Higher price first
Matangazo ya kipekee
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunauza bajaji used
TUNAUZA NA KUNUNUA BAJAJI USED **Full document✅ **Price/bei-7,500,000/=💰 **Location-Dar es salaam(mbagara)✅ ☎️Call & WhatsApp:0694048469📞 Mikoani Tunatuma Kwa Uwaminifu Mkubwa 🙏🏽🙏🏽
Located: Mbagalla, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunauza viatu vya kiume sandals
TUNATENGENEZA WENYEWE! Tunauza kwa bei ya jumla kuanzia SH 4,000 kwa agizo la pea 10 na kuendelea, na kwa rejareja ni SH 7,000 tu. Ubora wetu ni wa kiwango cha juu kwa sababu bidhaa zetu tunazitengeneza sisi wenyewe, ndiyo maana wateja wetu wengi wanarudi tena na tena. Zaidi ya mauzo, tunatoa ushauri bure kabisa kwa wa...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Nauza Toyota Rash kwa bei ya Milioni 6.3
Nauza Toyota Rash kwa bei ya Milioni 6.3. Gari ipo Mafinga, ipo katika hali nzuri, tayari kwa kuendesha. Kwa maelezo zaidi au kuja kuangalia gari, tafadhali wasiliana nami kupitia simu au WhatsApp 0752 555 884. Pata gari bora kwa bei nafuu, huduma ya haraka na ya kuaminika. Tuna uhakika utapendezwa na gari hii Toyota R...
Located: Mafinga, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza pikipiki namba C
Nauza Pikipiki Boxer 125 Namba C Iringa | Bei Poa Sh 850,000 Pikipiki hii ni Boxer 125 yenye namba C, ipo tayari kwa matumizi ya kila siku. Bei ni nafuu sana, Sh 850,000 tu. Pikipiki ni nzuri, imetunzwa kwa weledi, haina matatizo, na ni chaguo bora kwa yeyote anayehitaji usafiri wa haraka na wa kuaminika Iringa Mjini, ...
Located: Iringa, TZ
Premium
2.00 TZS
Karibu kwa huduma za matrekta na kilimo
HGT Iringa Offices ipo Iringa Mjini na inatoa huduma bora za kilimo, ikiwemo mauzo na usambazaji wa matrekta, mashine za kilimo, na vifaa vya mashamba kwa wateja wa jumla na wa rejareja. Kampuni yetu ina uzoefu mkubwa katika sekta ya kilimo mseto, ikihakikisha wateja wanapata matrekta na vifaa vya hali ya juu vinavyosa...
Located: Iringa, TZ
Premium
2.00 TZS
Turnbull training college
Our Vocational Training college established since a year 2017 and being allowed in offering different courses by Vocational Education Training Authority ( VETA ) such as Hotel & Tourism, Full Secretarial all levels, Computer courses, Foreign Languages including Chines & English course, Clothing and textile furt...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Fundi simu iringa
Kutana na John, mtaalamu mwenye uzoefu katika huduma mbalimbali za simu na teknolojia, anayetoa huduma kwa umakini na ubora wa hali ya juu. John anatoa ufundi wa simu za aina zote, ikiwa ni pamoja na kutengeneza matatizo ya software, kubadilisha spare parts, kufungua simu zilizofungwa, kurekebisha network, kuchomelea c...
Located: Mafinga, TZ
Condition: New
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza bidhaa mbalimbali Iringa
Nauza pop corn mashine mpyaaa mnooo 250k,kitanda 5 kwa 6 cha chuma sofa kote kwa 145k,azam ya antena kwa 30k,piano kwa 105k,sofa watu 3 kwa 110k,sofa watu 2 jipy na mito kwa 145k,kimeza cha tv kwa 35k,jiko plate 4 3 znatumia gas 1 umeme kwa 195k,king lion pikpiki no DDD KWA MILION 1.5 TUUU 0620840577 IRINGA MJINI wahii...
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Toyota passo Kali sana
TOYOTA PASSO kali sana, imetunzwa vizuri na ipo katika hali bora kwa matumizi ya kila siku. Inakuja na full AC baridi kali, cc 990 yenye ufanisi mkubwa wa mafuta na nguvu za kutosha kwa safari za mjini na za mbali. Ina mfumo mzuri wa music sound unaotoa sauti safi na ya kuvutia wakati wa kuendesha. Gari halina kipengel...
