93 results match your search criteria
Premium listings
Premium
45.00 TZS
JIPATIE SIMU YA MKOPO SAMSUNG A05 STORAGE 64 GB KWA KIANZIO 45,000 TU PIGA SIMU 0611218325
JIPATIE SIMU YA MKOPO SAMSUNG A05 STORAGE 64 GB KWA KIANZIO 45,000 TU PIGA SIMU 0611218325 Malipo awamu mbili miez 6&12 Miezi 6 malipo kwa week 15821 Miezi 12 malipo kwa week 10640 Karibuni sana iringa free delivery Piga 0611218325
Premium
Check with seller
Nauza unga wa sembe
MAMA SWAI SUPER SEMBE UNGA BORA WA MAHINDI..5KG,10KG,25KG... ✅UNAFAA KWA MATUMIZI YA NYUMBANI ✅ MIGAHAWANI ✅KUUZA MADUKANI TUNAPATIKANA MASHINE YA MWEMBETOGWA INAYOTAZAMANA NA UKUMBI WA SHULE YA SEKONDARI MWEMBETOGWA.. Simu namba 0766811362. KARIBUNI SANA..
Located: Iringa, TZ
Premium
Check with seller
Mchele grade 1 kutoka mbeya
Karibu mchele grade 1 kutoka Mbeya kwa bei punguzo kilo ni 2000 Tunasafirisha popote ulipo Contact 0627109582 Kilo ni 2000
Located: Mbeya, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza unga wa mchele
Tunauza unga halisi wa mchele usioongezwa kitu chochote kwa matumizi wa uji, mkate na vitumbua kilo moja sh 3500/= Tupo Iringa mjini mawasiliano zaidi tupigie 0658931392 mikoa ya jirani tunatuma kwa uaminifu
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Magauni Mazuri ya Mtumba Grade A Bei Nafuu Iringa
Nauza magauni mazuri ya mtumba Grade A yenye ubora wa hali ya juu, safi, na ya mitindo ya kisasa. Magauni yetu yanatoka kwa wachuuzi wa kuaminika na yamechaguliwa kwa uangalifu kuhakikisha kila kipande kina muonekano mzuri, kinaendana na mitindo ya sasa, na kinastahili kwa sherehe, shuleni, au matumizi ya kila siku. Tu...
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza mayai ya kisasa
Unataka kuwa MILIONEA? Uza MAYAI ! Anza hata na trey chache. Soko ni Kubwa. Uzia Nyumbani, Dukani, Kibandani, Gengeni... Agiza sasa kutoka KILOMBERO KUKU FARM Tsh.6,000/= @ Trey Piga 0769217810. Whatsapp 0677988499. * Makubwa ya kisasa yenye kiini cha njano. * Tupo Kilombero, Morogoro - Tanzania. * Tunasafirisha mikoa ...
Located: Morogoro, TZ
Premium
Check with seller
Viwanja vinauzwa
VIWANJA VINAUZWA. ✅VIWANJA VIPO KINYANAMBO A (MIFUGO) MAFINGA IRINGA 🇹🇿. ✅VIWANJA VIMEPIMWA UKUBWA WA MITA 20 KWA 25 NA 20 KWA 20 . ✅BEI NI MILIONI TATU NA LAKI TANO PUNGUZO LIPO KIDOGO. ✅VIMEBAKI VIWANJA VITATU TU. ✅O768651525.
Located: Mafinga, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Magauni ya Mtumba Bei Nafuu – Safi na Bora
Nauza magauni ya mtumba ya kike yenye ubora mzuri na muonekano wa kisasa. Magauni yapo katika hali nzuri, safi na yanapatikana kwa bei nafuu sana. ➡️ Aina mbalimbali za magauni (short, long & casual wear) ➡️ Ubora mzuri – yanavaliwa muda mrefu ➡️ Bei nafuu inayokufaa Mahali: Iringa mjini– Kitanzini Wasiliana Nasi: ...
