Pata mitindo mipya ya mavazi, viatu na bidhaa za fashion kwa bei nafuu, chagua unachopenda kupitia Gulio Iringa.
Matangazo ya kipekee
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunauza bajaji used
TUNAUZA NA KUNUNUA BAJAJI USED **Full document✅ **Price/bei-7,500,000/=💰 **Location-Dar es salaam(mbagara)✅ ☎️Call & WhatsApp:0694048469📞 Mikoani Tunatuma Kwa Uwaminifu Mkubwa 🙏🏽🙏🏽
Located: Mbagalla, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Tunauza viatu vya kiume sandals
TUNATENGENEZA WENYEWE! Tunauza kwa bei ya jumla kuanzia SH 4,000 kwa agizo la pea 10 na kuendelea, na kwa rejareja ni SH 7,000 tu. Ubora wetu ni wa kiwango cha juu kwa sababu bidhaa zetu tunazitengeneza sisi wenyewe, ndiyo maana wateja wetu wengi wanarudi tena na tena. Zaidi ya mauzo, tunatoa ushauri bure kabisa kwa wa...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Dukani kwa magda nguo bei poa bei rahisi!
Dukani kwa magda nguo bei poa bei rahisi! Tengeneza faida mara mbili. Simu 0636408609 https://chat.whatsapp.com/H1ucVTOWSxO5QGix6srtDj?mode=gi_t Tunarahisisha biashara kwa watu wa mikoani kwa kuwafikishia mizigo kwa haraka na kwauaminifu mkubwa. Watu wa Dar Es Salaam karibuni dukani Kariakoo jengo la DDC. Jumla Tsh 45,...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
2.00 TZS
Wauzaji wa laptop iringa
Karibu kwenye Duka Kuu la Laptop, mahali ambapo unapata bidhaa mbalimbali za teknolojia za kisasa kwa bei za OFA zinazokuvutia. Tunajivunia kutoa aina mbalimbali za laptop za chapa maarufu, kompyuta ndogo za kubebeka (notebooks), vifaa vya kielektroniki, pamoja na accessoires za laptop kama vile madereva, charger, mous...
Located: Iringa, TZ
Premium
2.00 TZS
Tunauza nguo za watoto zenye ubora
Tunauza nguo za watoto zenye ubora wa hali ya juu, zinazofaa kwa umri tofauti kuanzia watoto wachanga hadi wenye umri wa shule. Tunahakikisha kila bidhaa ina material laini, imara na salama kwa ngozi ya mtoto, hivyo kuwapa watoto faraja na muonekano mzuri kila siku. Tunatoa seti mbalimbali kama nguo za michezo, casual ...
Located: Mafinga, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Suruali za kike za mtumba
Mimi ni muuzaji wa mabelo ya nguo za mitumba zenye ubora wa hali ya juu. Nauza shuka mbalimbali, suruali za aina zote, nguo za watoto na nguo za wakubwa kwa bei nafuu na zinazomudu kila mfuko. Nguo zipo katika hali nzuri, safi na tayari kuuzwa rejareja au jumla. Nafaa kwa wafanyabiashara wanaoanza au wanaoendelea. Nipo...
Located: Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Suruali za kike za mtumba
DescriptionBATELEUR SAFARIS presents... RUAHA CHRISTMAS PARTY & SAFARI! 📍 Ruaha National Park | 🗓️ 25th & 26th December, 2025 2 DAYS / 1 NIGHT EXPERIENCE - AN ALL INCLUSIVE SAFARI PACKAGE! - Transport, 3 Meals, Accommodation, Soft Drinks, Entry & Guiding fees with so much fun! 💰 PRICES... > East African ...
Located: Iringa, TZ
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza viatu vya Travolta
Viatu vya Mtumba Grade A Travolta Vinauzwa 🥿 Nauza viatu vya mtumba grade A vilivyo kwenye hali nzuri sana. 📍 Napatikana Iringa mjini ✅ Ubora wa hali ya juu ✅ Bei nafuu kabisa ✅ Vyote viko tayari kwa matumizi Karibu ununue kwa ajili yako au biashara. Piga/WhatsApp: 0621006724
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Magauni ya Mtumba Bei Nafuu – Safi na Bora
Nauza magauni ya mtumba ya kike yenye ubora mzuri na muonekano wa kisasa. Magauni yapo katika hali nzuri, safi na yanapatikana kwa bei nafuu sana. ➡️ Aina mbalimbali za magauni (short, long & casual wear) ➡️ Ubora mzuri – yanavaliwa muda mrefu ➡️ Bei nafuu inayokufaa Mahali: Iringa mjini– Kitanzini Wasiliana Nasi: ...
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Mayai ya kisasa
Nauza mayai ya kisasa, safi na yenye ubora kwa bei nafuu. Yanapatikana kwa wingi na kwa bei ya jumla na rejareja. 👉 Yanafaa kwa chakula cha familia 👉 Yanapatikana kwa wingi kwa wafanyabiashara wa mayai 👉 Ubora na uhakika wa kutosha MAHALI: Iringa Mjini MAWASILIANO: Piga/SMS/WhatsApp: 0789098984
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
kuku wa kisasa wa nyama
Nauza kuku wa kisasa wenye afya nzuri na waliokuzwa kwa chakula bora. Unapata kuku bora kwa ajili ya biashara, sherehe, au matumizi ya nyumbani. Bei zetu ni nafuu na unaweza kupata kwa rejareja au jumla. 📍 Napatikana kihesa Iringa 📞 Wasiliana nami kwa maelezo zaidi 0718603656 0742610610
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Wasiliana na muuzaji
Nauza Kuku wa sasso ni wazuri
KARIBUNI mjipatie kuku aina ya sasso wanapatikana wakuuza na kufuga wamepata chanjo wote
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Mchele grade 1 kutoka mbeya
Karibu mchele grade 1 kutoka Mbeya kwa bei punguzo kilo ni 2000 Tunasafirisha popote ulipo Contact 0627109582 Kilo ni 2000
Located: Mbeya, Mbeya, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
