Premium listings
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunakopesha na kuuza simu aina ya Samsung
TUNAKOPESHA NA KUUZA SIMU AINA YA SAMSUNG NDANI NA NJE YA IRINGA VIGEZO 1. VITAMBULISHO KATI YA NIDA, MPIGA KURA AU LESENI YA UDEREVA 2. NAMBA AKO YA SIMU 3. KIANZIO A05 Gb 64/4 Cash -365K A06 128/4gb Kianzio-120,000Tsh Weekly -11,475 Cash-470,000Tsh A05S 128/4gb Kianzio-120,000Tsh Cash -450,000Tsh A16128/4gb Kianzio-1...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Rent
Premium
Wasiliana na muuzaji
Brauzi za Mtumba Grade 1 Zinauzwa
Brauzi za Mtumba Grade 1 Zinauzwa 📌 Maelezo: Nauza brauzi safi za mtumba Grade 1 – ubora mzuri, bado zipo kwenye hali nzuri kwa matumizi ya muda mrefu. 📍 Mahali: Iringa mjini, Frelimo ✅ Faida: Ubora wa juu (Grade 1) Bei nafuu na punguzo kwa wanaochukua nyingi Zinafaa kwa biashara au matumizi binafsi 📞 Mawasiliano:06248...
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Raba Kali za Mtumba Bei Nafuu Iringa Miyomboni
Nauza raba kali za mtumba zenye ubora mzuri na bado zipo kwenye hali safi. 📍 Napatikana Iringa Mjini – Miyomboni. Karibu ujipatie raba imara kwa matumizi ya kila siku kwa bei nafuu. Mawasiliano: 0718239676 Piga/WhatsApp kwa maelezo zaidi.
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza spare za magari
Nauza spare zote za magari makubwa ya usafirishaji wa mizigo, zikiwemo sehemu za injini, breki, suspension, body parts, mfumo wa hewa, oil filters, fuel filters, tairi, vifaa vya umeme na vipuri vingine muhimu kwa malori kama Scania, Volvo, Actros, Howo, Fuso, Hino, Isuzu na mengine mengi. Vipuri vyetu ni vya ubora wa ...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Viwanja vinauzwa
VIWANJA VINAUZWA. ✅VIWANJA VIPO KINYANAMBO A (MIFUGO) MAFINGA IRINGA 🇹🇿. ✅VIWANJA VIMEPIMWA UKUBWA WA MITA 20 KWA 25 NA 20 KWA 20 . ✅BEI NI MILIONI TATU NA LAKI TANO PUNGUZO LIPO KIDOGO. ✅VIMEBAKI VIWANJA VITATU TU. ✅O768651525.
Located: Mafinga, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunatoka mikopo kwa watumishi
𝗙𝗔𝗡𝗜𝗞𝗜𝗪𝗔 𝗠𝗜𝗖𝗥𝗢𝗙𝗜𝗡𝗔𝗡𝗖𝗘. 𝖳𝖺𝖺𝗌𝗂𝗌𝗂 𝗂𝗇𝖺𝗒𝗈𝗍𝗈𝖺 𝗆𝗂𝗄𝗈𝗉𝗈 𝗄𝗐𝖺 𝗐𝖺𝗍𝗎𝗆𝗂𝗌𝗁𝗂 𝗐𝖺 𝖴𝖬𝖬𝖠 𝗒𝖾𝗇𝗒𝖾 𝗋𝗂𝖻𝖺 𝗇𝖺𝖿𝗎𝗎 𝗓𝖺𝗂𝖽𝗂. 𝖪𝗎𝖻𝗐𝖺 𝗄𝗎𝗅𝗂𝗄𝗈 𝗎𝗇𝖺𝗁𝗎𝖽𝗎𝗆𝗂𝗐𝖺 𝗉𝗈𝗉𝗈𝗍𝖾 𝗄𝗐𝖺 𝗇𝗃𝗂𝖺 𝗒𝖺 𝗌𝗂𝗆𝗎 𝗍𝗎. 𝖶𝖺𝗌𝗂𝗅𝗂𝖺𝗇𝖺 𝗇𝖺𝗌𝗂.𝗄𝗐𝖺 𝗇𝖺𝗆𝖻𝖺 0620673040/0768417146. 𝖠𝗎 𝗍𝗎𝗆𝖺 𝗍𝗎 𝗎𝗃𝗎𝗆𝖻𝖾
Located: Iringa, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza masweta Mazuri ya Mtumba Grade A kwa Bei Nafuu Iringa
Nauza masweta mazuri ya mtumba grade A, ubora wa hali ya juu na bado mapya kwa kuvaa. Yanafaa kwa msimu wa baridi na yana muonekano wa kisasa. 👉 Bei ni nafuu na inakubaliana 👉 Yanapatikana kwa rangi na size tofauti Mahali: Iringa mjini Mawasiliano: 0624589320 Piga/Sms/WhatsApp kwa maelezo zaidi
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunauza kuku wa nyama
Nauza kuku wa nyama wazuri, waliokuzwa kwa ubora na afya njema. Unapata kuku safi, wenye uzito mzuri na tayari kwa matumizi ya familia, sherehe au biashara ya chakula. 📍 Napatikana Gangilonga Iringa mjini 📞 Piga simu / WhatsApp: 0627731551, 06222155033 👉 Karibu uwasiliane nami kwa bei nafuu na huduma ya haraka.
