93 results match your search criteria
Premium listings
Premium
45.00 TZS
JIPATIE SIMU YA MKOPO SAMSUNG A05 STORAGE 64 GB KWA KIANZIO 45,000 TU PIGA SIMU 0611218325
JIPATIE SIMU YA MKOPO SAMSUNG A05 STORAGE 64 GB KWA KIANZIO 45,000 TU PIGA SIMU 0611218325 Malipo awamu mbili miez 6&12 Miezi 6 malipo kwa week 15821 Miezi 12 malipo kwa week 10640 Karibuni sana iringa free delivery Piga 0611218325
Premium
Check with seller
Nauza mayai ya kisasa
Unataka kuwa MILIONEA? Uza MAYAI ! Anza hata na trey chache. Soko ni Kubwa. Uzia Nyumbani, Dukani, Kibandani, Gengeni... Agiza sasa kutoka KILOMBERO KUKU FARM Tsh.6,000/= @ Trey Piga 0769217810. Whatsapp 0677988499. * Makubwa ya kisasa yenye kiini cha njano. * Tupo Kilombero, Morogoro - Tanzania. * Tunasafirisha mikoa ...
Located: Morogoro, TZ
Premium
Check with seller
Mchele grade 1 kutoka mbeya
Karibu mchele grade 1 kutoka Mbeya kwa bei punguzo kilo ni 2000 Tunasafirisha popote ulipo Contact 0627109582 Kilo ni 2000
Located: Mbeya, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Nauza viatu vya Travolta
Viatu vya Mtumba Grade A Travolta Vinauzwa π₯Ώ Nauza viatu vya mtumba grade A vilivyo kwenye hali nzuri sana. π Napatikana Iringa mjini β
Ubora wa hali ya juu β
Bei nafuu kabisa β
Vyote viko tayari kwa matumizi Karibu ununue kwa ajili yako au biashara. Piga/WhatsApp: 0621006724
Located: Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Viwanja vinauzwa kigonzile
Njooo ujichukulie viwanja ivyoo apoo mia 700sq kwa milioni tatu na nusu Kila kimoja pga 0714974268 location kigonzile karibu na Shule ya st Dominic
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
8500.00 TZS
Mayai trei < mayai 30>
Mayai ni ya kisasa free delivery kuanzia trei tano, kwa mitaa yote ya karibu iringa town Ilala, Mwembetongwa, mkwawa, frelimo, makorongoni, wilolesi nk...
Located: Iringa, TZ
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Tunauza kuku wa nyama
Nauza kuku wa nyama wazuri, waliokuzwa kwa ubora na afya njema. Unapata kuku safi, wenye uzito mzuri na tayari kwa matumizi ya familia, sherehe au biashara ya chakula. π Napatikana Gangilonga Iringa mjini π Piga simu / WhatsApp: 0627731551, 06222155033 π Karibu uwasiliane nami kwa bei nafuu na huduma ya haraka.
Located: Iringa, TZ
Premium
Check with seller
Nauza unga wa mchele
Tunauza unga halisi wa mchele usioongezwa kitu chochote kwa matumizi wa uji, mkate na vitumbua kilo moja sh 3500/= Tupo Iringa mjini mawasiliano zaidi tupigie 0658931392 mikoa ya jirani tunatuma kwa uaminifu
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Mayai ya kisasa
Nauza mayai ya kisasa, safi na yenye ubora kwa bei nafuu. Yanapatikana kwa wingi na kwa bei ya jumla na rejareja. π Yanafaa kwa chakula cha familia π Yanapatikana kwa wingi kwa wafanyabiashara wa mayai π Ubora na uhakika wa kutosha MAHALI: Iringa Mjini MAWASILIANO: Piga/SMS/WhatsApp: 0789098984
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Wauzaji wa accessories za magari
Tunauza spare zote za magari Tunauza accessories zote za magari Tunauza lubricant aina zote Tunafunga android music system Tunapatikana uhindini Iringa mjini
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
kuku wa kisasa wa nyama
Nauza kuku wa kisasa wenye afya nzuri na waliokuzwa kwa chakula bora. Unapata kuku bora kwa ajili ya biashara, sherehe, au matumizi ya nyumbani. Bei zetu ni nafuu na unaweza kupata kwa rejareja au jumla. π Napatikana kihesa Iringa π Wasiliana nami kwa maelezo zaidi 0718603656 0742610610
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Mikopo ya biashara kuanzia milioni moja
Mikopo ya BIASHARA kuanzia Milioni moja(1,000,000) na kuendelea. Ni kwa ajili ya wafanyabiashara walio na biashara Iringa. Tunakuja kukagua biashara,na kiwango cha mkopo kitategemeana na uwezo wa biashara yako. Piga simu ili uje Benki kwetu kwa maelezo zaidi. PIGA SIMU 0612 250266-Afisa Mikopo
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Rent
Check with seller
Toyota passo Kali sana
TOYOTA PASSO kali sana, imetunzwa vizuri na ipo katika hali bora kwa matumizi ya kila siku. Inakuja na full AC baridi kali, cc 990 yenye ufanisi mkubwa wa mafuta na nguvu za kutosha kwa safari za mjini na za mbali. Ina mfumo mzuri wa music sound unaotoa sauti safi na ya kuvutia wakati wa kuendesha. Gari halina kipengel...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Check with seller
Tunauza vitu vipya au used vyenye ubora
Unatafuta vitu vipya au used vyenye ubora wa hali ya juu bila kupoteza muda kwenda dukani? MPONZI ELECTRONICS STORE inakuletea bidhaa bora, imara na zenye kudumu moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wanaoaminika. Tunajivunia kutoa electronics za kisasa kama TV, simu, home theaters, friji, laptop, speaker, redio na vifaa vi...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Tunauza nguo za watoto zenye ubora
Tunauza nguo za watoto zenye ubora wa hali ya juu, zinazofaa kwa umri tofauti kuanzia watoto wachanga hadi wenye umri wa shule. Tunahakikisha kila bidhaa ina material laini, imara na salama kwa ngozi ya mtoto, hivyo kuwapa watoto faraja na muonekano mzuri kila siku. Tunatoa seti mbalimbali kama nguo za michezo, casual ...
