Matangazo ya kipekee
Premium
2.00 TZS
Kozi tunazotoa chuo cha udereva nit
Tunawakaribisha wote kujiunga na mafunzo ya uendeshaji wa mitambo (Heavy Duty Equipment Operation) yenye lengo la kuwapa washiriki ujuzi wa vitendo, maarifa ya kina na uwezo wa kufanya kazi kwenye mazingira halisi ya viwandani na miradi mikubwa ya ujenzi. Mafunzo haya yameandaliwa kwa ubora wa juu ili kuhakikisha kila ...
Located: Dodoma, TZ
Condition: New
Premium
2.00 TZS
Nyumba za Kupanga Iringa Bei Nafuu na Makazi Bora
*๐ข UNAHITAJI CHUMBA/NYUMBA YA KUPANGA AU FRAME YA BIASHARA?* Usijisumbue tena! Tunapangisha vyumba safi, salama na bei nafuu Iringa Mjini ๐ โ
*FRAME ZA BIASHARA MJINI* ๐Kuna frame ya 250K Mjini, Karibu Ofisi Za Vyunjabei ๐Kuna frame ya 250k Kitanzini karibu na ofisi za vyumjabei kodi 250k โ
*Single Room:* 25kโ50k โ
*Se...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Msemwa sounds huduma ya ukodishaji muziki
Msemwa Sound ni huduma ya ukodishaji wa vyombo vya muziki mkoani Mafinga, ikiwalenga wateja wa harusi, sherehe za ndoa, birthdays, events za shule, parties za kijamii na tamasha lolote. Tunatoa vyombo vya muziki vya kisasa vinavyofaa kwa aina zote za matukio, ikiwemo speakers, amplifiers, microphones, mixers, DJ equipm...
Located: Mafinga, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Toyota passo Kali sana
TOYOTA PASSO kali sana, imetunzwa vizuri na ipo katika hali bora kwa matumizi ya kila siku. Inakuja na full AC baridi kali, cc 990 yenye ufanisi mkubwa wa mafuta na nguvu za kutosha kwa safari za mjini na za mbali. Ina mfumo mzuri wa music sound unaotoa sauti safi na ya kuvutia wakati wa kuendesha. Gari halina kipengel...
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Infinity photo studio
WEDDING || ALL EVENTS || STUDIO PORTRAITS Creating Timeless Memories Tunatoa huduma za upigaji picha na video kwa viwango vya juu, tukilenga kukuwezesha kuhifadhi kumbukumbu za muhimu kwa njia ya kipekee na ya kisasa. Iwe ni harusi, send-off, birthday, graduation, corporate events au photoshoot za studio, tunahakikisha...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Premium
2.00 TZS
Karibu Autorex Garage Iringa
Karibu Autorex Garage Iringa โ kituo chako cha uhakika kwa huduma bora za matengenezo na utunzaji wa gari. Tunatoa Wheel Alignment ya kisasa kwa usahihi zaidi ili kuhakikisha gari lako linasimama na kusafiri kwa mtiririko mzuri. Pia tunafanya Car Services kamili ikijumuisha engine check, brake check, oil change, filter...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Premium
Wasiliana na muuzaji
TANGAZO LA KAZI
#NAFASI_ZA_KAZI YA_KUSAMBAZA_TAARIFA Wanahitajika watu watakao fanya kazi ya kusambaza taarifa za kampuni ya Gcat International Company Limited Taarifa za huduma inayotolewa na kampuni kwa kutumia simu yako ya mkononi/ Smart phone. NOTE: * Nilazima uwe na simu kubwa/ Smart phone * Uwe Iringa tu * Uwe na bidii ya kazi *...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Premium
Wasiliana na muuzaji
Fundi simu iringa
Kutana na John, mtaalamu mwenye uzoefu katika huduma mbalimbali za simu na teknolojia, anayetoa huduma kwa umakini na ubora wa hali ya juu. John anatoa ufundi wa simu za aina zote, ikiwa ni pamoja na kutengeneza matatizo ya software, kubadilisha spare parts, kufungua simu zilizofungwa, kurekebisha network, kuchomelea c...
Located: Mafinga, TZ
Condition: New
Premium
2.00 TZS
Miti inauzwa eneo la itimbo
Miti inauzwa eneo la Itimbo, ikiwa ni hekari moja yenye miti mikubwa, imara na iliyokomaa kwa zaidi ya miaka 10. Ni nafasi bora sana kwa wanaohitaji miti ya kutengeneza mbao nyingi kwa matumizi ya ujenzi, biashara ya mbao, au miradi ya viwandani. Miti hii imepandwa kwa mpangilio mzuri, imetunzwa vizuri, na ipo kwenye a...
Located: Mafinga, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Manhattan_gym_fitness
Welcome to Manhattan Fitness Gym in Mtoni Kijichi, Dar es Salaam, the perfect place to achieve your health and fitness goals. We offer modern workout programs including strength training, aerobics, yoga, and personal training under the guidance of a certified Fitness Trainer and Healthy Eating Consultant. Join us to ge...
