Higher price first
Matangazo ya kipekee
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza pikipiki namba C
Nauza Pikipiki Boxer 125 Namba C Iringa | Bei Poa Sh 850,000 Pikipiki hii ni Boxer 125 yenye namba C, ipo tayari kwa matumizi ya kila siku. Bei ni nafuu sana, Sh 850,000 tu. Pikipiki ni nzuri, imetunzwa kwa weledi, haina matatizo, na ni chaguo bora kwa yeyote anayehitaji usafiri wa haraka na wa kuaminika Iringa Mjini, ...
Located: Iringa, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Samsung note 8 ipo safi
Nauza simu note 8 Gb 64 ram 6 Napatikana iringa mjini
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
G’S Contractors Co. Ltd iringa
G’S Contractors Co. Ltd ni kampuni inayoongoza mkoani Iringa katika utoaji wa huduma za ujenzi wa majengo na miradi ya civil engineering. Tunajivunia taaluma, uzoefu na uaminifu katika kutekeleza miradi mikubwa na midogo kwa viwango vya kimataifa. Timu yetu ya wataalamu imebobea katika ujenzi wa nyumba za kisasa, majen...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Premium
2.00 TZS
TUNAKULETEA KOZI YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
TUNAKULETEA KOZI YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI UTAJIFUNZA ✔ Ubunifu na Uanzishaji wa Biashara ✔ Masoko na Uendeshaji wa Biashara ✔ Uzalishaji wa Bidhaa kama vile (Mafuta, Shampoo, Gel n.k) ✔ Usimamizi mzuri wa Fedha ✔ Digital Marketing n.k Kozi hii ni ya Online na Physical, watu wote mnakaribishwa kujiunga. Kwa wanafunzi ...
Located: Arusha, TZ
Condition: New
Premium
2.00 TZS
Tunatoa Kozi ya mapishi veta dar es salaam
Kozi ya Mapishi katika Chuo cha Ufundi Arizona @arizona_vtc 📌Fomu za Usajili zinapatikana Chuoni au kwa njia ya mtandao 📌Kozi inaanza tarehe 18/07/2022 (Miezi mitatu) 📌Swipe kuona muongozo na mtiririko wa kozi yote. 📌Wahitimu hupatiwa Vyeti 📌Chuo kimesajiliwa na VETA 📌Mafunzo kwa Vitendo 📌Ada inajumuisha uniform na vif...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza BM 150 ikiwa katika hali nzuri
🚗 INAUZWA: BM 150 Nauza BM 150 ikiwa katika hali nzuri sana. ✔️ Injini safi kabisa ✔️ Full documents zipo ✔️ Imetunzwa vizuri 💰 Bei: TSh 750,000 tu 📍 Mahali: Iringa Mjini 📞 Wasiliana: 0759 844 430 Karibu uje uione na kufanya makubaliano.
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Nyumba za Kupanga Iringa Bei Nafuu na Makazi Bora
*📢 UNAHITAJI CHUMBA/NYUMBA YA KUPANGA AU FRAME YA BIASHARA?* Usijisumbue tena! Tunapangisha vyumba safi, salama na bei nafuu Iringa Mjini 🏠 ✅ *FRAME ZA BIASHARA MJINI* 👉Kuna frame ya 250K Mjini, Karibu Ofisi Za Vyunjabei 👉Kuna frame ya 250k Kitanzini karibu na ofisi za vyumjabei kodi 250k ✅ *Single Room:* 25k–50k ✅ *Se...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Kozi tunazotoa chuo cha udereva nit
Tunawakaribisha wote kujiunga na mafunzo ya uendeshaji wa mitambo (Heavy Duty Equipment Operation) yenye lengo la kuwapa washiriki ujuzi wa vitendo, maarifa ya kina na uwezo wa kufanya kazi kwenye mazingira halisi ya viwandani na miradi mikubwa ya ujenzi. Mafunzo haya yameandaliwa kwa ubora wa juu ili kuhakikisha kila ...