Located: Iringa, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza mayai ya kisasa
Unataka kuwa MILIONEA? Uza MAYAI ! Anza hata na trey chache. Soko ni Kubwa. Uzia Nyumbani, Dukani, Kibandani, Gengeni... Agiza sasa kutoka KILOMBERO KUKU FARM Tsh.6,000/= @ Trey Piga 0769217810. Whatsapp 0677988499. * Makubwa ya kisasa yenye kiini cha njano. * Tupo Kilombero, Morogoro - Tanzania. * Tunasafirisha mikoa ...
Located: Morogoro, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Magauni ya Mtumba Bei Nafuu – Safi na Bora
Nauza magauni ya mtumba ya kike yenye ubora mzuri na muonekano wa kisasa. Magauni yapo katika hali nzuri, safi na yanapatikana kwa bei nafuu sana. ➡️ Aina mbalimbali za magauni (short, long & casual wear) ➡️ Ubora mzuri – yanavaliwa muda mrefu ➡️ Bei nafuu inayokufaa Mahali: Iringa mjini– Kitanzini Wasiliana Nasi: ...
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Wauzaji wa furniture za ndani
Karibu kwenye duka letu la furniture za ndani, ambapo tunauza aina zote za samahani, sofa, meza za jikoni na sebule, viti vya kuburudisha, kabati, rafu, na mapambo ya nyumbani kwa ubora wa hali ya juu. Tunahakikisha kila bidhaa inakidhi mahitaji yako ya mtindo, uimara, na unafuu. Kwa bei nafuu na huduma bora, unaweza k...
Located: Iringa, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Viwanja vinapatikana iringa maneno yote
🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦 VIWANJA VIWANJA VIWANJA VIWANJA VIWANJA VIWANJA Iringa region VIWANJA vipoo maeneo ya: ⭐Isakalilo ⭐Kigonzile ⭐Itamba ⭐Mawelewele ⭐Zizi ⭐Mkimbizi ⭐Njia panda ya tosa ⭐Kitwiru ⭐Ipogolo ⭐Kitasengwa ⭐Ndiuka ⭐Igumbilo ⭐Viwengi ⭐Ilula Piga *simu,0753745947/0616857220* Iringa mjini Mr *share* *mkuu*
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Duka la Vifaa vya stationary
Duka la Vifaa vya Stationary – Bidhaa Bora na Bei Nafuu! ✏️ Unatafuta vifaa vya shule, ofisi au biashara? Tembelea duka letu la vifaa vya stationary kwa: Kalamu, penseli, daftari, rula, kikokotoo 📒 Gift bags, staples na vifaa vingine vyote vya ofisi 🎁 Bei za jumla na rejareja 💰 Huduma ya haraka na rafiki 🤝 📍 Tembelea s...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Vifaa vya Shule Stationery Orodha Kamili ya Bidhaa
Vifaa vya Shule Stationery - Orodha Kamili ya Bidhaa 🎒 Unatafuta vifaa vya shule vya ubora wa juu kwa bei nafuu? Tunayo vifaa vya shule stationery vya kila aina: kalamu, daftari, rula, lifti, kikokotoo, penseli, na zaidi! 😍 ✅ Bei za jumla na rejareja ✅ Bidhaa mpya na za kuaminika ✅ Huduma haraka na rafiki 📍 Tembelea du...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Vifaa vya Shule Stationery Jumla Tanzania
Nunua vifaa vya shule stationery kwa jumla kwa wanafunzi Tanzania. Penseli, kalamu, daftari, rula na vifaa vingine vya elimu kwa bei nafuu."