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza spare za magari
Nauza spare zote za magari makubwa ya usafirishaji wa mizigo, zikiwemo sehemu za injini, breki, suspension, body parts, mfumo wa hewa, oil filters, fuel filters, tairi, vifaa vya umeme na vipuri vingine muhimu kwa malori kama Scania, Volvo, Actros, Howo, Fuso, Hino, Isuzu na mengine mengi. Vipuri vyetu ni vya ubora wa ...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Mayai ya kisasa bei ya jumla
Nauza mayai ya kisasa safi na yenye ubora wa hali ya juu kwa bei nafuu ya jumla. Yanafaa kwa biashara ya chakula, migahawa, hoteli au matumizi ya nyumbani. ✅ Ubora wa kuaminika ✅ Bei nafuu ya jumla ✅ Upatikanaji wa kila siku Nipo Iringa, unaweza kuagiza kidogo au kwa wingi kulingana na mahitaji yako. Mawasiliano:075359...
Located: Iringa, TZ
Premium
Check with seller
Nauza magauni ya Mtumba Grade A – Bei Nafuu
Nauza magauni ya mtumba grade A yenye ubora mzuri na muonekano wa kuvutia. Magauni yapo katika hali safi na yamechaguliwa vizuri, yanafaa kwa matumizi ya kila siku na sherehe. 📍 Nipo Iringa mjini, Mashine Tatu ✅ Ubora wa juu (Grade A) ✅ Bei nafuu na maongezi yapo ✅ Ukifika unachagua mwenyewe Mawasiliano: Piga/WhatsApp:...
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza Kuku wa sasso ni wazuri
KARIBUNI mjipatie kuku aina ya sasso wanapatikana wakuuza na kufuga wamepata chanjo wote
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Manhattan_gym_fitness
Welcome to Manhattan Fitness Gym in Mtoni Kijichi, Dar es Salaam, the perfect place to achieve your health and fitness goals. We offer modern workout programs including strength training, aerobics, yoga, and personal training under the guidance of a certified Fitness Trainer and Healthy Eating Consultant. Join us to ge...
Located: Mtoni, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Check with seller
Kozi ya ususi na urembo
🎓 MSEWE COLLEGE Jiunge nasi katika program zifuatazo: Kozi Tunazotoa: 💻 Computer 🗣️ English course 👶 ualimu wa Chekechea utapata cheti cha Montessori 💇♀️ Urembo na Ususi Programu Maalum: • Form 1–2 (mwaka 1) • Form 3–4 (mwaka 1) • Form 5–6 (mwaka 1) • QT (FTNA) & wanaorudia Form 4 Fomu za kujiunga zinapatika chuon...
Located: Ubungo, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Check with seller
Tangazo la nafasi za masomo kozi ya mbalimbali
TANGAZO LA NAFASI YA MASOMO KWA MWAKA 2026. 🛠️ CHUO CHA MAFUNZO YA UFUNDI STADI MORAVIAN NAMTUMBO. Je, unatafuta elimu bora ya mafunzo ya ufundi kwa vitendo na yanayokuwezesha kujiajiri au kuajiriwa mara moja? Namtumbo Moravian VTC ndiyo chaguo sahihi kwa ajili yako! 📚 KOZI TUNAZOTOA ✅ Ufundi Umeme ✅ Ufundi Magari ✅ Uf...
Located: Namtumbo, Ruvuma, TZ
Condition: New
Check with seller
Kozi tunazotoa chuo cha udereva nit
Tunawakaribisha wote kujiunga na mafunzo ya uendeshaji wa mitambo (Heavy Duty Equipment Operation) yenye lengo la kuwapa washiriki ujuzi wa vitendo, maarifa ya kina na uwezo wa kufanya kazi kwenye mazingira halisi ya viwandani na miradi mikubwa ya ujenzi. Mafunzo haya yameandaliwa kwa ubora wa juu ili kuhakikisha kila ...
