Matangazo ya kipekee
Premium
Wasiliana na muuzaji
Dukani kwa magda nguo bei poa bei rahisi!
Dukani kwa magda nguo bei poa bei rahisi! Tengeneza faida mara mbili. Simu 0636408609 https://chat.whatsapp.com/H1ucVTOWSxO5QGix6srtDj?mode=gi_t Tunarahisisha biashara kwa watu wa mikoani kwa kuwafikishia mizigo kwa haraka na kwauaminifu mkubwa. Watu wa Dar Es Salaam karibuni dukani Kariakoo jengo la DDC. Jumla Tsh 45,...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Tunauza nguo za watoto zenye ubora
Tunauza nguo za watoto zenye ubora wa hali ya juu, zinazofaa kwa umri tofauti kuanzia watoto wachanga hadi wenye umri wa shule. Tunahakikisha kila bidhaa ina material laini, imara na salama kwa ngozi ya mtoto, hivyo kuwapa watoto faraja na muonekano mzuri kila siku. Tunatoa seti mbalimbali kama nguo za michezo, casual ...
Located: Mafinga, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Iringa Cleaning and Fumigation
Iringa Cleaning and Fumigation ni kampuni ya kitaalamu inayotoa huduma bora za usafi na udhibiti wa wadudu kwa viwango vya juu kabisa. Inayoongozwa na Owner @iam_dainesfelista ambaye pia ni CEO wa @iringacleaning_fumigation, tunahakikisha nyumba yako, ofisi, apartment, airbnb au biashara yako inakuwa safi, salama na ye...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunauza viatu vya kiume sandals
TUNATENGENEZA WENYEWE! Tunauza kwa bei ya jumla kuanzia SH 4,000 kwa agizo la pea 10 na kuendelea, na kwa rejareja ni SH 7,000 tu. Ubora wetu ni wa kiwango cha juu kwa sababu bidhaa zetu tunazitengeneza sisi wenyewe, ndiyo maana wateja wetu wengi wanarudi tena na tena. Zaidi ya mauzo, tunatoa ushauri bure kabisa kwa wa...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza bidhaa mbalimbali Iringa
Nauza pop corn mashine mpyaaa mnooo 250k,kitanda 5 kwa 6 cha chuma sofa kote kwa 145k,azam ya antena kwa 30k,piano kwa 105k,sofa watu 3 kwa 110k,sofa watu 2 jipy na mito kwa 145k,kimeza cha tv kwa 35k,jiko plate 4 3 znatumia gas 1 umeme kwa 195k,king lion pikpiki no DDD KWA MILION 1.5 TUUU 0620840577 IRINGA MJINI wahii...
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
TUNAKULETEA KOZI YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
TUNAKULETEA KOZI YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI UTAJIFUNZA โ Ubunifu na Uanzishaji wa Biashara โ Masoko na Uendeshaji wa Biashara โ Uzalishaji wa Bidhaa kama vile (Mafuta, Shampoo, Gel n.k) โ Usimamizi mzuri wa Fedha โ Digital Marketing n.k Kozi hii ni ya Online na Physical, watu wote mnakaribishwa kujiunga. Kwa wanafunzi ...
Located: Arusha, TZ
Condition: New
Premium
2.00 TZS
Nauza Kuku wa Nyama Mkimbizi Iringa
Unatafuta kuku wa nyama wenye ubora mzuri, waliofugwa katika mazingira safi, salama na yenye chakula cha kutosha? Tunakuletea ofa maalum ya kuku wa nyama kwa bei nafuu na inayomfaa kila mteja katika maeneo ya Iringa, hususan eneo la Mkimbizi, ambako huduma zetu zimekuwa zikiaminika na kupendwa na wateja wengi. Kila kuk...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
ERNEO PLUMBING LTD
{ITEM_TITLE}-{ITEM_ID}
Located: Babala, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Kiwanja kinauzwa ipogolo
๐ฒ *Haya! Haya! Hayaaaa!!!...*๐ฒ๐๐ Kile *(KIWANJA KIZURI) SAANA* Cha *(PALE IPOGOLO)* Mkoani *(IRINGA)* Bado Kipo -KIWANJA *(KIPO KLM 3)* From ๐ *(CITY CENTER)* -KIWANJA kinafikika GARI inafika *(MPAKA๐SAITI)* -KIWANJA KIPO Kwa JUU Sio *(BONDENI)* -KIWANJA KINAFAA Kwa *(UWEKEZAJI)* kama Vile *(SHAMBA)* ๐ *(YADI)* au *(GO...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Premium
2.00 TZS
Miti inauzwa eneo la itimbo
Miti inauzwa eneo la Itimbo, ikiwa ni hekari moja yenye miti mikubwa, imara na iliyokomaa kwa zaidi ya miaka 10. Ni nafasi bora sana kwa wanaohitaji miti ya kutengeneza mbao nyingi kwa matumizi ya ujenzi, biashara ya mbao, au miradi ya viwandani. Miti hii imepandwa kwa mpangilio mzuri, imetunzwa vizuri, na ipo kwenye a...
Located: Mafinga, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Kiwanja kipo mafinga nauza
BEI IMEVUNJWA UKUBWA WA KIWANJA MITA 25KWA 22. KIWANJA KIPO LUMWAGO MAFINGA IRINGA TANZANIA ๐น๐ฟ. BEI NI MILIONI MBILI. BARABARA, UMEME, MAJI, VYOTE VIPO JILANI. ๐ฒO768651525.