Located: Mafinga, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Tunauza viatu vya kiume sandals
TUNATENGENEZA WENYEWE! Tunauza kwa bei ya jumla kuanzia SH 4,000 kwa agizo la pea 10 na kuendelea, na kwa rejareja ni SH 7,000 tu. Ubora wetu ni wa kiwango cha juu kwa sababu bidhaa zetu tunazitengeneza sisi wenyewe, ndiyo maana wateja wetu wengi wanarudi tena na tena. Zaidi ya mauzo, tunatoa ushauri bure kabisa kwa wa...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Nauza Kuku wa Nyama Mkimbizi Iringa
Unatafuta kuku wa nyama wenye ubora mzuri, waliofugwa katika mazingira safi, salama na yenye chakula cha kutosha? Tunakuletea ofa maalum ya kuku wa nyama kwa bei nafuu na inayomfaa kila mteja katika maeneo ya Iringa, hususan eneo la Mkimbizi, ambako huduma zetu zimekuwa zikiaminika na kupendwa na wateja wengi. Kila kuk...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
45.00 TZS
JIPATIE SIMU YA MKOPO SAMSUNG A05 STORAGE 64 GB KWA KIANZIO 45,000 TU PIGA SIMU 0611218325
JIPATIE SIMU YA MKOPO SAMSUNG A05 STORAGE 64 GB KWA KIANZIO 45,000 TU PIGA SIMU 0611218325 Malipo awamu mbili miez 6&12 Miezi 6 malipo kwa week 15821 Miezi 12 malipo kwa week 10640 Karibuni sana iringa free delivery Piga 0611218325
Check with seller
Wauzaji wa laptop iringa
Duka kubwa la laptop Tuna bidhaa mbalimbali kwa bei ya OFA Karibu tukuhudumie
Located: Iringa, Iringa, TZ
Check with seller
Tunauza simu na vifaa vya simu
#AZIZI #PHONE #STORE π΅ DELIVERY TIME β
π΄ MAKADUPA -IRINGA TUNAUZA SIMU NA VIFAA VYA SIMU AINA ZOTE ______&&& tunapatikana π§ π§ ________ π§ IRINGA STAND YA ZAMAN JENGO LA MZALENDO CHUMBA NO 17 Deo Mwenda Abubakar Kimario Neema Mathias 53 Contact: 0717536412
Located: Iringa, Iringa, TZ
Check with seller
Wauzaji wa iphones na Samsung iringa
Nauza simu za iPhone na Samsung pamoja na accessories mbalimbali za simu. Zipo kwenye hali nzuri na bei nafuu. Pata simu na vifaa vinavyokidhi mahitaji yako ya kila siku. π Napatikana Iringa mjini π Piga simu au tuma meseji kupata maelezo zaidi piga simu 0782 309 009
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Tunauza bajaji used
TUNAUZA NA KUNUNUA BAJAJI USED **Full documentβ
**Price/bei-7,500,000/=π° **Location-Dar es salaam(mbagara)β
βοΈCall & WhatsApp:0694048469π Mikoani Tunatuma Kwa Uwaminifu Mkubwa ππ½ππ½
Located: Mbagalla, Dar es Salaam, TZ
Check with seller
TANGAZO LA KAZI
#NAFASI_ZA_KAZI YA_KUSAMBAZA_TAARIFA Wanahitajika watu watakao fanya kazi ya kusambaza taarifa za kampuni ya Gcat International Company Limited Taarifa za huduma inayotolewa na kampuni kwa kutumia simu yako ya mkononi/ Smart phone. NOTE: * Nilazima uwe na simu kubwa/ Smart phone * Uwe Iringa tu * Uwe na bidii ya kazi *...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Condition: New
6000000.00 TZS
Tunanunua na kuuza bajaji
TUNAUZA NA KINUNUA BAJAJI USED ..Full document* ..Price/bei-6,000,000/= ..Location~Dar es salaam~Mbagala βοΈCall & WhatsApp:0694048469π Mikoani Tunatuma Kwa Uwaminifu Mkubwa ππ½ππ½
Located: Mbagalla, Dar es Salaam, TZ
Condition: Used
Transaction: Sell
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