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Karibu usome katika Chuo Cha utalii Arusha
𝐂𝐇𝐀𝐆𝐔𝐀 𝐊𝐎𝐙𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐔𝐇𝐔𝐋𝐀 𝐌𝐏𝐘𝐀 𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐒𝐎𝐌𝐎 𝐔𝐨𝐧𝐠𝐨𝐳𝐢 𝐰𝐚 𝐜𝐡𝐮𝐨 𝐂𝐡𝐚 𝐚𝐬𝐢𝐥𝐢𝐚 𝐀𝐫𝐮𝐬𝐡𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐭𝐚𝐧𝐠𝐚𝐳𝐢𝐚 𝐮𝐦𝐚 𝐧𝐚𝐟𝐚𝐬𝐢 𝐳𝐚 𝐦𝐚𝐬𝐨𝐦𝐨 𝐤𝐰𝐚 𝐚𝐝𝐚 𝐧𝐚𝐟𝐮𝐮 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐊𝐨𝐳𝐢 𝐳𝐢𝐟𝐮𝐚𝐭𝐚𝐳𝐨. 📍 𝐂𝐞𝐫𝐭𝐢𝐟𝐢𝐜𝐚𝐭𝐞 𝐢𝐧 𝐭𝐨𝐮𝐫 𝐠𝐮𝐢𝐝𝐢𝐧𝐠 📍 𝐂𝐞𝐫𝐭𝐢𝐟𝐢𝐜𝐚𝐭𝐞 𝐢𝐧 𝐡𝐨𝐭𝐞𝐥 𝐦𝐚𝐧𝐚𝐠𝐞𝐦𝐞𝐧𝐭 📍 𝐂𝐞𝐫𝐭𝐢𝐟𝐢𝐜𝐚𝐭𝐞 𝐢𝐧 𝐭𝐨𝐮𝐫 𝐨𝐩𝐞𝐫𝐚𝐭𝐢𝐨𝐧 📍 𝐒𝐞𝐜𝐫𝐞𝐭𝐚𝐫𝐢𝐚𝐥 𝐜𝐨𝐮𝐫𝐬𝐞 📍𝐁𝐚𝐬𝐢𝐜 𝐜𝐨𝐦𝐩𝐮𝐭𝐞𝐫 𝐚𝐩𝐩𝐥𝐢𝐜𝐚𝐭𝐢𝐨𝐧 📍𝐇𝐚𝐢𝐫 𝐝𝐫𝐞𝐬𝐬𝐢𝐧𝐠, 𝐋𝐮𝐠𝐡𝐚...
Located: Usa River, TZ
Condition: New
Premium
Wasiliana na muuzaji
TANGAZO LA KAZI
#NAFASI_ZA_KAZI YA_KUSAMBAZA_TAARIFA Wanahitajika watu watakao fanya kazi ya kusambaza taarifa za kampuni ya Gcat International Company Limited Taarifa za huduma inayotolewa na kampuni kwa kutumia simu yako ya mkononi/ Smart phone. NOTE: * Nilazima uwe na simu kubwa/ Smart phone * Uwe Iringa tu * Uwe na bidii ya kazi *...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Premium
2.00 TZS
Napangisha apartment mtwivila
Apartment ya vyumba viwili vya kulala, ambapo chumba kimoja ni master, inapangishwa katika eneo la Mtwaivira karibu kabisa na shule ya msingi na jirani na barabara ya lami. Ni apartment nzuri, safi na yenye mpangilio mzuri: ina sebule ya kutosha kwa familia, jiko lililo tayari kwa matumizi, na vyumba vyenye nafasi nzur...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
6000000.00 TZS
Tunanunua na kuuza bajaji
TUNAUZA NA KINUNUA BAJAJI USED ..Full document* ..Price/bei-6,000,000/= ..Location~Dar es salaam~Mbagala ☎️Call & WhatsApp:0694048469📞 Mikoani Tunatuma Kwa Uwaminifu Mkubwa 🙏🏽🙏🏽
Located: Mbagalla, Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
1640000.00 TZS
Shule Bora ya sekondari Arusha
GOODWILL NOVELLUS SECONDARY SCHOOL 2026 ADMISSION Karibu shule bora ya sekondari – GOODWILL NOVELLUS Inayopatikana Maji ya Chai – Arusha, Tanzania, iliyo na kidato cha kwanza hadi cha nne. Ni shule ya wavulana na wasichana, ya kutwa na bweni yenye usajili Na. S. 5833. Nafasi za Masomo Nafasi za kujiunga na Kidato cha 1...
Located: Arusha, Arusha, TZ
Condition: New
Premium
100000.00 TZS
Nauza nguo
Nauza nguo za mtumba za kiume mtumba jumla na na na na na na na na
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
6.00 TZS
Nauza tipa ya mchanga
Nauza gari aina ya tipa ya mchanga ambalo liko katika hali nzuri na linafaa kwa kazi zote za ujenzi, usafirishaji wa mchanga, mawe, kifusi na mizigo mingine ya site. Gari lina nguvu, lina injini imara, halina matatizo ya matumizi na limekuwa likitunzwa vizuri. Tipa hii inafaa kwa kampuni za ujenzi, wachimbaji, mafundi ...
