMBA/NYUMBA YA KUPANGA AU FRAME YA BIASHARA?* Usijisumbue tena! Tunapangisha vyumba safi, salama na bei nafuu Iringa Mjini 🏠 ✅ *FRAME ZA BIASHARA MJINI* 👉Kuna frame ya 250K Mjini, Karibu Ofisi Za Vyunjabei 👉Kuna frame ya 250k Kitanzini karibu na ofisi za vyumjabei kodi 250k ✅ *Single Room:* 25k–50k ✅ *Se...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
2.00 TZS
Nyumba za zinazouzwa Iringa Ofa Bora za Makazi
🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳 KARIBU, *IRINGA MJINI VYUMBA* , *APARTMENT* , *NYUMBA NZIMA* , *FREMU&CONTENA* ⭐⭐VYUMBA vinapatikana: Maeneo ya: 💚 Isakalilo 💚Zizi 💚Mlandege 💚Kwa kilosa 💚 Mkimbizi 💚 Mawelewele 💚Donibosco 💚Kihesa 💚Tumaini 💚Mkwawa 💚Ikonongo 💚Itamba 💚Wilolesi 💚Gangilonga 💚 Ipogolo 💚 Kitwiru 💚Mwangata 💚Kigamboni 💚 Kig...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
2.00 TZS
Jiunge na Kozi ya Video Production dar es salaam
Karibu CCT kwenye kozi ya Graphics & Video! Jifunze kutengeneza content ya kitaalamu inayovutia, ya ubora wa juu kwa ajili ya mitandao ya kijamii, biashara, matangazo, na maudhui ya digital marketing. Kozi hii inafaa kwa wajasiriamali, wauzaji wa bidhaa, waundaji wa video na picha, pamoja na wote wanaotaka kuongeza...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
2.00 TZS
SHEBBY ALLY TUITION CENTRE
SHEBBY ALLY TUITION CENTRE HUDUMA ZETU: *MASOMO YA ZIADA (TUITION) KWA SHULE ZA MSINGI *MASOMO YA ZIADA(TUITION) KWA SHULE ZA SEKONDARI (O'LEVEL) *MASOMO YA ZIADA (TUITION) KWA A'LEVEL(ADVANCED) KATIKA MICHEPUO YA PCM,PCB,PGM,CBG,HKL,HGK,HGL,HGE,EGM *PRE FORM ONE KILA MWAKA *PRE FORM FIVE KILA MWAKA *ENGLISH COURSE *PR...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
