92 results match your search criteria
Premium listings
Premium
45.00 TZS
JIPATIE SIMU YA MKOPO SAMSUNG A05 STORAGE 64 GB KWA KIANZIO 45,000 TU PIGA SIMU 0611218325
JIPATIE SIMU YA MKOPO SAMSUNG A05 STORAGE 64 GB KWA KIANZIO 45,000 TU PIGA SIMU 0611218325 Malipo awamu mbili miez 6&12 Miezi 6 malipo kwa week 15821 Miezi 12 malipo kwa week 10640 Karibuni sana iringa free delivery Piga 0611218325
Premium
Check with seller
Tunakopesha na kuuza simu aina ya Samsung
TUNAKOPESHA NA KUUZA SIMU AINA YA SAMSUNG NDANI NA NJE YA IRINGA VIGEZO 1. VITAMBULISHO KATI YA NIDA, MPIGA KURA AU LESENI YA UDEREVA 2. NAMBA AKO YA SIMU 3. KIANZIO A05 Gb 64/4 Cash -365K A06 128/4gb Kianzio-120,000Tsh Weekly -11,475 Cash-470,000Tsh A05S 128/4gb Kianzio-120,000Tsh Cash -450,000Tsh A16128/4gb Kianzio-1...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Rent
Premium
Check with seller
Mayai ya kisasa bei ya jumla
Nauza mayai ya kisasa safi na yenye ubora wa hali ya juu kwa bei nafuu ya jumla. Yanafaa kwa biashara ya chakula, migahawa, hoteli au matumizi ya nyumbani. ✅ Ubora wa kuaminika ✅ Bei nafuu ya jumla ✅ Upatikanaji wa kila siku Nipo Iringa, unaweza kuagiza kidogo au kwa wingi kulingana na mahitaji yako. Mawasiliano:075359...
Located: Iringa, TZ
Premium
Check with seller
Tunatoka mikopo kwa watumishi
𝗙𝗔𝗡𝗜𝗞𝗜𝗪𝗔 𝗠𝗜𝗖𝗥𝗢𝗙𝗜𝗡𝗔𝗡𝗖𝗘. 𝖳𝖺𝖺𝗌𝗂𝗌𝗂 𝗂𝗇𝖺𝗒𝗈𝗍𝗈𝖺 𝗆𝗂𝗄𝗈𝗉𝗈 𝗄𝗐𝖺 𝗐𝖺𝗍𝗎𝗆𝗂𝗌𝗁𝗂 𝗐𝖺 𝖴𝖬𝖬𝖠 𝗒𝖾𝗇𝗒𝖾 𝗋𝗂𝖻𝖺 𝗇𝖺𝖿𝗎𝗎 𝗓𝖺𝗂𝖽𝗂. 𝖪𝗎𝖻𝗐𝖺 𝗄𝗎𝗅𝗂𝗄𝗈 𝗎𝗇𝖺𝗁𝗎𝖽𝗎𝗆𝗂𝗐𝖺 𝗉𝗈𝗉𝗈𝗍𝖾 𝗄𝗐𝖺 𝗇𝗃𝗂𝖺 𝗒𝖺 𝗌𝗂𝗆𝗎 𝗍𝗎. 𝖶𝖺𝗌𝗂𝗅𝗂𝖺𝗇𝖺 𝗇𝖺𝗌𝗂.𝗄𝗐𝖺 𝗇𝖺𝗆𝖻𝖺 0620673040/0768417146. 𝖠𝗎 𝗍𝗎𝗆𝖺 𝗍𝗎 𝗎𝗃𝗎𝗆𝖻𝖾
Located: Iringa, TZ
Premium
Check with seller
Mabelo ya Nguo za Mitumba Bei Nafuu
Nauza mabelo ya nguo bora za mitumba aina mbalimbali kwa bei nafuu. 👉 Ubora wa hali ya juu 👉 Bei rafiki na inayokubaliana 👉 Chaguo la mteja – mitindo na makundi tofauti Napatikana Iringa. Kwa mawasiliano na maelezo zaidi nipigie simu au tuma meseji. Simu/WhatsApp: 0716454646
Located: Iringa, TZ
Premium
Check with seller
Mchele grade 1 kutoka mbeya
Karibu mchele grade 1 kutoka Mbeya kwa bei punguzo kilo ni 2000 Tunasafirisha popote ulipo Contact 0627109582 Kilo ni 2000
Located: Mbeya, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Tunatengeneza na kurepeare sofa zilizo choka
Tunatengeneza na kurepeare sofa zilizo choka pia Tunabadirisha muundo wa zamani kuwa wa kisasa kwa Bei nafuu tunapatikana iringa mjini mtaa wa zizi 0616181457
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
Viwanja vinauzwa
VIWANJA VINAUZWA. ✅VIWANJA VIPO KINYANAMBO A (MIFUGO) MAFINGA IRINGA 🇹🇿. ✅VIWANJA VIMEPIMWA UKUBWA WA MITA 20 KWA 25 NA 20 KWA 20 . ✅BEI NI MILIONI TATU NA LAKI TANO PUNGUZO LIPO KIDOGO. ✅VIMEBAKI VIWANJA VITATU TU. ✅O768651525.