Located: Mtoni, TZ
Condition: New
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nyumba inapangishwa wilolesi
House for rent$ --------------------------------------------------------------------------------+ Vyumba viwili na vyote ni master Sebule,jiko, store na public toilet Bei 400,000 Location Wilolesi Contact 0712908002
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunauza bajaji used
TUNAUZA NA KUNUNUA BAJAJI USED **Full documentโ
**Price/bei-7,500,000/=๐ฐ **Location-Dar es salaam(mbagara)โ
โ๏ธCall & WhatsApp:0694048469๐ Mikoani Tunatuma Kwa Uwaminifu Mkubwa ๐๐ฝ๐๐ฝ
Located: Mbagalla, TZ
Premium
Check with seller
Nyumba za KUPANGA Iringa
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ 2026,2026,2026,2026 IRINGA MANISPA NAPANGISHA NYUMBA NZIMA, VYUMBA, FREMU,CONTENA. Welcome welcome โผ๏ธโผ๏ธโผ๏ธโผ๏ธโผ๏ธโผ๏ธโผ๏ธ Kodii kuanzia 30K....350, vyumba Kodii FREMU: kuanzia 50....500+ vilemba MAENEO YA ๐
ฐ๏ธ MKWAWA ๐
ฐ๏ธ ILALA ๐
ฐ๏ธ ISAKALILO ๐
ฐ๏ธ MKIMBIZI ๐
ฐ๏ธ DONIBOSCO ๐
ฐ๏ธ MAWELEWELE ๐
ฐ๏ธ KIGONZILE ๐
ฐ๏ธ TUMAINI, ๐
ฐ๏ธ KIHESA ...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nyumba inauzwa mafinga Iringa
Nyumba ipo mafinga luganga ukubwa wa uwanja MITA 40 kwa 70 bei milioni 23 lipa milioni 18 milioni 5 nakupa miezi 6 utamalizia hata Leo njoo kagua
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Dukani kwa magda nguo bei poa bei rahisi!
Dukani kwa magda nguo bei poa bei rahisi! Tengeneza faida mara mbili. Simu 0636408609 https://chat.whatsapp.com/H1ucVTOWSxO5QGix6srtDj?mode=gi_t Tunarahisisha biashara kwa watu wa mikoani kwa kuwafikishia mizigo kwa haraka na kwauaminifu mkubwa. Watu wa Dar Es Salaam karibuni dukani Kariakoo jengo la DDC. Jumla Tsh 45,...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Mashamba Iringa yanapatikana Iringa
TULIPAMWINGA MBETULI VAYAWE mashamba bado yapo yakutosha ndani ya mkoa wa iringa karibuni sana, Ninazo eka za kutosha kata ya lyamgungwe wilaya ya iringa vijijini Pia kwa wanaopenda kilimo cha umwagiliaji ninazo eka 7. Mawasiliano 0650152828 0795320922
Located: Iringa, Iringa, TZ
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza mtungi na gas iringa
JIKO ,MTUNGI NA REGULATOR VYOTE 125,000 TU IRINGA TOWN 0678467780
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza bidhaa mbalimbali Iringa
Nauza pop corn mashine mpyaaa mnooo 250k,kitanda 5 kwa 6 cha chuma sofa kote kwa 145k,azam ya antena kwa 30k,piano kwa 105k,sofa watu 3 kwa 110k,sofa watu 2 jipy na mito kwa 145k,kimeza cha tv kwa 35k,jiko plate 4 3 znatumia gas 1 umeme kwa 195k,king lion pikpiki no DDD KWA MILION 1.5 TUUU 0620840577 IRINGA MJINI wahii...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Samsung note 8 ipo safi
Nauza simu note 8 Gb 64 ram 6 Napatikana iringa mjini
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza simu nipo Iringa
M HORSE GB32 MPYAA TU INA CRECK NDOGO ISIYO NA MADHARA BEI 70,000 tu NIPO IRINGA TOWN 0678467780
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza BM 150 ikiwa katika hali nzuri
๐ INAUZWA: BM 150 Nauza BM 150 ikiwa katika hali nzuri sana. โ๏ธ Injini safi kabisa โ๏ธ Full documents zipo โ๏ธ Imetunzwa vizuri ๐ฐ Bei: TSh 750,000 tu ๐ Mahali: Iringa Mjini ๐ Wasiliana: 0759 844 430 Karibu uje uione na kufanya makubaliano.
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza gari aina ya Toyota IST kwa bei nzuri
๐ INAUZWA โ Toyota IST Nauza gari aina ya Toyota IST kwa bei ya TSh milioni 7 tu. โ๏ธ Gari ipo katika hali nzuri โ๏ธ Inatembea vizuri sana โ๏ธ Inafaa kwa matumizi ya familia au biashara โ๏ธ Nyaraka zote zipo tayari ๐ Location: Iringa Kwa mawasiliano na maelezo zaidi piga simu au WhatsApp. Wahi kabla haijaenda! Namba ya sim...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Wanahitajika wafanyakazi Zanzibar
JOB OPPORTUNITY โ ZANZIBAR (RESTAURANT & BAR) Hello everyone, I would like to share a job opportunity on behalf of my aunt, who owns a restaurant and bar in Zanzibar. She is currently looking for 6 female staff as follows: 3 Counter Attendants 3 Waitresses Location: Zanzibar Salary: TZS 150,000 per month Benefits: ...
Located: Bwejuu, Zanzibar Central/South, TZ
Condition: New
Premium
Check with seller
Tuna design na tuna Jenga nyumba
Tuna design,tuna Jenga tuna Fanya makadilio ya ujenzi , ukarabati, landscape ( garden) designing,Tunatoa ushauri kabla na baada ya ujenzi,Tunabuni langi mbalimbali pia ,karibu tukupe huduma ๐ช ๐ ๐0673143486 IRINGA MJINI.
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
