139 results match your search criteria
Premium listings
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza mayai ya kisasa
Unataka kuwa MILIONEA? Uza MAYAI ! Anza hata na trey chache. Soko ni Kubwa. Uzia Nyumbani, Dukani, Kibandani, Gengeni... Agiza sasa kutoka KILOMBERO KUKU FARM Tsh.6,000/= @ Trey Piga 0769217810. Whatsapp 0677988499. * Makubwa ya kisasa yenye kiini cha njano. * Tupo Kilombero, Morogoro - Tanzania. * Tunasafirisha mikoa ...
Located: Morogoro, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunakopesha na kuuza simu aina ya Samsung
TUNAKOPESHA NA KUUZA SIMU AINA YA SAMSUNG NDANI NA NJE YA IRINGA VIGEZO 1. VITAMBULISHO KATI YA NIDA, MPIGA KURA AU LESENI YA UDEREVA 2. NAMBA AKO YA SIMU 3. KIANZIO A05 Gb 64/4 Cash -365K A06 128/4gb Kianzio-120,000Tsh Weekly -11,475 Cash-470,000Tsh A05S 128/4gb Kianzio-120,000Tsh Cash -450,000Tsh A16128/4gb Kianzio-1...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Rent
Premium
Wasiliana na muuzaji
masweta mazuri ya kisasa
Nauza masweta mazuri ya kisasa, yenye ubora mzuri na bei nafuu. Yanapatikana katika size na rangi tofauti kulingana na mahitaji yako. Yanafaa kwa matumizi ya kila siku na sherehe. Mahali: Iringa Mjini Wasiliana Nami: 0745395040
Located: Mafinga, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Brauzi za Mtumba Grade 1 Zinauzwa
Brauzi za Mtumba Grade 1 Zinauzwa 📌 Maelezo: Nauza brauzi safi za mtumba Grade 1 – ubora mzuri, bado zipo kwenye hali nzuri kwa matumizi ya muda mrefu. 📍 Mahali: Iringa mjini, Frelimo ✅ Faida: Ubora wa juu (Grade 1) Bei nafuu na punguzo kwa wanaochukua nyingi Zinafaa kwa biashara au matumizi binafsi 📞 Mawasiliano:06248...
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Viwanja vinapatikana iringa maneno yote
🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦🐦 VIWANJA VIWANJA VIWANJA VIWANJA VIWANJA VIWANJA Iringa region VIWANJA vipoo maeneo ya: ⭐Isakalilo ⭐Kigonzile ⭐Itamba ⭐Mawelewele ⭐Zizi ⭐Mkimbizi ⭐Njia panda ya tosa ⭐Kitwiru ⭐Ipogolo ⭐Kitasengwa ⭐Ndiuka ⭐Igumbilo ⭐Viwengi ⭐Ilula Piga *simu,0753745947/0616857220* Iringa mjini Mr *share* *mkuu*
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunatoka mikopo kwa watumishi
𝗙𝗔𝗡𝗜𝗞𝗜𝗪𝗔 𝗠𝗜𝗖𝗥𝗢𝗙𝗜𝗡𝗔𝗡𝗖𝗘. 𝖳𝖺𝖺𝗌𝗂𝗌𝗂 𝗂𝗇𝖺𝗒𝗈𝗍𝗈𝖺 𝗆𝗂𝗄𝗈𝗉𝗈 𝗄𝗐𝖺 𝗐𝖺𝗍𝗎𝗆𝗂𝗌𝗁𝗂 𝗐𝖺 𝖴𝖬𝖬𝖠 𝗒𝖾𝗇𝗒𝖾 𝗋𝗂𝖻𝖺 𝗇𝖺𝖿𝗎𝗎 𝗓𝖺𝗂𝖽𝗂. 𝖪𝗎𝖻𝗐𝖺 𝗄𝗎𝗅𝗂𝗄𝗈 𝗎𝗇𝖺𝗁𝗎𝖽𝗎𝗆𝗂𝗐𝖺 𝗉𝗈𝗉𝗈𝗍𝖾 𝗄𝗐𝖺 𝗇𝗃𝗂𝖺 𝗒𝖺 𝗌𝗂𝗆𝗎 𝗍𝗎. 𝖶𝖺𝗌𝗂𝗅𝗂𝖺𝗇𝖺 𝗇𝖺𝗌𝗂.𝗄𝗐𝖺 𝗇𝖺𝗆𝖻𝖺 0620673040/0768417146. 𝖠𝗎 𝗍𝗎𝗆𝖺 𝗍𝗎 𝗎𝗃𝗎𝗆𝖻𝖾
Located: Iringa, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mashuka mazuri ya mtumba kwa bei poa Tanzania
Nauza mashuka ya mtumba safi na bed cover nzuri kwa bei nafuu. Ubora mzuri na wa kudumu Safi na zenye mvuto Bei nafuu kuanzia Tsh 15,000 na kuendelea Huduma: 📦 Delivery inapatikana kulingana na eneo ulilopo Mawasiliano: 📞 Piga / WhatsApp:0762241408
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Viwanja vipi iringa maneno ya kitwiru
Viwanja vipo Iringa manispaa maeneo ya kitwiru Vipo top top bei ni tofaut tofauti kulingana na eneo lilipo wewe piga cm tuu unapata kulingana na bei Yako na huduma zote zipo havina shida yoyote ile Na pia ya maji ni muhimu sana Col 0794496510