Located: Mafinga, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Tunatangaza Kozi ya ususi na urembo
🎓 MSEWE COLLEGE Jiunge nasi katika program zifuatazo: Kozi Tunazotoa: 💻 Computer 🗣️ English course 👶 ualimu wa Chekechea utapata cheti cha Montessori 💇♀️ Urembo na Ususi Programu Maalum: • Form 1–2 (mwaka 1) • Form 3–4 (mwaka 1) • Form 5–6 (mwaka 1) • QT (FTNA) & wanaorudia Form 4 Fomu za kujiunga zinapatika chuon...
Located: Ubungo, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Premium
2.00 TZS
Wauzaji wa laptop iringa
Karibu kwenye Duka Kuu la Laptop, mahali ambapo unapata bidhaa mbalimbali za teknolojia za kisasa kwa bei za OFA zinazokuvutia. Tunajivunia kutoa aina mbalimbali za laptop za chapa maarufu, kompyuta ndogo za kubebeka (notebooks), vifaa vya kielektroniki, pamoja na accessoires za laptop kama vile madereva, charger, mous...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Premium
2.00 TZS
Karibu kwa huduma za matrekta na kilimo
HGT Iringa Offices ipo Iringa Mjini na inatoa huduma bora za kilimo, ikiwemo mauzo na usambazaji wa matrekta, mashine za kilimo, na vifaa vya mashamba kwa wateja wa jumla na wa rejareja. Kampuni yetu ina uzoefu mkubwa katika sekta ya kilimo mseto, ikihakikisha wateja wanapata matrekta na vifaa vya hali ya juu vinavyosa...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Premium
2.00 TZS
Chuo Bora jijini Arusha
Chuo Bora Jijini Arusha. Chagua kozi Yako na usome kwa Ada kidogo. *Ualimu wa chekechea *Ufundi Umeme *Secretarial course *Hotel Management *Tourism and Tour guide *Information technology IT *Computer Application *Ususi na Urembo *Mapambo na keki *English language *French language *Germany course Pata form yakujiunga B...
Located: Arusha, Arusha, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
SHEBBY ALLY TUITION CENTRE
SHEBBY ALLY TUITION CENTRE HUDUMA ZETU: *MASOMO YA ZIADA (TUITION) KWA SHULE ZA MSINGI *MASOMO YA ZIADA(TUITION) KWA SHULE ZA SEKONDARI (O'LEVEL) *MASOMO YA ZIADA (TUITION) KWA A'LEVEL(ADVANCED) KATIKA MICHEPUO YA PCM,PCB,PGM,CBG,HKL,HGK,HGL,HGE,EGM *PRE FORM ONE KILA MWAKA *PRE FORM FIVE KILA MWAKA *ENGLISH COURSE *PR...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Premium
2.00 TZS
Mashamba ya miti yanauzwa
Wakuu kuna haya Mashamba yanauzwa, Kama una mzigo we ruka na mojawapo: Iringa, Wilaya ya Mafinga, Kata ya Mdabulo, Isipii. 1. Ekari 10: Shamba na Miti Pine (miaka 8) -> 15.5M 2. Ekari 20: Shamba na Miti Pine (miaka 7) -> 24M 3. Ekari 20: Shamba na Miti Pine (miaka 5) -> 18M 4. Ekari 5 - Shamba -> 2.1M 🎯Mao...
Located: Mafinga, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Tunauza nguo za watoto zenye ubora
Tunauza nguo za watoto zenye ubora wa hali ya juu, zinazofaa kwa umri tofauti kuanzia watoto wachanga hadi wenye umri wa shule. Tunahakikisha kila bidhaa ina material laini, imara na salama kwa ngozi ya mtoto, hivyo kuwapa watoto faraja na muonekano mzuri kila siku. Tunatoa seti mbalimbali kama nguo za michezo, casual ...
Located: Mafinga, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Kozi tunazotoa chuo cha udereva nit
Tunawakaribisha wote kujiunga na mafunzo ya uendeshaji wa mitambo (Heavy Duty Equipment Operation) yenye lengo la kuwapa washiriki ujuzi wa vitendo, maarifa ya kina na uwezo wa kufanya kazi kwenye mazingira halisi ya viwandani na miradi mikubwa ya ujenzi. Mafunzo haya yameandaliwa kwa ubora wa juu ili kuhakikisha kila ...
Located: Dodoma, Dodoma, TZ
Condition: New
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