Located: Dodoma, TZ
Condition: New
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nyumba inapangishwa wilolesi
House for rent$ --------------------------------------------------------------------------------+ Vyumba viwili na vyote ni master Sebule,jiko, store na public toilet Bei 400,000 Location Wilolesi Contact 0712908002
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunauza bajaji used
TUNAUZA NA KUNUNUA BAJAJI USED **Full document✅ **Price/bei-7,500,000/=💰 **Location-Dar es salaam(mbagara)✅ ☎️Call & WhatsApp:0694048469📞 Mikoani Tunatuma Kwa Uwaminifu Mkubwa 🙏🏽🙏🏽
Located: Mbagalla, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunauza viatu vya kiume sandals
TUNATENGENEZA WENYEWE! Tunauza kwa bei ya jumla kuanzia SH 4,000 kwa agizo la pea 10 na kuendelea, na kwa rejareja ni SH 7,000 tu. Ubora wetu ni wa kiwango cha juu kwa sababu bidhaa zetu tunazitengeneza sisi wenyewe, ndiyo maana wateja wetu wengi wanarudi tena na tena. Zaidi ya mauzo, tunatoa ushauri bure kabisa kwa wa...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Nauza Kuku wa Nyama Mkimbizi Iringa
Unatafuta kuku wa nyama wenye ubora mzuri, waliofugwa katika mazingira safi, salama na yenye chakula cha kutosha? Tunakuletea ofa maalum ya kuku wa nyama kwa bei nafuu na inayomfaa kila mteja katika maeneo ya Iringa, hususan eneo la Mkimbizi, ambako huduma zetu zimekuwa zikiaminika na kupendwa na wateja wengi. Kila kuk...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nyumba za KUPANGA Iringa
🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍏 2026,2026,2026,2026 IRINGA MANISPA NAPANGISHA NYUMBA NZIMA, VYUMBA, FREMU,CONTENA. Welcome welcome ‼️‼️‼️‼️‼️‼️‼️ Kodii kuanzia 30K....350, vyumba Kodii FREMU: kuanzia 50....500+ vilemba MAENEO YA 🅰️ MKWAWA 🅰️ ILALA 🅰️ ISAKALILO 🅰️ MKIMBIZI 🅰️ DONIBOSCO 🅰️ MAWELEWELE 🅰️ KIGONZILE 🅰️ TUMAINI, 🅰️ KIHESA ...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Dukani kwa magda nguo bei poa bei rahisi!
Dukani kwa magda nguo bei poa bei rahisi! Tengeneza faida mara mbili. Simu 0636408609 https://chat.whatsapp.com/H1ucVTOWSxO5QGix6srtDj?mode=gi_t Tunarahisisha biashara kwa watu wa mikoani kwa kuwafikishia mizigo kwa haraka na kwauaminifu mkubwa. Watu wa Dar Es Salaam karibuni dukani Kariakoo jengo la DDC. Jumla Tsh 45,...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Mashamba Iringa yanapatikana Iringa
TULIPAMWINGA MBETULI VAYAWE mashamba bado yapo yakutosha ndani ya mkoa wa iringa karibuni sana, Ninazo eka za kutosha kata ya lyamgungwe wilaya ya iringa vijijini Pia kwa wanaopenda kilimo cha umwagiliaji ninazo eka 7. Mawasiliano 0650152828 0795320922
Located: Iringa, Iringa, TZ
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza bidhaa mbalimbali Iringa
Nauza pop corn mashine mpyaaa mnooo 250k,kitanda 5 kwa 6 cha chuma sofa kote kwa 145k,azam ya antena kwa 30k,piano kwa 105k,sofa watu 3 kwa 110k,sofa watu 2 jipy na mito kwa 145k,kimeza cha tv kwa 35k,jiko plate 4 3 znatumia gas 1 umeme kwa 195k,king lion pikpiki no DDD KWA MILION 1.5 TUUU 0620840577 IRINGA MJINI wahii...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Samsung note 8 ipo safi
Nauza simu note 8 Gb 64 ram 6 Napatikana iringa mjini
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza simu nipo Iringa
M HORSE GB32 MPYAA TU INA CRECK NDOGO ISIYO NA MADHARA BEI 70,000 tu NIPO IRINGA TOWN 0678467780
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza BM 150 ikiwa katika hali nzuri
🚗 INAUZWA: BM 150 Nauza BM 150 ikiwa katika hali nzuri sana. ✔️ Injini safi kabisa ✔️ Full documents zipo ✔️ Imetunzwa vizuri 💰 Bei: TSh 750,000 tu 📍 Mahali: Iringa Mjini 📞 Wasiliana: 0759 844 430 Karibu uje uione na kufanya makubaliano.
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza gari aina ya Toyota IST kwa bei nzuri
🚗 INAUZWA – Toyota IST Nauza gari aina ya Toyota IST kwa bei ya TSh milioni 7 tu. ✔️ Gari ipo katika hali nzuri ✔️ Inatembea vizuri sana ✔️ Inafaa kwa matumizi ya familia au biashara ✔️ Nyaraka zote zipo tayari 📍 Location: Iringa Kwa mawasiliano na maelezo zaidi piga simu au WhatsApp. Wahi kabla haijaenda! Namba ya sim...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Wanahitajika wafanyakazi Zanzibar
JOB OPPORTUNITY – ZANZIBAR (RESTAURANT & BAR) Hello everyone, I would like to share a job opportunity on behalf of my aunt, who owns a restaurant and bar in Zanzibar. She is currently looking for 6 female staff as follows: 3 Counter Attendants 3 Waitresses Location: Zanzibar Salary: TZS 150,000 per month Benefits: ...
Located: Bwejuu, Zanzibar Central/South, TZ
Condition: New
Premium
Check with seller
Tuna design na tuna Jenga nyumba
Tuna design,tuna Jenga tuna Fanya makadilio ya ujenzi , ukarabati, landscape ( garden) designing,Tunatoa ushauri kabla na baada ya ujenzi,Tunabuni langi mbalimbali pia ,karibu tukupe huduma 💪 🙌 📞0673143486 IRINGA MJINI.
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Natafuta kazi ya ofisini
Natafuta kazi ya kuuza nguo
Located: Fiwaga, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
ERNEO PLUMBING LTD
{ITEM_TITLE}-{ITEM_ID}
Located: Babala, Dodoma, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