Located: Mafinga, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Premium
Check with seller
TANGAZO LA KAZI
We are Hiring! HR Coordinator --- Why Join Us? At Ramada Hotel, we believe our people are our greatest asset. This role offers the chance to develop your HR career in a supportive, international hospitality environment, while making a meaningful impact on employee engagement and organisational success. --- About the Ro...
Located: Iringa, TZ
Premium
Check with seller
Mikopo ya biashara kuanzia milioni moja
Mikopo ya BIASHARA kuanzia Milioni moja(1,000,000) na kuendelea. Ni kwa ajili ya wafanyabiashara walio na biashara Iringa. Tunakuja kukagua biashara,na kiwango cha mkopo kitategemeana na uwezo wa biashara yako. Piga simu ili uje Benki kwetu kwa maelezo zaidi. PIGA SIMU 0612 250266-Afisa Mikopo
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Rent
Premium
Check with seller
Tunauza kuku wa nyama
Nauza kuku wa nyama wazuri, waliokuzwa kwa ubora na afya njema. Unapata kuku safi, wenye uzito mzuri na tayari kwa matumizi ya familia, sherehe au biashara ya chakula. 📍 Napatikana Gangilonga Iringa mjini 📞 Piga simu / WhatsApp: 0627731551, 06222155033 👉 Karibu uwasiliane nami kwa bei nafuu na huduma ya haraka.
Located: Iringa, TZ
Premium
Check with seller
Nauza furniture za bei nafuu
Furniture mpyaa za bei ndogo Makabati Vitanda Showcase #kulipia kwa hawamu uhakikaa njoo WhatsApp 0627866680 Iringa town
Located: Iringa, TZ
Check with seller
Manhattan_gym_fitness
Welcome to Manhattan Fitness Gym in Mtoni Kijichi, Dar es Salaam, the perfect place to achieve your health and fitness goals. We offer modern workout programs including strength training, aerobics, yoga, and personal training under the guidance of a certified Fitness Trainer and Healthy Eating Consultant. Join us to ge...
Located: Mtoni, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Check with seller
Kozi ya ususi na urembo
🎓 MSEWE COLLEGE Jiunge nasi katika program zifuatazo: Kozi Tunazotoa: 💻 Computer 🗣️ English course 👶 ualimu wa Chekechea utapata cheti cha Montessori 💇♀️ Urembo na Ususi Programu Maalum: • Form 1–2 (mwaka 1) • Form 3–4 (mwaka 1) • Form 5–6 (mwaka 1) • QT (FTNA) & wanaorudia Form 4 Fomu za kujiunga zinapatika chuon...
Located: Ubungo, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Check with seller
Tangazo la nafasi za masomo kozi ya mbalimbali
TANGAZO LA NAFASI YA MASOMO KWA MWAKA 2026. 🛠️ CHUO CHA MAFUNZO YA UFUNDI STADI MORAVIAN NAMTUMBO. Je, unatafuta elimu bora ya mafunzo ya ufundi kwa vitendo na yanayokuwezesha kujiajiri au kuajiriwa mara moja? Namtumbo Moravian VTC ndiyo chaguo sahihi kwa ajili yako! 📚 KOZI TUNAZOTOA ✅ Ufundi Umeme ✅ Ufundi Magari ✅ Uf...
Located: Namtumbo, Ruvuma, TZ
Condition: New
Check with seller
Kozi tunazotoa chuo cha udereva nit
Tunawakaribisha wote kujiunga na mafunzo ya uendeshaji wa mitambo (Heavy Duty Equipment Operation) yenye lengo la kuwapa washiriki ujuzi wa vitendo, maarifa ya kina na uwezo wa kufanya kazi kwenye mazingira halisi ya viwandani na miradi mikubwa ya ujenzi. Mafunzo haya yameandaliwa kwa ubora wa juu ili kuhakikisha kila ...