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza kuku wa nyama
Nauza kuku wa nyama waliokomaa vizuri, wenye afya bora na wanakua haraka. Kuku wanapatikana kwa bei nafuu na mzuri kwa biashara au matumizi ya nyumbani. Maelezo ya Ziada: ✅ Kuku wazima na wenye uzito wa kutosha ✅ Bei nafuu kwa jumla na rejareja ✅ Napatikana Iringa Mawasiliano: Piga/SMS: 0760812258
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mchele grade 1 kutoka mbeya
Karibu mchele grade 1 kutoka Mbeya kwa bei punguzo kilo ni 2000 Tunasafirisha popote ulipo Contact 0627109582 Kilo ni 2000
Located: Mbeya, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mayai ya kisasa bei ya jumla
Nauza mayai ya kisasa safi na yenye ubora wa hali ya juu kwa bei nafuu ya jumla. Yanafaa kwa biashara ya chakula, migahawa, hoteli au matumizi ya nyumbani. ✅ Ubora wa kuaminika ✅ Bei nafuu ya jumla ✅ Upatikanaji wa kila siku Nipo Iringa, unaweza kuagiza kidogo au kwa wingi kulingana na mahitaji yako. Mawasiliano:075359...
Located: Iringa, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza unga wa lishe
Ni unga mzuri kwa afya yako inatumika na lika zote Kuna mchangiko wa mahindi, Soya Ngano Karanga Ulezi
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
2.00 TZS
Manhattan_gym_fitness
Welcome to Manhattan Fitness Gym in Mtoni Kijichi, Dar es Salaam, the perfect place to achieve your health and fitness goals. We offer modern workout programs including strength training, aerobics, yoga, and personal training under the guidance of a certified Fitness Trainer and Healthy Eating Consultant. Join us to ge...
Located: Mtoni, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
2.00 TZS
Tunatangaza Kozi ya ususi na urembo
🎓 MSEWE COLLEGE Jiunge nasi katika program zifuatazo: Kozi Tunazotoa: 💻 Computer 🗣️ English course 👶 ualimu wa Chekechea utapata cheti cha Montessori 💇♀️ Urembo na Ususi Programu Maalum: • Form 1–2 (mwaka 1) • Form 3–4 (mwaka 1) • Form 5–6 (mwaka 1) • QT (FTNA) & wanaorudia Form 4 Fomu za kujiunga zinapatika chuon...
Located: Ubungo, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
2.00 TZS
Tangazo la nafasi za masomo kozi ya mbalimbali
TANGAZO LA NAFASI YA MASOMO KWA MWAKA 2026. 🛠️ CHUO CHA MAFUNZO YA UFUNDI STADI MORAVIAN NAMTUMBO. Je, unatafuta elimu bora ya mafunzo ya ufundi kwa vitendo na yanayokuwezesha kujiajiri au kuajiriwa mara moja? Namtumbo Moravian VTC ndiyo chaguo sahihi kwa ajili yako! 📚 KOZI TUNAZOTOA ✅ Ufundi Umeme ✅ Ufundi Magari ✅ Uf...
Located: Namtumbo, Ruvuma, TZ
Condition: New
2.00 TZS
Kozi tunazotoa chuo cha udereva nit
Tunawakaribisha wote kujiunga na mafunzo ya uendeshaji wa mitambo (Heavy Duty Equipment Operation) yenye lengo la kuwapa washiriki ujuzi wa vitendo, maarifa ya kina na uwezo wa kufanya kazi kwenye mazingira halisi ya viwandani na miradi mikubwa ya ujenzi. Mafunzo haya yameandaliwa kwa ubora wa juu ili kuhakikisha kila ...
