Nauza simu za iPhone na Samsung pamoja na accessories mbalimbali za simu. Zipo kwenye hali nzuri na bei nafuu. Pata simu na vifaa vinavyokidhi mahitaji yako ya kila siku.
π Napatikana Iringa mjini
π Piga simu au tuma meseji kupata maelezo zaidi piga simu 0782 309 009
#AZIZI #PHONE #STORE π΅ DELIVERY TIME β π΄ MAKADUPA -IRINGA TUNAUZA SIMU NA VIFAA VYA SIMU AINA ZOTE ______&&& tunapatikana π§ π§ ________ π§ IRINGA STAND YA ZAMAN JENGO LA MZALENDO CHUMBA NO 17 Deo Mwenda Abubakar Kimario Neema Mathias 53 Contact: 0717536412
TUNAUZA NA KUNUNUA BAJAJI USED **Full documentβ **Price/bei-7,500,000/=π° **Location-Dar es salaam(mbagara)β βοΈCall & WhatsApp:0694048469π Mikoani Tunatuma Kwa Uwaminifu Mkubwa ππ½ππ½
#NAFASI_ZA_KAZI YA_KUSAMBAZA_TAARIFA Wanahitajika watu watakao fanya kazi ya kusambaza taarifa za kampuni ya Gcat International Company Limited Taarifa za huduma inayotolewa na kampuni kwa kutumia simu yako ya mkononi/ Smart phone. NOTE: * Nilazima uwe na simu kubwa/ Smart phone * Uwe Iringa tu * Uwe na bidii ya kazi *...
TUNAUZA NA KINUNUA BAJAJI USED ..Full document* ..Price/bei-6,000,000/= ..Location~Dar es salaam~Mbagala βοΈCall & WhatsApp:0694048469π Mikoani Tunatuma Kwa Uwaminifu Mkubwa ππ½ππ½
Located:Mbagalla, Dar es Salaam, TZCondition:UsedTransaction:Sell
House for rent$ --------------------------------------------------------------------------------+ Vyumba viwili na vyote ni master Sebule,jiko, store na public toilet Bei 400,000 Location Wilolesi Contact 0712908002
VIWANJA VINAUZWA. β VIWANJA VIPO KINYANAMBO A (MIFUGO) MAFINGA IRINGA πΉπΏ. β VIWANJA VIMEPIMWA UKUBWA WA MITA 20 KWA 25 NA 20 KWA 20 . β BEI NI MILIONI TATU NA LAKI TANO PUNGUZO LIPO KIDOGO. β VIMEBAKI VIWANJA VITATU TU. β O768651525.
Viwanja vipo Iringa manispaa maeneo ya kitwiru Vipo top top bei ni tofaut tofauti kulingana na eneo lilipo wewe piga cm tuu unapata kulingana na bei Yako na huduma zote zipo havina shida yoyote ile Na pia ya maji ni muhimu sana Col 0794496510
Never pay down a deposit in a bank account until you have met the seller, seen signed a purchase agreement. No serious private advertisers ask for a down payment before you meet. Receiving an email with an in-scanned ID does not mean that you have identified the sender. You do this on the spot, when you sign a purchase agreement.
Boost Your sushiswap Exchange Profits with Strategic Tips Enhance Sushiswap Profits with Strategic Approaches Focus on liquidity pools offering strong rewards. Research pairs that show consistent trading volumes and favorable fee structures. Analyzing historical data will aid in identifying the most profitable opportun...
Nauza kuku wa nyama wazuri, waliokuzwa kwa ubora na afya njema. Unapata kuku safi, wenye uzito mzuri na tayari kwa matumizi ya familia, sherehe au biashara ya chakula. π Napatikana Gangilonga Iringa mjini π Piga simu / WhatsApp: 0627731551, 06222155033 π Karibu uwasiliane nami kwa bei nafuu na huduma ya haraka.
Nauza kuku wa nyama waliokomaa vizuri, wenye afya bora na wanakua haraka. Kuku wanapatikana kwa bei nafuu na mzuri kwa biashara au matumizi ya nyumbani. Maelezo ya Ziada: β Kuku wazima na wenye uzito wa kutosha β Bei nafuu kwa jumla na rejareja β Napatikana Iringa Mawasiliano: Piga/SMS: 0760812258
Nauza kuku wa kisasa wenye afya nzuri na waliokuzwa kwa chakula bora. Unapata kuku bora kwa ajili ya biashara, sherehe, au matumizi ya nyumbani. Bei zetu ni nafuu na unaweza kupata kwa rejareja au jumla. π Napatikana kihesa Iringa π Wasiliana nami kwa maelezo zaidi 0718603656 0742610610
Nauza mayai ya kisasa, safi na yenye ubora kwa bei nafuu. Yanapatikana kwa wingi na kwa bei ya jumla na rejareja. π Yanafaa kwa chakula cha familia π Yanapatikana kwa wingi kwa wafanyabiashara wa mayai π Ubora na uhakika wa kutosha MAHALI: Iringa Mjini MAWASILIANO: Piga/SMS/WhatsApp: 0789098984
Nauza masweta mazuri ya kisasa, yenye ubora mzuri na bei nafuu. Yanapatikana katika size na rangi tofauti kulingana na mahitaji yako. Yanafaa kwa matumizi ya kila siku na sherehe. Mahali: Iringa Mjini Wasiliana Nami: 0745395040
Nauza raba kali za mtumba zenye ubora mzuri na bado zipo kwenye hali safi. π Napatikana Iringa Mjini β Miyomboni. Karibu ujipatie raba imara kwa matumizi ya kila siku kwa bei nafuu. Mawasiliano: 0718239676 Piga/WhatsApp kwa maelezo zaidi.
Nauza mashati ya kiume ya mtumba grade A, ubora wa hali ya juu na bado mapya kwa kuvaa. βοΈ Yanapatikana kwa rangi na design mbalimbali βοΈ Ubora wa kudumu na muonekano wa kisasa βοΈ Bei nafuu na inakubaliana Mahali: Iringa mjini Mawasiliano: 0657693380 Piga/Sms/WhatsApp kwa maelezo zaidi
Nauza masweta mazuri ya mtumba grade A, ubora wa hali ya juu na bado mapya kwa kuvaa. Yanafaa kwa msimu wa baridi na yana muonekano wa kisasa. π Bei ni nafuu na inakubaliana π Yanapatikana kwa rangi na size tofauti Mahali: Iringa mjini Mawasiliano: 0624589320 Piga/Sms/WhatsApp kwa maelezo zaidi