Located: Dodoma, Dodoma, TZ
Condition: New
Check with seller
TUNAKULETEA KOZI YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
TUNAKULETEA KOZI YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI UTAJIFUNZA ✔ Ubunifu na Uanzishaji wa Biashara ✔ Masoko na Uendeshaji wa Biashara ✔ Uzalishaji wa Bidhaa kama vile (Mafuta, Shampoo, Gel n.k) ✔ Usimamizi mzuri wa Fedha ✔ Digital Marketing n.k Kozi hii ni ya Online na Physical, watu wote mnakaribishwa kujiunga. Kwa wanafunzi ...
Located: Arusha, Arusha, TZ
Condition: New
Check with seller
Kozi ya mapishi veta
Kozi ya Mapishi katika Chuo cha Ufundi Arizona @arizona_vtc 📌Fomu za Usajili zinapatikana Chuoni au kwa njia ya mtandao 📌Kozi inaanza tarehe 18/07/2022 (Miezi mitatu) 📌Swipe kuona muongozo na mtiririko wa kozi yote. 📌Wahitimu hupatiwa Vyeti 📌Chuo kimesajiliwa na VETA 📌Mafunzo kwa Vitendo 📌Ada inajumuisha uniform na vif...
Located: Dar es Salaam, Dar es Salaam, TZ
Condition: New
Check with seller
Chuo Bora jijini Arusha
Chuo Bora Jijini Arusha. Chagua kozi Yako na usome kwa Ada kidogo. *Ualimu wa chekechea *Ufundi Umeme *Secretarial course *Hotel Management *Tourism and Tour guide *Information technology IT *Computer Application *Ususi na Urembo *Mapambo na keki *English language *French language *Germany course Pata form yakujiunga B...
Located: Arusha, Arusha, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Turnbull training college
Our Vocational Training college established since a year 2017 and being allowed in offering different courses by Vocational Education Training Authority ( VETA ) such as Hotel & Tourism, Full Secretarial all levels, Computer courses, Foreign Languages including Chines & English course, Clothing and textile furt...
Located: Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Check with seller
Nauza Toyota Rash kwa bei ya Milioni 6.3
Nauza Toyota Rash kwa bei ya Milioni 6.3. Gari ipo Mafinga, ipo katika hali nzuri, tayari kwa kuendesha. Kwa maelezo zaidi au kuja kuangalia gari, tafadhali wasiliana nami kupitia simu au WhatsApp 0752 555 884. Pata gari bora kwa bei nafuu, huduma ya haraka na ya kuaminika. Tuna uhakika utapendezwa na gari hii Toyota R...
Located: Mafinga, Iringa, TZ
Check with seller
Shughuli za matrekta na kilimo
HGT Iringa Offices ipo Iringa Mjini na inatoa huduma bora za kilimo, ikiwemo mauzo na usambazaji wa matrekta, mashine za kilimo, na vifaa vya mashamba kwa wateja wa jumla na wa rejareja. Kampuni yetu ina uzoefu mkubwa katika sekta ya kilimo mseto, ikihakikisha wateja wanapata matrekta na vifaa vya hali ya juu vinavyosa...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Check with seller
Kidumo Garage mafundi toka moshi
Dodoma , iringa ,mbeya Kidumo Garage mafundi toka moshi Kwa matengenezo ya gari yako Tunaunda body zote za magari ya mizigo 1:single 2:tandam 3;box body 4:tiper 5:canter 6:Tunakata longbase kuwa tipper Tunapatikana dodoma mjini nyuma ya ofis za machame Tembelea page yetu instagram kidumo garage kuon kazi zetu Tupigie 0...
Located: Iringa, Iringa, TZ
Check with seller
Nauza tipa ya mchanga
Nauza gari aina ya tipa ya mchanga ambalo liko katika hali nzuri na linafaa kwa kazi zote za ujenzi, usafirishaji wa mchanga, mawe, kifusi na mizigo mingine ya site. Gari lina nguvu, lina injini imara, halina matatizo ya matumizi na limekuwa likitunzwa vizuri. Tipa hii inafaa kwa kampuni za ujenzi, wachimbaji, mafundi ...
Located: Mafinga, Iringa, TZ
Condition: New
Transaction: Sell
Save this search
Save this search and get notified when new offers are posted.