Located: Dodoma, Dodoma, TZ
Condition: New
2.00 TZS
TUNAKULETEA KOZI YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
TUNAKULETEA KOZI YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI UTAJIFUNZA ✔ Ubunifu na Uanzishaji wa Biashara ✔ Masoko na Uendeshaji wa Biashara ✔ Uzalishaji wa Bidhaa kama vile (Mafuta, Shampoo, Gel n.k) ✔ Usimamizi mzuri wa Fedha ✔ Digital Marketing n.k Kozi hii ni ya Online na Physical, watu wote mnakaribishwa kujiunga. Kwa wanafunzi ...
Located: Arusha, Arusha, TZ
Condition: New
2.00 TZS
Tunatoa Kozi ya mapishi veta dar es salaam
Kozi ya Mapishi katika Chuo cha Ufundi Arizona @arizona_vtc 📌Fomu za Usajili zinapatikana Chuoni au kwa njia ya mtandao 📌Kozi inaanza tarehe 18/07/2022 (Miezi mitatu) 📌Swipe kuona muongozo na mtiririko wa kozi yote. 📌Wahitimu hupatiwa Vyeti 📌Chuo kimesajiliwa na VETA 📌Mafunzo kwa Vitendo 📌Ada inajumuisha uniform na vif...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
2.00 TZS
Chuo Bora jijini Arusha
Chuo Bora Jijini Arusha. Chagua kozi Yako na usome kwa Ada kidogo. *Ualimu wa chekechea *Ufundi Umeme *Secretarial course *Hotel Management *Tourism and Tour guide *Information technology IT *Computer Application *Ususi na Urembo *Mapambo na keki *English language *French language *Germany course Pata form yakujiunga B...
Located: Arusha, Arusha, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
2.00 TZS
Turnbull training college
Our Vocational Training college established since a year 2017 and being allowed in offering different courses by Vocational Education Training Authority ( VETA ) such as Hotel & Tourism, Full Secretarial all levels, Computer courses, Foreign Languages including Chines & English course, Clothing and textile furt...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
2.00 TZS
Nauza Toyota Rash kwa bei ya Milioni 6.3
Nauza Toyota Rash kwa bei ya Milioni 6.3. Gari ipo Mafinga, ipo katika hali nzuri, tayari kwa kuendesha. Kwa maelezo zaidi au kuja kuangalia gari, tafadhali wasiliana nami kupitia simu au WhatsApp 0752 555 884. Pata gari bora kwa bei nafuu, huduma ya haraka na ya kuaminika. Tuna uhakika utapendezwa na gari hii Toyota R...
Located: Mafinga, Iringa, TZ
2.00 TZS
Karibu kwa huduma za matrekta na kilimo
HGT Iringa Offices ipo Iringa Mjini na inatoa huduma bora za kilimo, ikiwemo mauzo na usambazaji wa matrekta, mashine za kilimo, na vifaa vya mashamba kwa wateja wa jumla na wa rejareja. Kampuni yetu ina uzoefu mkubwa katika sekta ya kilimo mseto, ikihakikisha wateja wanapata matrekta na vifaa vya hali ya juu vinavyosa...
Located: Iringa, Iringa, TZ
2.00 TZS
Kidumo Garage mafundi toka moshi
Dodoma , iringa ,mbeya Kidumo Garage mafundi toka moshi Kwa matengenezo ya gari yako Tunaunda body zote za magari ya mizigo 1:single 2:tandam 3;box body 4:tiper 5:canter 6:Tunakata longbase kuwa tipper Tunapatikana dodoma mjini nyuma ya ofis za machame Tembelea page yetu instagram kidumo garage kuon kazi zetu Tupigie 0...
Located: Iringa, Iringa, TZ
2.00 TZS
Toyota passo Kali sana
TOYOTA PASSO kali sana, imetunzwa vizuri na ipo katika hali bora kwa matumizi ya kila siku. Inakuja na full AC baridi kali, cc 990 yenye ufanisi mkubwa wa mafuta na nguvu za kutosha kwa safari za mjini na za mbali. Ina mfumo mzuri wa music sound unaotoa sauti safi na ya kuvutia wakati wa kuendesha. Gari halina kipengel...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