Located: Dodoma, Dodoma, TZ
Condition: New
Check with seller
TUNAKULETEA KOZI YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
TUNAKULETEA KOZI YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI UTAJIFUNZA ✔ Ubunifu na Uanzishaji wa Biashara ✔ Masoko na Uendeshaji wa Biashara ✔ Uzalishaji wa Bidhaa kama vile (Mafuta, Shampoo, Gel n.k) ✔ Usimamizi mzuri wa Fedha ✔ Digital Marketing n.k Kozi hii ni ya Online na Physical, watu wote mnakaribishwa kujiunga. Kwa wanafunzi ...
Located: Arusha, Arusha, TZ
Condition: New
Check with seller
Kozi ya mapishi veta
Kozi ya Mapishi katika Chuo cha Ufundi Arizona @arizona_vtc 📌Fomu za Usajili zinapatikana Chuoni au kwa njia ya mtandao 📌Kozi inaanza tarehe 18/07/2022 (Miezi mitatu) 📌Swipe kuona muongozo na mtiririko wa kozi yote. 📌Wahitimu hupatiwa Vyeti 📌Chuo kimesajiliwa na VETA 📌Mafunzo kwa Vitendo 📌Ada inajumuisha uniform na vif...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Check with seller
Chuo Bora jijini Arusha
Chuo Bora Jijini Arusha. Chagua kozi Yako na usome kwa Ada kidogo. *Ualimu wa chekechea *Ufundi Umeme *Secretarial course *Hotel Management *Tourism and Tour guide *Information technology IT *Computer Application *Ususi na Urembo *Mapambo na keki *English language *French language *Germany course Pata form yakujiunga B...
Located: Arusha, Arusha, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Turnbull training college
Our Vocational Training college established since a year 2017 and being allowed in offering different courses by Vocational Education Training Authority ( VETA ) such as Hotel & Tourism, Full Secretarial all levels, Computer courses, Foreign Languages including Chines & English course, Clothing and textile furt...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Nauza Toyota Rash kwa bei ya Milioni 6.3
Nauza Toyota Rash kwa bei ya Milioni 6.3. Gari ipo Mafinga, ipo katika hali nzuri, tayari kwa kuendesha. Kwa maelezo zaidi au kuja kuangalia gari, tafadhali wasiliana nami kupitia simu au WhatsApp 0752 555 884. Pata gari bora kwa bei nafuu, huduma ya haraka na ya kuaminika. Tuna uhakika utapendezwa na gari hii Toyota R...
Located: Mafinga, Iringa, TZ
Check with seller
Shughuli za matrekta na kilimo
HGT Iringa Offices ipo Iringa Mjini na inatoa huduma bora za kilimo, ikiwemo mauzo na usambazaji wa matrekta, mashine za kilimo, na vifaa vya mashamba kwa wateja wa jumla na wa rejareja. Kampuni yetu ina uzoefu mkubwa katika sekta ya kilimo mseto, ikihakikisha wateja wanapata matrekta na vifaa vya hali ya juu vinavyosa...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Check with seller
Kidumo Garage mafundi toka moshi
Dodoma , iringa ,mbeya Kidumo Garage mafundi toka moshi Kwa matengenezo ya gari yako Tunaunda body zote za magari ya mizigo 1:single 2:tandam 3;box body 4:tiper 5:canter 6:Tunakata longbase kuwa tipper Tunapatikana dodoma mjini nyuma ya ofis za machame Tembelea page yetu instagram kidumo garage kuon kazi zetu Tupigie 0...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Check with seller
Nauza tipa ya mchanga
Nauza gari aina ya tipa ya mchanga ambalo liko katika hali nzuri na linafaa kwa kazi zote za ujenzi, usafirishaji wa mchanga, mawe, kifusi na mizigo mingine ya site. Gari lina nguvu, lina injini imara, halina matatizo ya matumizi na limekuwa likitunzwa vizuri. Tipa hii inafaa kwa kampuni za ujenzi, wachimbaji, mafundi ...
Located: Mafinga, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