Located: Mafinga, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Huduma ya usafirishaji iringa
BATELEUR SAFARIS presents... RUAHA CHRISTMAS PARTY & SAFARI! ๐ Ruaha National Park | ๐๏ธ 25th & 26th December, 2025 2 DAYS / 1 NIGHT EXPERIENCE - AN ALL INCLUSIVE SAFARI PACKAGE! - Transport, 3 Meals, Accommodation, Soft Drinks, Entry & Guiding fees with so much fun! ๐ฐ PRICES... > East African citizens - ...
Located: Iringa, TZ
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nyumba za KUPANGA Iringa
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ 2026,2026,2026,2026 IRINGA MANISPA NAPANGISHA NYUMBA NZIMA, VYUMBA, FREMU,CONTENA. Welcome welcome โผ๏ธโผ๏ธโผ๏ธโผ๏ธโผ๏ธโผ๏ธโผ๏ธ Kodii kuanzia 30K....350, vyumba Kodii FREMU: kuanzia 50....500+ vilemba MAENEO YA ๐
ฐ๏ธ MKWAWA ๐
ฐ๏ธ ILALA ๐
ฐ๏ธ ISAKALILO ๐
ฐ๏ธ MKIMBIZI ๐
ฐ๏ธ DONIBOSCO ๐
ฐ๏ธ MAWELEWELE ๐
ฐ๏ธ KIGONZILE ๐
ฐ๏ธ TUMAINI, ๐
ฐ๏ธ KIHESA ...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nyumba inauzwa mafinga Iringa
Nyumba ipo mafinga luganga ukubwa wa uwanja MITA 40 kwa 70 bei milioni 23 lipa milioni 18 milioni 5 nakupa miezi 6 utamalizia hata Leo njoo kagua
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Dukani kwa magda nguo bei poa bei rahisi!
Dukani kwa magda nguo bei poa bei rahisi! Tengeneza faida mara mbili. Simu 0636408609 https://chat.whatsapp.com/H1ucVTOWSxO5QGix6srtDj?mode=gi_t Tunarahisisha biashara kwa watu wa mikoani kwa kuwafikishia mizigo kwa haraka na kwauaminifu mkubwa. Watu wa Dar Es Salaam karibuni dukani Kariakoo jengo la DDC. Jumla Tsh 45,...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Mashamba Iringa yanapatikana Iringa
TULIPAMWINGA MBETULI VAYAWE mashamba bado yapo yakutosha ndani ya mkoa wa iringa karibuni sana, Ninazo eka za kutosha kata ya lyamgungwe wilaya ya iringa vijijini Pia kwa wanaopenda kilimo cha umwagiliaji ninazo eka 7. Mawasiliano 0650152828 0795320922
Located: Iringa, Iringa, TZ
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza mtungi na gas iringa
JIKO ,MTUNGI NA REGULATOR VYOTE 125,000 TU IRINGA TOWN 0678467780
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza bidhaa mbalimbali Iringa
Nauza pop corn mashine mpyaaa mnooo 250k,kitanda 5 kwa 6 cha chuma sofa kote kwa 145k,azam ya antena kwa 30k,piano kwa 105k,sofa watu 3 kwa 110k,sofa watu 2 jipy na mito kwa 145k,kimeza cha tv kwa 35k,jiko plate 4 3 znatumia gas 1 umeme kwa 195k,king lion pikpiki no DDD KWA MILION 1.5 TUUU 0620840577 IRINGA MJINI wahii...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Samsung note 8 ipo safi
Nauza simu note 8 Gb 64 ram 6 Napatikana iringa mjini
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza simu nipo Iringa
M HORSE GB32 MPYAA TU INA CRECK NDOGO ISIYO NA MADHARA BEI 70,000 tu NIPO IRINGA TOWN 0678467780
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza BM 150 ikiwa katika hali nzuri
๐ INAUZWA: BM 150 Nauza BM 150 ikiwa katika hali nzuri sana. โ๏ธ Injini safi kabisa โ๏ธ Full documents zipo โ๏ธ Imetunzwa vizuri ๐ฐ Bei: TSh 750,000 tu ๐ Mahali: Iringa Mjini ๐ Wasiliana: 0759 844 430 Karibu uje uione na kufanya makubaliano.
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza gari aina ya Toyota IST kwa bei nzuri
๐ INAUZWA โ Toyota IST Nauza gari aina ya Toyota IST kwa bei ya TSh milioni 7 tu. โ๏ธ Gari ipo katika hali nzuri โ๏ธ Inatembea vizuri sana โ๏ธ Inafaa kwa matumizi ya familia au biashara โ๏ธ Nyaraka zote zipo tayari ๐ Location: Iringa Kwa mawasiliano na maelezo zaidi piga simu au WhatsApp. Wahi kabla haijaenda! Namba ya sim...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Wanahitajika wafanyakazi Zanzibar
JOB OPPORTUNITY โ ZANZIBAR (RESTAURANT & BAR) Hello everyone, I would like to share a job opportunity on behalf of my aunt, who owns a restaurant and bar in Zanzibar. She is currently looking for 6 female staff as follows: 3 Counter Attendants 3 Waitresses Location: Zanzibar Salary: TZS 150,000 per month Benefits: ...
Located: Bwejuu, Zanzibar Central/South, TZ
Condition: New
Premium
Check with seller
Tuna design na tuna Jenga nyumba
Tuna design,tuna Jenga tuna Fanya makadilio ya ujenzi , ukarabati, landscape ( garden) designing,Tunatoa ushauri kabla na baada ya ujenzi,Tunabuni langi mbalimbali pia ,karibu tukupe huduma ๐ช ๐ ๐0673143486 IRINGA MJINI.
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