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Vifaa vya shule stationery
TUNAUZA JUMLA ,REJAREJA NA TUNASUPPLY ✅All Stationery & Office Supplies ✅All School &Ict Equipments ✅Branding & Promotion Materials Na Vingine Vingi ————————————— TUNAO UZOEFU NA UWEZO WA KUTOSHA KUHUDUMIA Wafanyabiashara Wakubwa na Wadogo,Taasisi za Uma na Binafsi hata Mashirika ya Kimataifa KWA MFUMO WA C...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Orodha ya Vifaa vya stationary
Tunauza kila kitu unachohitaji kwa shule, ofisi au biashara yako. Angalia baadhi ya bidhaa zetu: Penseli na kalamu ✏️🖊️ Notebooks na diaries 📓📔 Kamba za vitambulisho 🏷️ Vifaa vya kuchora na rangi 🎨 Staplers, files, na vifaa vingine vya ofisi 📎 Wasiliana nasi sasa: ABE MWANGAZA STATIONERY 📌 Instagram: @mwangaza_statione...
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Tunauza Vifaa vya stationery bei ya jumla
Karibu mwangaza Stationery and supplies. TUNAUZA JUMLA ,REJAREJA NA TUNASUPPLY ✅All Stationery & Office Supplies ✅All School &Ict Equipments ✅Branding & Promotion Materials Na Vingine Vingi ————————————— TUNAO UZOEFU NA UWEZO WA KUTOSHA KUHUDUMIA Wafanyabiashara Wakubwa na Wadogo,Taasisi za Uma na Binafsi h...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Tunauza gift bags bei ya jumla
Tunauza Gift Bags kwa Bei ya Jumla! 🎁✨ Pata gift bags zenye ubora wa juu kwa bei nafuu kwa mauzo ya jumla. Kamili kwa maduka, biashara, au matukio maalum. Wasiliana nasi sasa: ABE MWANGAZA STATIONERY 📌 Instagram: @mwangaza_stationery_supply Ubora, bei nafuu, na huduma ya haraka – chagua Mwangaza Stationery!
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Kamba za Vitambulisho Bei ya Jumla
Kamba za Vitambulisho Bei ya Jumla 🎫 Tunauza kamba za vitambulisho za ubora wa juu kwa bei ya jumla – kamili kwa ofisi, shule, na hafla za makampuni. Zenye nguvu, zenye rangi mbalimbali na zinazodumu. 📦 Ununuzi wa jumla = faida zaidi 🚚 Usafirishaji haraka ndani ya Tanzania 👉 Wasiliana nasi leo upate kamba bora kwa bei ...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Tunauza Notebook na Diaries Bei ya Jumla
Tunauza Notebook na Diaries Bei ya Jumla 📒✍️ Pata notebook na diaries za ubora wa juu kwa bei ya jumla – zinafaa kwa shule, ofisi, taasisi na wauzaji wa rejareja. Zinapatikana kwa miundo mbalimbali, jalada imara na bei nafuu kulingana na idadi. 📦 Ununuzi wa jumla = faida zaidi 🚚 Usafirishaji ndani ya Tanzania 👉 Wasilia...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Best Scientific Calculator Tanzania
Best Scientific Calculator Tanzania – Nunua Original kwa Bei Nafuu 🇹🇿 Unatafuta best scientific calculator Tanzania kwa masomo, mitihani au matumizi ya kitaalamu? Tunauza scientific calculators bora na original zinazofaa wanafunzi wa sekondari, vyuo na walimu. ✔️ Zinakubalika kwenye mitihani ✔️ Zinahesabu kwa haraka na...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Masweta mazuri ya mtumba
Mashati ya Kiume ya Mtumba – Daraja la Kwanza! 👔 Tunauza mashati ya kiume ya mtumba yaliyochaguliwa kwa umakini, yakiwa katika hali bora, safi na yenye mitindo ya kisasa. Yanapatikana kwa bei nafuu sana, yanafaa kwa kazi, ofisi, sherehe au matumizi ya kila siku. 👉 Ubora wa juu 👉 Bei rafiki 👉 Mitindo mbalimbali 👉 Huduma...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Check with seller
Masweta mazuri ya mtumba
Pata MASWETA mazuri ya mtumba yenye ubora wa hali ya juu, laini, yanayodumu na yanayovutia 👌 Yanatosha kwa baridi kali au matumizi ya kila siku. ✅ Ubora wa kuchagua ✅ Mitindo ya kisasa ✅ Bei nafuu sana ✅ Yanavaliwa na wanaume & wanawake 📦 Tunauza rejareja na jumla 📞 Wasiliana nasi sasa upate chaguo bora!
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
